SOMO LA BURE: Namna ya kuagiza bidhaa kutoka CHINA kwa ajili ya biashara (jumla) Kupitia Mtandao alibaba kwa kutumia simu yako

SOMO LA BURE: Namna ya kuagiza bidhaa kutoka CHINA kwa ajili ya biashara (jumla) Kupitia Mtandao alibaba kwa kutumia simu yako

pay pal ni kampuni inayojitegemea na ndio rahisi zaid kufanya malipo.
unaingia kwenye website yao unajisajili kisha zile taarifa za kadi yako ya benki unaziweka paypal.
ina maana unapohitaji kufanya malipo na paypal pesa inachukuliwa bank moja kwa moja...
Mkuu,
Ingefaa uwe na huduma ya kusaidia watu kuagiza vitu
 
Mzigo ukifika utapokea ujumbe kwenye simu yako kuwa mzigo umeshawasili na kukutaka ufanye malipo na baada ya hapo unaenda kwenye warehous(godown) la kampuni uliyosafirishia kuchukua mzigo wako ukiwa na nakala za risti za malipo na risti ile uliyotumiwa na supplier alipofikisha mzigo wako(rist ya mzigo kupokelewa china kwenye godown unaonyesha kwa kutumia simu yako kama uliyotumiwa na supplier)
Mkuu samahan nmekuelewa vizur lakn nina swali je anae upeleka mzigo uko upande wa china ninani? Sabu kama makampuni ya alibaba au alixpres sizan ka.a wanaweza fanya ivyo
 
Uzi poa sana kaka, ziko site nyingine zenye bei chini ya Alibaba kama 1688, Pinduoduo n.k

Kwa products zenye quality uhakika, mtu anaweza check taobao.

Tatzo la site nyingi zenye bei nzuri, zina tumia kichina tupu..so uta hitaji translator….

Lakini kwa kuanzia, hapo si pabaya….

Mtu ukijimudu pia ni vyema ukafika china mwenyewe….kule utakuta pia baadhi ya bidhaa bei ni hata nusu ya hizi za alibaba na sites nyingine… issue n upatkanaji wa masoko….wabongo wengi hawatoi code….


Pia masoko yako mbali mbali sana….so uta hitaji mtu wa kukuguide….mimi niliemda kichwa kichwa, nikapoteza mwezi mzima hola….ila round 2 ikabidi nipate mchina, mambo ndo nika yafurahia.

Tukaze wakuu….ukimaster hizo site, unaweza save pakubwa sana, ukicompare na kununua hapa bongo.

NB: Zipo baadhi ya products tayar wachina wana agents bongo…so ukienda hawato kuuzia…. Ni vyema kujua pia hilo, usije fata hewa.

Tuendelee peana nondo.
Wakuu asanteni
 
Ratiba mpya hii hapa...

WhatsApp/Calls +255 697 692 507

IMG-20241101-WA0011(3).jpg
 
Mzigo ukiwa under 1 CBM nagawanya vp kujua gharama zako ,mfano mzigo Una CBM 0.0145 ? Naomba kujua
hugawanyi bali una zidisha

1 Cmb = usd 450
0.0145 Cbm = usd ?

Usd ? = 450 usd/Cbm * 0.0145 = 6.525 Usd

Kwa mafunzo zaidi juu ya namna ya kuagiza bidhaa za biashara au matumizi binafsi 0677818283 (whatsapp)
 
Mkuu samahan nmekuelewa vizur lakn nina swali je anae upeleka mzigo uko upande wa china ninani? Sabu kama makampuni ya alibaba au alixpres sizan ka.a wanaweza fanya ivyo
Kwa alibaba wanafanya ukishajadiliana nae mumemalizana na unampa adress ya agent wako anakuambia ghalama za usafiri hadi warehouse ya agent wako hapo wewe ni kulipia tu mambo tayari. Utajulishwa mzigo ukifika au utamwambia akupe detail za mzigo unamjulisha agent wako .nimefanya hivi mara nyingi na mizigo inafika bila shida
 
Back
Top Bottom