Hivi ni mazuri gani ya Mwendazake zake yanayosemwa.?
imagine unafundishwa historia ya mkwawa kiingereza[emoji16][emoji16],sijui ukasimulie wazungu ama!!!Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya
Mnamjua mkoloni wewe hata miaka 30 hujatimizi!Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya
Uzalendo ni nini?Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya
tukiwaita mbwa koko tunakuwa tumewakosea adabu hata hao mbwa.mna akili mbovu sana ndugu zetu.Alitaka kutukuzwa kabla ya kazi hajaimaliza
wauze na mradi wa SGR ili pesa itakayopatikana wapewe marais wastaafu.sasa next uzeni ndege mgharamie mswada wa KATIBA yenu mpya! chenj itakayobaki fanyeni semina elekezi namna bora ya kufanya siasa..
Vijana wa kijiweni hawajui thamani ya historia. Yawezekana wanaopinga mtaala wa historia ya Taifa hawajui chimbuko la familia zao na tamaduni. Upumbafu na UlofaMagufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya
Kama huko aliko Magu anayona haya yanayoendelea hasa kugeukwa hasa katika utawala wa aliyekuwa makamo wake,basi atakufa tena kwa msongo wa mawazo
Ila maguguli ujue madktari wangechukua kichwa chake wakafanyie uchunguzi ili wajue kama alikua na akili za namna gani,inaweza kutusaidia kuongeza mapato ya nchi pale Makumbusho!Hayati magufuli naona kaangukia pua tena
Somo la historia ya Tanzania lasitishwa
Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote.
Source ITV news
Huo mtaala unamsaidia nini kijana baada ya kumaliza elimu yake?Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya
Ni upumbavu tuu kuwaza kufundisha Historia kwa kiswahili kuwa utafanikisha jambo lolote la maana wakati somo la kiswahili wanafunzi wanafeli vibayaMagufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya
Haya yalikua ni maamuzi ya kijinga bora yamefutiw mbali.Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.
Source: ITV
Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
Ila Profesa Ndalichako aliyapokea maagizo kwa heshima na unyenyekevu mkubwa! Ilikuwaje alishindwa kumshawishi Bosi wake kuhusu huo upuuzi!Ni maagizo ya kipumbavu.
Lazima yatupiliwe mbali.