Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Habari zenu ndugu wa Jamii Forums.
Kama ni kweli Tanzania inataka kuandaa wachumi na wataalam wazuri wa kutunza hesabu, sasa wakati umefika kwa wataalam wa elimu kuruhusu wadogo zetu wanaochukua mchepuo wa biashara (ECA) kuanza kusoma somo la uchumi (Economics) kuanzia kidato cha kwanza kama ilivyo kwa wale wa PCM, PCB, HGL, CBG na HGK. Tanzania ya mwaka 2011 sio hii ya sasa ya mwaka 2021. We need to change folks.
Guys let me tell you one thing here. Hakuna level nzuri ya kuandaa wataalam kama kidato cha kwanza mpaka cha nne. Unajua kwanini? Sababu kuu ni hii. Mwanafunzi wa kidato cha pili anapojiandaa na mitihani, huwa analazimika kusoma mpaka yale ya kidato cha kwanza.
Yule wa kidato cha tatu akisikia papers zimekaribia anasoma kuanzia yale ya form one, two pamoja na three. Kidato cha nne kikifia ambao ndio mwaka wa mwisho mwanafunzi anajikuta anasoma yoooote ya kidato cha kwaza, cha pili, cha tatu na kile alichopo cha nne, hivyo kumuwezesha kujua masuala mengi madogo madogo katika taaluma yake ile.
Elimu ya chuo mtu akisoma semester moja akafanya papers kisha akafaulu, ndio basi tena hiyo hata akifika semester ya mwisho ya mwaka wa tatu halazimiki tena kusoma masula ya mwaka wa kwanza kwa maana haji kuulizwa katika mtihani wake wa mwisho.
Sasa utaniambia mhasibu aliyesoma Bookkeeping tangia form one, form six hadi chuo anaweza kulingana na yule aliteyetoka PCM Ilboru kisha wote wakaenda kusoma Accountancy UDSM au Mzumbe? Hapana hawawezi kufanana kwa maana huyu mmoja wa ECA alianza nayo tangia akili ikiwa bado haina mambo mengi.
Mbona wanaosoma PCM, HKL na HGL wanaanza na hayo masomo ya Physics, History, Language (English) pamoja na Kiswahili tangia wakiwa kidato cha kwanza? Kwanini Economics ianzie kidato cha tano na sio cha kwanza? Hivi tupo serious kweli katika kuandaa wachumi bora kwa manufaa ya baadae ya Tanzania?
Kama Kiswahili ndio lugha mama ambayo watoto wetu wanaielewa vema na ndio iliyotumika kuwafundisha masuala ya afya na mfumo mzima wa umeng'enyaji wa chakula kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba, kwanini tena mwanafunzi anayeandaliwa kuja kuwa mchumi bora asome tena biology kwa kiingereza kwa muda wa miaka 4, somo ambalo hawezi kulitumia katika kuunda combination ya kumpeleka kidato cha tano?
Hii ni nini kama sio kupoteza muda wa mtoto? Kwani kuna combination ya biology na bookkeeping? Kuna mchepuo gani wa Biology na commerec?
Wanaochukua mchepuo wa sayansi waendelee na hiyo biology yao kwa maana wanaweza kuunda combination kwa masomo mengine kama Physics na Chemistry, lakini mwanafunzi anayesoma Commerce na Bookkeeping mnamfundisha biology ya nini? Kwanini msitoe hiyo biology mkaweka Economics?
Katika masomo yoooote ya A level, ni economics pekee ndio halianzii kidato cha kwanza. Kwanini? Mfumo wetu wa elimu unahitaji mabadiliko makubwa sana kwa maana Tanzania ya 2001 sio sawa na hii ya 2021.
Maoni ya wadau;
==========
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kama ni kweli Tanzania inataka kuandaa wachumi na wataalam wazuri wa kutunza hesabu, sasa wakati umefika kwa wataalam wa elimu kuruhusu wadogo zetu wanaochukua mchepuo wa biashara (ECA) kuanza kusoma somo la uchumi (Economics) kuanzia kidato cha kwanza kama ilivyo kwa wale wa PCM, PCB, HGL, CBG na HGK. Tanzania ya mwaka 2011 sio hii ya sasa ya mwaka 2021. We need to change folks.
Guys let me tell you one thing here. Hakuna level nzuri ya kuandaa wataalam kama kidato cha kwanza mpaka cha nne. Unajua kwanini? Sababu kuu ni hii. Mwanafunzi wa kidato cha pili anapojiandaa na mitihani, huwa analazimika kusoma mpaka yale ya kidato cha kwanza.
Yule wa kidato cha tatu akisikia papers zimekaribia anasoma kuanzia yale ya form one, two pamoja na three. Kidato cha nne kikifia ambao ndio mwaka wa mwisho mwanafunzi anajikuta anasoma yoooote ya kidato cha kwaza, cha pili, cha tatu na kile alichopo cha nne, hivyo kumuwezesha kujua masuala mengi madogo madogo katika taaluma yake ile.
Elimu ya chuo mtu akisoma semester moja akafanya papers kisha akafaulu, ndio basi tena hiyo hata akifika semester ya mwisho ya mwaka wa tatu halazimiki tena kusoma masula ya mwaka wa kwanza kwa maana haji kuulizwa katika mtihani wake wa mwisho.
Sasa utaniambia mhasibu aliyesoma Bookkeeping tangia form one, form six hadi chuo anaweza kulingana na yule aliteyetoka PCM Ilboru kisha wote wakaenda kusoma Accountancy UDSM au Mzumbe? Hapana hawawezi kufanana kwa maana huyu mmoja wa ECA alianza nayo tangia akili ikiwa bado haina mambo mengi.
Mbona wanaosoma PCM, HKL na HGL wanaanza na hayo masomo ya Physics, History, Language (English) pamoja na Kiswahili tangia wakiwa kidato cha kwanza? Kwanini Economics ianzie kidato cha tano na sio cha kwanza? Hivi tupo serious kweli katika kuandaa wachumi bora kwa manufaa ya baadae ya Tanzania?
Kama Kiswahili ndio lugha mama ambayo watoto wetu wanaielewa vema na ndio iliyotumika kuwafundisha masuala ya afya na mfumo mzima wa umeng'enyaji wa chakula kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba, kwanini tena mwanafunzi anayeandaliwa kuja kuwa mchumi bora asome tena biology kwa kiingereza kwa muda wa miaka 4, somo ambalo hawezi kulitumia katika kuunda combination ya kumpeleka kidato cha tano?
Hii ni nini kama sio kupoteza muda wa mtoto? Kwani kuna combination ya biology na bookkeeping? Kuna mchepuo gani wa Biology na commerec?
Wanaochukua mchepuo wa sayansi waendelee na hiyo biology yao kwa maana wanaweza kuunda combination kwa masomo mengine kama Physics na Chemistry, lakini mwanafunzi anayesoma Commerce na Bookkeeping mnamfundisha biology ya nini? Kwanini msitoe hiyo biology mkaweka Economics?
Katika masomo yoooote ya A level, ni economics pekee ndio halianzii kidato cha kwanza. Kwanini? Mfumo wetu wa elimu unahitaji mabadiliko makubwa sana kwa maana Tanzania ya 2001 sio sawa na hii ya 2021.
Maoni ya wadau;
==========
Hata mimi nakubaliana na mtoa mada ni afadhari somo la uchumi per say sio hayo yenye mlengo wa biashara liwe somo la lazima Ili kuwasidia watu wanapokuwa viongozi kufanya maamuzi sahihi ya matumizi ya rasilimali badala ya kuamua ki layman afu mwisho wa siku kila kitu kinaishia kuharibika na kupoteza rasilimali za watu.
Somo la Uchumi lime address vizuri dhana ya serikali kutoa huduma na kutoa miongozo inayojaribu kudhibiti matumizi ya hisia binafsi au matumizi mabaya ya rasilimali.kozi za welfare economics, choices and public finance, inequality, poverty and Discrimination nk nk.
Unashangaa hadi leo hii serikali haijui ifanyaje Ili kukabiliana na umaskini yaani imesalia kufanya mambo ya bora liende utadhani haina watu waliosomea Uchumi kushauri sera rafiki kulingana na mazingira.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.