Waarabu walitakiwa wafuate Quran ndio iwe katiba yao. Si kufata umagharibiHii vita isingekua ukigeugeu wa waarabu muajemi angeshamaliza kazi mapema kabisa,,,,watu wanaweka mipango ila waarabu haohao wanakuja ku snitch
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waarabu walitakiwa wafuate Quran ndio iwe katiba yao. Si kufata umagharibiHii vita isingekua ukigeugeu wa waarabu muajemi angeshamaliza kazi mapema kabisa,,,,watu wanaweka mipango ila waarabu haohao wanakuja ku snitch
Halaf myahudi wala hana mbwembwe ila sasa maadui zake weee kwa mipasho wapo vizuri nasikia ajuza bi mkubwa nasrallah akimaliza kubleed tu naye atabwekaNarudia tena, bila vijana wa taifa la Israel, dunia bila nyukilia ingewezekana
Dunia bila teknorojia za maangamizi, ingewezekana
Shida ni hawa watundu wa ubunifu wa hali isiyo ya kawaida, namaanisha Waisrael
Hili taifa kulipiga inawezekana, ila si kulishinda,
Ni sawa tu na mwanaume kupigwa na mkewe halafu mwanamke ajisifu, asijue yule mumewe anaogopa kufungwa jela maisha yake yote kwa hofu ya kumuuwa
Ndivyo lilivyo taifa la Israel!
Ilionekana ni kama kituko cha karine alichokifanya Israel baada ya yale mabomu yaliyotumwa kutoka Irani, Israel alichojibu ni kutuma kitufe fulani hivi ambacho Wairan walikicheeeka kwa dharau zote, wasojue ndani yake kilibeba nini!
Siku za hivi karibuni, taifa hili limekuwa likifanya mambo yanayotatiza akili za watu duniani
Kitendo cha ndege ya Rais wa Iran kuzukwa na moshi mkuu wa ukungu na hatimaye kuanguka, bado dunia inawaza ni walipigaje hapo vijana wa Netanyahu?
Kitendo cha yule gaidi aliyehudhuria uapisho wa Rais mpya huko Iran, kwamba vijana tundu hawa wa Kiisrael walitegaje kile kilipuzi ndani ya hoteli kubwa amnayo pia hutumika kulala kwa viongozi mbalimbali wa Irani na wa mataifa mengine?
Na kitendo cha Jana kufanya vilipuzi katika simu za maadui wao, bado Dunia inakosa majibu, kwamba anapigapigaje huyu Myahudi
Hii ni sawa na kusema, Dunia imetegwa ikategeka
Tulioko Vikindu, Mabwapande, Lupaso huko, kijichi na mbagala, inatubidi tuwe watazamaji tu
Ukiamini kabisa Israel itakiri imemua Rais? Kwan mlipuko wa jana Iliyowapasua migaidi ya Hezbollah umesikia Israel wakijihusisha nao?Huu uongo wa kudai Israel imehusika na kifo cha Ibrahim Raisi bado mnaushukilia tu!??
Netanyahu mwenyewe amkekiri kuwa Israel hausiki ila wewe bado unashikilia.
Aisee utakua na tatizo la akili.
Israel tukio la Haniyeh hawakukataa wala wahakukubali.Ukiamini kabisa Israel itakiri imemua Rais? Kwan mlipuko wa jana Iliyowapasua migaidi ya Hezbollah umesikia Israel wakijihusisha nao?
Umesikia Israel ikisema ilimuua Haniya?
Na nyie hao hizbollah na hamas waambie wasimame kama wao wasisaidiwe na Iran alafu ndio tujue nani ni nanikuwashinda inawezekana tena asubuhi tu kama kama mpambano ukiw ni israel vs hamas tu au israel vs hezbollah tu...USA na NATO wakae mbali
Israel ni mtu wa kufanya kazi na matokeo kuonekana na dunia nzima, si mtu roporopoIsrael tukio la Haniyeh hawakukataa wala wahakukubali.
Na walivyoshutumiwa na Iran hawakupinga na waliposikia Iran inajiandaa kulipa kisasi iliandaa mazingira ya kujihami.
Ila tukio la Rais walikana kabla hata hawajashutumiwa.
Hapo unapata picha gani!?
Umepewa fact uichambue unabwatuka.Israel ni mtu wa kufanya kazi na matokeo kuonekana na dunia nzima, si mtu roporopo
Rais, Haniyah,na migaidi mingine itazidi fyekelewa mbali.
Hezbollah, Hamas, Houth, na migaidi mingine wanasaidiwa na Iran, North Korea, Russia, Turkey na mataifa mengine na bado wanauwawa ka nzi na myahudiNa nyie hao hizbollah na hamas waambie wasimame kama wao wasisaidiwe na Iran alafu ndio tujue nani ni nani
We nawe kukaza fuvu unabwatuka tu ka umelipukiwa na pager anyway ndo uwezo wako ulipoishiaUmepewa fact uichambue unabwatuka.
Mbona walivyolipua Iran consulate pale Syria walijisifu??
Mbona walipomuua Haniyeh hawakukataa shutuma!?
Kwanini kufa kwa Ibrahim Raisi walikataa kabla hata hawajaanza kushutumiwa??
Ukiacha ushabiki na kutuliza fuvu utaelewa nini nazungumzia.
Kama huna hoja nyamaza.We nawe kukaza fuvu unabwatuka tu ka umelipukiwa na pager anyway ndo uwezo wako ulipoishia
Hizbollah na Hamas kwa jinsi walivyo duni kamwe hawana ubavu wa kusimama wenyewe hawana any tech sasa wanasimama vipi hao?Na nyie hao hizbollah na hamas waambie wasimame kama wao wasisaidiwe na Iran alafu ndio tujue nani ni nani
Una ushahidi gani kama Turkiye,North Korea na Russia wanawasaidia hao wanamgambo??Hezbollah, Hamas, Houth, na migaidi mingine wanasaidiwa na Iran, North Korea, Russia, Turkey na mataifa mengine na bado wanauwawa ka nzi na myahudi
...na kitimoto na bia kwa kujifichaYani kwa waarabu,..........,,bora hata muajemi...waarabu mdebwedo tu wanachojua kucheza vidufu na kula nyama ya ngamia
Ona sasa msivyotumia akili.Na nyie hao hizbollah na hamas waambie wasimame kama wao wasisaidiwe na Iran alafu ndio tujue nani ni nani
Una ushahidi gani kama Turkiye,North Korea na Russia wanawasaidia hao wanamgambo??
Evidence please.
www.dailynk.com
Hizbollah hana ubavu wa kuunda silaha labda kama unaongelea marungu, mawe. Silaha analetewa na Iran, na iran anakuwa supported na russia, North Korea, na wengine.Ona sasa msivyotumia akili.
Hamas mmewanyima kumiliki anga na mipaka ya maji.
Mmewanyima kuwa na jeshi kamili
Mmewanyima kununua silaha.
Mmewanyima kumiliki navy.
Halafu still ninyi na majeshi yenu kamili mnapigana nao.
Hamas hawana hata kifaru kimoja mna mobilize mavifaa kama yote.
Hizbullah sasa hivi ina uwezo wa kuunda silaha zake wenyewe.
Hizo silaha unazoziona zimelipua Galilaya ni Lebanese made.
Israel hana ubavu wa kusimama na hizbollah kavu kwa kavu.
Laa sivyo ya 2006 yatajirudia.
Mbona hayo makundi yenu ya hezbollah, hamas , houth yanapigana huku iran yupo nyuma yao kwanini Israel asimame pekee yake ili hali magaidi wenu wanasapotiwa silaha, fedha, mafunzo na iran na mataifa mengine ya kiarabu tusiyoyajua kama uturukikuwashinda inawezekana tena asubuhi tu kama kama mpambano ukiw ni israel vs hamas tu au israel vs hezbollah tu...USA na NATO wakae mbali
Ndio maana ninyi wala mbuzi katoliki huwa mnamezeshwa ujinga.Kwa kifupi tu na kuokoa muda nakupa hii Hammas zile tunnels ni tech na supervision ya North korea na inajulikana sana na imeripotiwa sana ila najua kwa akili yako ya urojo na tende utabisha google tu north korea hammas tunnels utajuzwa![]()
We now know North Korea is impossible to invade: Israeli struggles against Gaza’s tunnel networks prove it - Daily NK English
Tunnel networks in Gaza were constructed using North Korean technologies and with planning and supervision from Korean specialists.www.dailynk.com
Kipindi vita inaanza Hamas alikua hasaidiwi na yeyote.Mbona hayo makundi yenu ya hezbollah, hamas , houth yanapigana huku iran yupo nyuma yao kwanini Israel asimame pekee yake ili hali magaidi wenu wanasapotiwa silaha, fedha, mafunzo na iran na mataifa mengine ya kiarabu tusiyoyajua kama uturuki
Shida yako unaropoka kama umekunywa wanzuki.Hizbollah hana ubavu wa kuunda silaha labda kama unaongelea marungu, mawe. Silaha analetewa na Iran, na iran anakuwa supported na russia, North Korea, na wengine.
Kwa akili zako utakuwa unaamini zile pager katengeneza Hizbollah