Somo tunalolipata kutoka kwa taifa la Israel. Mwanaume hapigwi na mkewe, ikitokea, ni mwanaume kaogopa jela tu

Somo tunalolipata kutoka kwa taifa la Israel. Mwanaume hapigwi na mkewe, ikitokea, ni mwanaume kaogopa jela tu

Kwa kifupi tu na kuokoa muda nakupa hii Hammas zile tunnels ni tech na supervision ya North korea na inajulikana sana na imeripotiwa sana ila najua kwa akili yako ya urojo na tende utabisha google tu north korea hammas tunnels utajuzwa
Nasubiri ushahidi wa Turkiye na Russia kumsaidia Hamas.
Maana wa North Korea umeshafeli kwa kuleta habari za propaganda.
 
Shida yako unaropoka kama umekunywa wanzuki.
Suala la pager nani hafahamu kama zimenunuliwa nje!??
Hizbollah sasa hivi anao uwezo wa kuunda short range missiles na heavy artillery pamoja na rocket launchers.
Silaha anazochukua Iran ni zile high precision medium na long range guided missiles.
Ila mifumo ya rocket kama katyusha anaunda hapo hapo Lebanon.
Kuhusu Iran kusaidiwa na North Korea na Russia hao huwa wana share technology bas.
Iran hapewi msaada mwingine zaidi tu ya kushare technology tu.
Na kama haujui elimu fanisi ya uchakataji wa nuclear na kuunda hypersonic missiles Iran ndio kamsaidia North Korea.
Nilijua kwa akili yako ya kimaamuma lazima ubishe
 
Nasubiri ushahidi wa Turkiye na Russia kumsaidia Hamas.
Maana wa North Korea umeshafeli kwa kuleta habari za propaganda.
Kwa ulivyo mbishi utakuwa ushaikana hata jinsia yako pole sana ukweli kwa maamuma unauma
 
Kwa ulivyo mbishi utakuwa ushaikana hata jinsia yako pole sana ukweli kwa maamuma unauma
Humu huwa tukileta taarifa huwa mnasema tulete kutoka chanzo ambacho ni credible.
Leo hii hii kanuni unaiacha!??
Ndio shida yenu huwa mkikosa fact mnakimbilia personal attacks.
Lete credible sources sio propaganda.
 
Humu huwa tukileta taarifa huwa mnasema tulete kutoka chanzo ambacho ni credible.
Leo hii hii kanuni unaiacha!??
Ndio shida yenu huwa mkikosa fact mnakimbilia personal attacks.
Lete credible sources sio propaganda.
Kwa kuwa umekataa sasa basi leta wewe chanzo credible kinachoelezea nani behind tech ya hizo tunnels
 
Kwa kuwa umekataa sasa basi leta wewe chanzo credible kinachoelezea nani behind tech ya hizo tunnels
Hizo tunnels hazijaanza kuchimbwa leo.
Na mtindo wa mahandaki ni mtindo wa waarabu toka enzi za Ottoman empire.
Sasa wewe unayesema North Korea ndio amesaidia ndio ulete ushahidi wenye kueleweka.
Vita takriban zote waarabu walizopigana wamechimba mahandaki.
 
Hizo tunnels hazijaanza kuchimbwa leo.
Na mtindo wa mahandaki ni mtindo wa waarabu toka enzi za Ottoman empire.
Sasa wewe unayesema North Korea ndio amesaidia ndio ulete ushahidi wenye kueleweka.
Vita takriban zote waarabu walizopigana wamechimba mahandaki.
weka chanzo cha hiki ulichoandika
 
weka chanzo cha hiki ulichoandika
Soma ripoti ya IDF wenyewe.
Zingatia point no.3 inavyoeleza Hamas walivyo manage kutengeneza hizo tunnels kuanzia 2014.
Screenshot_2024-09-18-16-25-22-79_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-18-16-26-01-69_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-18-16-25-08-68_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Soma ripoti ya IDF wenyewe.
Zingatia point no.3 inavyoeleza Hamas walivyo manage kutengeneza hizo tunnels kuanzia 2014.
View attachment 3099646View attachment 3099648View attachment 3099649
hii report unayodai ni ya IDF imesema wapi kuthibitisha hiki ulichoandika awali eti kuwa
"Hizo tunnels hazijaanza kuchimbwa leo.
Na mtindo wa mahandaki ni mtindo wa waarabu toka enzi za Ottoman empire"
Report ipo wazi sana Hammas inapewa construction material na Israel kwa ajili ya civilians projects yenyewe kwa akili zao za kigaidi inadivert. Hakuna kutajwa kwa Ottoman Empire, wala mtindo wa waarabu.
 
hii report unayodai ni ya IDF imesema wapi kuthibitisha hiki ulichoandika awali eti kuwa
"Hizo tunnels hazijaanza kuchimbwa leo.
Na mtindo wa mahandaki ni mtindo wa waarabu toka enzi za Ottoman empire"
Report ipo wazi sana Hammas inapewa construction material na Israel kwa ajili ya civilians projects yenyewe kwa akili zao za kigaidi inadivert. Hakuna kutajwa kwa Ottoman Empire, wala mtindo wa waarabu.
Kwanza nimekuonesha kuwa hizo tunnels hazijaanza kujengwa leo.
Kama ulitaka ushahidi wa mahandaki toka enzi za Ottoman ungesema ungekua specific.
Kwanza umekubali kuwa North Korea hawahusiki na uchimbaji wa hayo mahandaki ya Hamas??
 
Kwanza nimekuonesha kuwa hizo tunnels hazijaanza kujengwa leo.
Kama ulitaka ushahidi wa mahandaki toka enzi za Ottoman ungesema ungekua specific.
Kwanza umekubali kuwa North Korea hawahusiki na uchimbaji wa hayo mahandaki ya Hamas??
Ni wapi report imesema North Korea haihusiki?
 
Hezbollah, Hamas, Houth, na migaidi mingine wanasaidiwa na Iran, North Korea, Russia, Turkey na mataifa mengine na bado wanauwawa ka nzi na myahudi
Hivi wewe unaelewa idadi ya IDF wanaopoteza maisha kila siku Gaza peke yake? Hapo ujawekea upande wa north Israel hana tabia ya kutangaza lakini wanakufa si chini ya 30 every day kwa ujmla
 
Kipindi vita inaanza Hamas alikua hasaidiwi na yeyote.
Kama una kumbukumbu vizuri kitendo cha USA na Uk Kupeleka battle ships za msaada Israel ndio na Hizbollah na Houthi wakaingilia kati.
Haiwezekaniki kakikundi cha 30k millitias mkichangie ninyi nchi tatu zenye jeshi kamili.
Hapo hapo mzuie vyakula na maji.
Kama isingetokea hivyo basi Houthi na Hizbollah wangekaa pembeni.
Wewe fala kweli hamas wanasaidiwa na Iran toka mwanzo
 
Na.
Hivi wewe unaelewa idadi ya IDF wanaopoteza maisha kila siku Gaza peke yake? Hapo ujawekea upande wa north Israel hana tabia ya kutangaza lakini wanakufa si chini ya 30 every day kwa ujmla
Magaidi wamekufa wangapi?
 
Back
Top Bottom