Somo tunalolipata kutoka kwa taifa la Israel. Mwanaume hapigwi na mkewe, ikitokea, ni mwanaume kaogopa jela tu

Mwambie marekani na NATO waondoke mashariki ya kati halafu uone Isreal anavyohamia mazenzese
Marekani bila Israel haipo kaka. Asilimia karibu 80 ya raia wa Israel ni raia wa marekani urusi ulaya na hata huko uarabuni so ulipo yupo.
 
Kwa hivyo wamevamia uarabuni badala ya kuishi kwao America?
Hakuna raia wa asili popote usidanganywe. Hata wewe ukifuatilia utakuta babu zako walitokea mahali wakavamia na hapo walipotoka walivamia pia.
 
General alieuwawa kwenye ubalozi wa Iran ndie alikuwa architecture wa October 7.
Sasa hapo unasemaje Hamas hakuwa na usaidizi? Like seriously bro.
 
Hivi wewe unaelewa idadi ya IDF wanaopoteza maisha kila siku Gaza peke yake? Hapo ujawekea upande wa north Israel hana tabia ya kutangaza lakini wanakufa si chini ya 30 every day kwa ujmla
30 Israeli soldiers die everyday since October 7.
347 days since October 7
30*347= 10410 soldiers died since October 7.

The latest death toll stands at 41,957 Palestinians and 1,139 people killed in Israel since October 7.
 
Hezbollah ordered pagers from a Taiwanese company, which had them made in Europe. Israeli agents intercepted the devices in Europe, adding explosives near the battery with a remote trigger.

Yesterday evening, all pagers received a message at the same time appearing to be from Hezbollah leadership, but it was sent by Mossad. The explosion was timed to occur seconds after the message, allowing the operatives enough time to pull the pagers out to read.

Those who took the pagers out to read were blinded, and those who didn’t lost their private parts.
 
Nawapenda sana haya majamaa kwenye ulimwengu wa ki intelligence wapo dunia yao...
 
Waarabu walitakiwa wafuate Quran ndio iwe katiba yao. Si kufata umagharibi
Quran? Holly land ni for watu wa Musa not Arabs na hiyo kitu wanajifanya hawaoni kabisa aya za Quran
 
Kama walivyovamia waarabu. C unajua Ibrahim Baba yao alitolewa Iraq akaletwa hapo
Ibrahim hakupelekwa alinunua ardhi yote ya Haifa,Tel Aviv na maeneo mengi ndio maana huwezi sikia mtu akidai
 
Mpaka leo hivyo vifaa vina3ndelea kulipuka.

Anacho fanya israel ana haribu mawasiliano ya hawa Hezbollah kisha aanze kujipigia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…