Mmeandika kana vile alifanya hiyo kazi peke yake; kuna wengine pia wasiovaa "vipedo"wametoa mchango wao kwenye utafiti huo lakini nyie wavaa vipedo mnamshabikia mwenzenu tu!!
HAKUNA MUISLAMU ANAITWA AHSANTE RABI kIGOMA ALIZAA NA MKRISTO TENA NJE YA NDOA , LEO UNAKUBALI MTOTO WA NJE SIO MAMA YAKE NA WAJOMBA ZAKE WAMEMFANYA AWE ALIPO
"Huyo zao la madrassa, hawezi mambo hayo, toka lini hawa wavaa "vipedo" wakawa na akili"?
Kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Hawa mabwana wa COSTECH hawana hata chembe ya aibu? Wao wamefanya nini kuhusu state of research in TZ at the moment?kila siku ni warsha na makongamano,then Mtanzania anafanya vizuri nje ya nchi wana-jump the wagon ili waonekane kuna lolote la maana wanafanya.
It's time COSTECH reasses its position in contributing to the development of this country, rather than being a money pit it currently is.
When was the last time a world class research work has been sponsored by COSTECH?
Mkuu The Boss, asante. Kumbe ulisoma Azania?, mimi nilikuwa hiyo shule ya jirani yako, ile ya Walume Ndago!, vipi jamaa class alikuwa kichwa?. Ilikuwa ni miaka ipi?. Mimi nimesoma darasa moja primary na mtoto wa Malima ambaye sasa ni medical doctor Dr. Amani, by then Malima alikuwa na watoto wawili tuu, Amani na kaka yake tuu, ila kwa vile ilikuwa long, usikute dogo alikuwa hajazaliwa!.
Thanks
Pasco
Regina, Adam, Amani, Akilimali, Fadhili, Asanterabi....
Angekuwa nchi za kiarabu ningekuelewa unachokisema, sasa hivi yuko nchi za wagalatia ambako anapata elimu mnayoiita "BOKO HARAMU" kisha una anza kusifia!! Sifia wanaokariri juzuu zote tuone kama wananweza kutibu hata mafua!
Sasa kama mnajua ya kwamba wanaouliwa na mayahudi hao wapalestina ndan yao kuna wakristo na waislam sasa kwann nyinyi mnshangilia unyama huo wa israel?
Hahaaaaaaaaaa unadhani tumesahau mnavyowatusi waislam Kila kukicha na kuingiza udini Kila pahala?
kubali tu kuwa haufurahii mazuri ya waislam, chuki zako zipo waziwazi usijifiche.
TUNAWAJUA MAKAFIRI VIZURI KULIKO MNAVYODHANO.
HAWATOKUWA RADHI MAYAHUDI NA MANASWARA MPAKA MFUATE MILA ZAO
Mtasema sana.
HAKUNA MUISLAMU ANAITWA AHSANTE RABI kIGOMA ALIZAA NA MKRISTO TENA NJE YA NDOA , LEO UNAKUBALI MTOTO WA NJE SIO MAMA YAKE NA WAJOMBA ZAKE WAMEMFANYA AWE ALIPO