Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

Mmeandika kana vile alifanya hiyo kazi peke yake; kuna wengine pia wasiovaa "vipedo"wametoa mchango wao kwenye utafiti huo lakini nyie wavaa vipedo mnamshabikia mwenzenu tu!!

Soma vizuri hiyo post #1 uone timu iliyopo.

Unaelewa unachokisoma au umekurupuka tu?
 
kweli wewe ni sumu, unaandika sumu na atakayeamini uloyaandika ataangamia kwakuwa amekula sumu.

FaizaFoxy ni moja kati ya WATU werevu sana hapa JF Mwenye hoja nzito nyingi.
Tunahitaji WATU wengine wengi kama yeye ili tunufaike zaidi.

Kakupiga ikulu ndiomana unalalama, ukweli na usemwe HATAKAMA unaumiza.
 
HAKUNA MUISLAMU ANAITWA AHSANTE RABI kIGOMA ALIZAA NA MKRISTO TENA NJE YA NDOA , LEO UNAKUBALI MTOTO WA NJE SIO MAMA YAKE NA WAJOMBA ZAKE WAMEMFANYA AWE ALIPO

Uzoefu unaonyesha kuwa watoto wa nje ya ndoa huwa wanafanya vizuri sana katika maisha, hasa kama Baba zao waliwakataa, kuna uhusiano gani katika hili ?
 
Naona vinajadiliwa vioja badala ya hoja! Hoja hapa ni historic medical discovery by Malima! Kweli anahitaji pongezi nyingi. Itakuwa ni jambo jema kama share zake katika technologia mpya zitawasaidia mama zetu kwa ugunduzi na matibabu ya mapema dhidi ya cervical cancer
 
Mkuu mambo ya Tanzania ni Magumu sana. Najua mwaka jana huyu jamaa alikuja na kuomba kufanyia majaribio yake NIMR. Alikubaliwa nadhani.

Chakujiuliza wizara ya Sayansi na Teknolojia, Costech na TIRDO, ndo kila kitu. Zimeundwa kusimamia sera baadala kuzalisha maeneo na zanaa za kufanyia utafiti.

India, S. Africa, n.k kuna kitu kinaitwa CSIR, ambayo ni sawa na TIRDO hapa. Ndo power "engine" ya maendeleo ya ndani ya nchi. Hii taasisi ina-link viwanda, wizara na watafiti na kuna mfuko maalum wa utafiti "NRF" kwa wanasayansi.

Sisi, tusubiri ila tutafika.
Hawa mabwana wa COSTECH hawana hata chembe ya aibu? Wao wamefanya nini kuhusu state of research in TZ at the moment?kila siku ni warsha na makongamano,then Mtanzania anafanya vizuri nje ya nchi wana-jump the wagon ili waonekane kuna lolote la maana wanafanya.

It's time COSTECH reasses its position in contributing to the development of this country, rather than being a money pit it currently is.
When was the last time a world class research work has been sponsored by COSTECH?
 
Alaf usisahau ni kijana wa KIZARAMO!. Nakumbuka Waziri mmoja wa Serikali ya JK alikuta pande za mbali nafanya mambo yangu, kaniuliza ww ni kbila gani, nikamjibu kuwa mimi ni mzaramo wa Kkoo atanijibu siku hizi wazaramo wanakwenda shule! Nikamshaangaa sana,kisha nikamjibu,wapo wengi tu waliokwenda shule lakini hawana ulimbukeni wa wakuja kama nyie!
Mkuu The Boss, asante. Kumbe ulisoma Azania?, mimi nilikuwa hiyo shule ya jirani yako, ile ya Walume Ndago!, vipi jamaa class alikuwa kichwa?. Ilikuwa ni miaka ipi?. Mimi nimesoma darasa moja primary na mtoto wa Malima ambaye sasa ni medical doctor Dr. Amani, by then Malima alikuwa na watoto wawili tuu, Amani na kaka yake tuu, ila kwa vile ilikuwa long, usikute dogo alikuwa hajazaliwa!.
Thanks
Pasco
 
Ana heshima yake kwa haya aliyoyafanya anastahili kutiwa moyo na kuendelezwa sio kushutumiwa bila kujali Dini yake wala kabila lake wala alipozaliwa ni mtanzania mwenzetu heshima kwa nchi yetu.
 
Pasco,

Nawafahamu watoto wake Adamu, Amani, akilimali, na huyu mdogo wao Asanterabi,kasoma Azania kisha kasoma Aga Khan, kazaliwa mwaka 1979.

Regina, Adam, Amani, Akilimali, Fadhili, Asanterabi....
 
Angekuwa nchi za kiarabu ningekuelewa unachokisema, sasa hivi yuko nchi za wagalatia ambako anapata elimu mnayoiita "BOKO HARAMU" kisha una anza kusifia!! Sifia wanaokariri juzuu zote tuone kama wananweza kutibu hata mafua!

Mtasema sana.
 
Sasa kama mnajua ya kwamba wanaouliwa na mayahudi hao wapalestina ndan yao kuna wakristo na waislam sasa kwann nyinyi mnshangilia unyama huo wa israel?

Na ndo maana nikasema kuwa dunia itakuw ni mahali salama pa kuishi pasipo kuwepo hizo dini zenu kama akiuawa binadamu mkristo wewe mwislaam unashangilia na akuuawa binadamu mwislaam mkisto anafurahia... dini zinawatoa ufahamu
 
Huyu kijana namkumbuka alivyokuwa Azania, Yupo vizuri. Hongera kwa hatua uliyofikia unastahili.
 
Hahaaaaaaaaaa unadhani tumesahau mnavyowatusi waislam Kila kukicha na kuingiza udini Kila pahala?

kubali tu kuwa haufurahii mazuri ya waislam, chuki zako zipo waziwazi usijifiche.

TUNAWAJUA MAKAFIRI VIZURI KULIKO MNAVYODHANO.

HAWATOKUWA RADHI MAYAHUDI NA MANASWARA MPAKA MFUATE MILA ZAO

Hayo mawazo finyu ndugu, hivi unaniweka kwenye kundi la udini na mimi?!! FYI, SINA DINI, SINA MUNGU! Badala mjadili umuhimu wa uvumbuzi wake mnaanza kujadili umuhimu wa nyumba anamoabudu?!!!!....SHAME!
 
Wanasema sana kwa sababu umeanz mwenyewe ----- huu, watu wanajadili mafanikio ya mtu wewe umeshakimbilia ujinga wako wa kila siku. Hivi hiyo shule ilikusaidia nini kama haijakukomboa?
Mtasema sana.
 
Damn, where does this comment come from?? Umeharibu post mwenyewe Faiza!!! Huwezi kuwaza nje ya box la udini??
 
HAKUNA MUISLAMU ANAITWA AHSANTE RABI kIGOMA ALIZAA NA MKRISTO TENA NJE YA NDOA , LEO UNAKUBALI MTOTO WA NJE SIO MAMA YAKE NA WAJOMBA ZAKE WAMEMFANYA AWE ALIPO

Mbona tunatumia nguvu nyingi sana kulazimisha hoja ambazo hazina msingi, embu turudi nyuma kumpongeza Mtz mwenzetu bila kujali ametokea dini gani maana huku mtaani huwa hatuulizani dini kwa huku Mwanza tunaitana Wananzengo bila kujali dini
 
Back
Top Bottom