Son of Ex-Minister Malima in historic medical discovery

Mkuu Kalyovapiti, asante!. Nini kusoma na mtoto wa malima?!, niliyentaja nimesoma nae darasa moja!. Pia primary nimesoma darasa moja na Mtoto wa Malecela!, sekondari nimesoma darasa moja na Mtoto wa Nyerere, Darasa Moja na mtoto wa Mkapa, shule moja na Mtoto wa Mwinyi!. A-Level nimesoma darasa moja na Mtoto wa Warioba!. Chuo nimesoma na mtoto wa JK japo sio darasa moja!.

Nikiwa mwandishi, nimekaa kuzungumza face to face na Nyerere, Mwinyi, Mkapa, JK, hivyo wote hao ni watu wa kawaida sana!, kwa bahati nzuri, with connections na lobbying, I could have been anyone I wanna be, but very unfortunately, I'n nobody simply because I've decided to be so, mimi ni wale rare type ya ambitionless just to be nobody!. Mpaka hapa ninapoandika sasa, mimi ni jobless, sijaajiriwa na popote na yeyote, situmwi chochote na yeyote, popote, ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea, I just do what I love, I feel or i like, na kith kikubwa zaidi kuliko vyote, I don't work for money!, I just made some, and used it to work for me!.
Nimeoa wake wawili, nina watoto 7!, Naishi nao wote very happly pale nyumba ya kupanga, Tandale nyuma ya kwa Mtogole, jirani na Uwanja wa Fisi, usafiri wangu ni boda boda!.

Thanks.
Pasco.
 
Soma vizuri hiyo post #1 uone timu iliyopo.

Unaelewa unachokisoma au umekurupuka tu?


Na bado.

Leo mtaongeza idad zoote za watoto mzipendazo.

Lakin ujumbe umewafikia sasa.

Mtasema sana.


Kwa dizaini hii itafika mahali mtu akienda hospitali atakuwa anauliza "WEWE DOKTA DINI GANI" maana huwezi jua atakufanya nini wewe ukiwa kama mgonjwa kwa roho za namna hizi mnazoonyesha hapa
 
Huyu naye alisoma spesho skul?

wadau wanasema jamaa ni aza boy..sijui kama azania nayo iliitwa spesho?special school hakukuwa na jipya zaidi ya kushindana kukariri vitabu vilivyoandikwa na wazungu na kupata div.one mitihani ya necta!
 
wadau wanasema jamaa ni aza boy..sijui kama azania nayo iliitwa spesho?special school hakukuwa na jipya zaidi ya kushindana kukariri vitabu vilivyoandikwa na wazungu na kupata div.one mitihani ya necta!

Hivi kuna special schooler yeyote aliyevumbua chochote?
 
Nilitegemea uzi huu ungekua chachu ya maendeleo kielimu kwa watanzani tuliopo hapa nyumbani na wale waliopo ughaibuni kwa kuwa na idadi kubwa ya watu kama Dr.Asanterabi lakini imekua mambo ya udini sasa,Faizafoxy ni kweli umekuwa mwerevu lakini kasoro yako moja ni kuendekeza udini.
Japo nilitegemea kuona members humu wakitutajia watanzania wengine wenye uwezo kama Dr.Asante,lakini ni udini mwanzo mwisho
 

huyu azania form four mwaka 1996 so unaweza imagine mwaka 1995 alikuwaje baada ya baba yake kutoka uwaziri wa fedha hadi kufariki akiwa upinzani but ali manage kusoma vizuri na kufaulu...kuhusu kuwa kichwa Azania kulikuwa na vichwa vya ukweli hakuingia hata top 20 unaweza kuona kama wote wangepata nafasi ya kwenda kusoma nje tungekuwa na scientist wangapi huko duniani by now....
 

kuna watu wanaakili ndogo sana kama nyie mnaozungumzia dini baada ya kuwaza vitu vya maana dini inawakat wake wandugu achen kuwa na mawazo mgando
 

Yaani hata mimi nimeshangaa..Hivi hapa wazo la kuingiza dini limetoka wapi kama sio sickness!! Kuna mengi yakuongelea hapo kuhusu kazi ya huyo jamaa. Kweli kila kadamnasi haikosi viazi mbatata!!
 
Alikuwa average tu Azania....kuna real brain hazikupata nafasi tu za kwenda huko nje na kuonesha uwezo wao

Bongobserikali scholarship kwa majina.

Kuna watu walikuwa wanazikalia scholarships mpaka zina expire.

Kwa sababu tu hawakuwa na "watu wao" wenye majina kuwapa.
 
Bongobserikali scholarship kwa majina.

Kuna watu walikuwa wanazikalia scholarships mpaka zina expire.

Kwa sababu tu hawakuwa na "watu wao" wenye majina kuwapa.


Umenikumbusha masheikh wa BAKWATA wanajifanya wanatafuta scholarship kwa waislam wakipata wanauza kwa yeyote mwenye pesa.....huku wakiendeleza "siasa za nchii hi waislam wanaonewa"
 
Umenikumbusha masheikh wa BAKWATA wanajifanya wanatafuta scholarship kwa waislam wakipata wanauza kwa yeyote mwenye pesa.....huku wakiendeleza "siasa za nchii hi waislam wanaonewa"

Ahahahaaa daaah! That's classic man.

Kwa hiyo hata mimi nisiye na dini kama ningewapa mshiko wangenipa scholarship?

Aisee njaa bana...
 
Ahahahaaa daaah! That's classic man.

Kwa hiyo hata mimi nisiye na dini kama ningewapa mshiko wangenipa scholarship?

Aisee njaa bana...

Wanakupa..unafiki ugonjwa mbaya sana...unafiki na njaa pata picha
 
So, me being me...nime-notice kitu kwenye hii habari.

Alichokifanya huyu dogo na wenzake ni 'discovery'. Sasa basi, 'discovery' na 'invention' ni kitu kile kile ama ni vitu viwili tofauti?
 
Ahahahaaa daaah! That's classic man.

Kwa hiyo hata mimi nisiye na dini kama ningewapa mshiko wangenipa scholarship?

Aisee njaa bana...


wewe leo unaweza andikisha hospitali yako au shule kuwa ni ya BAKWATA usilipe kodi au hata kanisa lolote bila kujali kama ni kweli.....usione zahanati za kidini ukafikiri ni kweli..unakuta owner ni John Massawe but anamiliki zahanati ya Bakwata..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…