Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

Mwaka 2014 nimekunywa sana komoni kule mitaa ya manzese, bombambili nimepiga sana ulanzi, kule juu sijui kilabu cha mkoa nimekunywa sana napo.
Kuna bar iliitwa planet pale mfaranyaki sijui bado ipo! Hapo ndio tulikuwa tunakunywa bea.
 
Hao ni wakimbizi kutoka kwa Madiba Afrika Kusini. Toka lini mkimbizi akaijenga nchi anayokimbilia
 
Kuachana na maendeleo ya vitu ,Ila songea wanafaidi vyakula,unaenda kula mahala wali kuku ,unaletewa bongemsosii mzito ,Tena kuku wakienyeji karibu nusu ,kwa buku jero tu
Waelezeeeeeeeeee!!!!!!!

Weuweeeeee!!!!!
 
Ruvuma imeizidi kilimanjaro ?

kwa umaskini au ?
 
Daaaa elim n kitu Cha msingi sana
Kwaiyo ww unazan GDP ndo kipimo perfect chakupima standard of living mungu akusaidie maaana unasafali ndefu sana mpaka uje kufika
Hebu jifunze kuandika kiswahili kwanza...

Lugha yenyewe kuandika inakushinda kuandika...ujuaji tu.

Hata hujaelewa nilichoquote, unapayuka tu kujibu na kureply...

Hebu rudia kusoma statement yangu vizuri..

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…