Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But huyu mngoni kaanzisha mchina ndiye huyo katoboa stone 🪨city 0100hrs, although tunafahamu mchina nguvu yake road ni 12-24 months anakuwa hoi ila mswidi ndiyo kwanza anaanza kazi.BIla shaka ni zile scania mpya ndo zinampa jeuri, .... Sasa mtu anasema zongtong gari Kali achen mzaa , scania ineshindkana, ... Route zote nzito inapewa scania... Dar Lubumbashi, dar Nairobi, hata mahari ya bushi huko makete na lupembe ni scania tupu
Omari msigwaNani mmiliki wa hizi Bus maana kule kusini ni zenyewe tu
MKUU ROUTE YA MBAMBA BAY TO DAR WANAPITIA NJOMBE AU MTWARA?Mbamba bay to dar
Mbamba bay to kyela
Songea to mwanza
Mambo ni moto
Classic waliweka ruti ya mbeya -dom -kahama mpaka kisangani congo but ilifeli!!Kigoma kuna wenyewe wewe mgeni usije jidanganye kupeleka gari bila kujipanga.
Hapo ongezea na route ya kampala- mbeya-tunduma hii nayo sizan kama ipo
Kabisa, nimepanda marcopolo ya superfeo kutoka njombe-dar wako vizuri sana.Macopolo wapo vizuri sana ndie anaweza chuana na mchina kwenye luxuriy na comfortability
Fqida ya maendeleo ya vituNchi imefunguka sana kwa kiasi kikubwa..tumebakiza Kigoma tu..
Itakuwa htrBut huyu mngoni kaanzisha mchina ndiye huyo katoboa stone 🪨city 0100hrs, although tunafahamu mchina nguvu yake road ni 12-24 months anakuwa hoi ila mswidi ndiyo kwanza anaanza kazi.
kidogo sana. Kwa nauli iyo kweli wanapata faida?Songea- mwanza
Nauli 70k
amefika usiku au mchana?Superfeo Imefika Mwanza saa saba dk 26 leo 07/11/2021
Sauli ana sufuria za Gemilang sura dumeYaa body Marco polo ,engine scania...mambo ya sauli hayo utaioend
Hakuna ila kuna mtwara - morogoro nadhan ni Maning Nice
Hongera yake kwa kweli but Kuna kipindi alikuwa na Dar - Kahama miaka ya nyuma kidogo nafikiri palimshinda akatoa gariNaona superfeo anataka kukimbiza maana Ana Songea To Mwanza na Mbeya to Mwanza anaitafuta kanda ya ziwa taratibu baada ya kumaliza kusini
Ofisi zao mwanza ziko wapi?,,View attachment 2001727View attachment 2001728View attachment 2001729
Hii mbamba bay to dar,,,,,,dar tuliingia SAA 7 kamili usiku.
Home boySuper feo ni habari nyingine ana uthubutu kaanzisha route nyingi sana afu wengine wanafuata nakumbuka kipindi nasoma Dodoma nilikuwa napata shida kuunganisha magari kwenda home Mbinga kama kupitia Morogoro au Iringa then nipate gari ya Songea ila mbabe akatuanzisha route ya mojamoja toka Dom mpata Songea town ndipo wengine wakaona fursa.
Majinja ana reduce cost za uwekezaji....ananunua gari bovu bovu anaenda kulisuka na kuliweka sawa gereji kwake. Likitoka linakuwa kama jipya.Hahaha sasa kwanini habadili kabisa? You're right
Umekalili mkuu......Sauli ana sufuria za Gemilang sura dume
Wanapitia iringa, Mtera, dodoma babati Arusha na kumalizia kilimanjaro, ni kama vile mabasi ya mwanza moshi au Tabora moshi yanavyofanya , wakitoka mwanza wanakatisha singida then babati arusha , moshi.Mwambie manager Songea to Kilimanjaro hapo hawajajiongeza maana wangemalizia tu mpaka Arusha.
Au bus inapitia Dodoma, Singida then Arusha to Kilimanjaro?