Songea to Mwanza: Mwamba katoa chuma na kaanzisha hii route

Songea to Mwanza: Mwamba katoa chuma na kaanzisha hii route

Ofisi zao mwanza ziko wapi?
Pia mawasiliano yao tunayapataje?
Chukuwa no hapo kupata maelekezo.
IMG_20211108_090614.jpg
 
Majinja ana reduce cost za uwekezaji....ananunua gari bovu bovu anaenda kulisuka na kuliweka sawa gereji kwake. Likitoka linakuwa kama jipya.

Wakati wewe umenunua Chinese made buses kwa almost 350M TZS...yeye mpaka gari iingie road anaweza kuwa katumia chini ya milioni 100. Na gari husika linaweza kukaa barabarani zaidi ya 10 years.

Then analiweka ruti ngumu ngumu na ndefu anapiga hela.
Kwa aina ya bus zake lzm apate ugumu sokoni so hana namna lzm aende route ngumu
 
Hasara za matuta
  1. Yanaharibu sana barabara
  2. Yanaongeza sana fuel consumption
  3. Yanaharibu sana tyres
  4. Yanadhoofisha bolts na nuts
  5. Yanachelewesha safari
  6. Yanasababisha ajali nyingi njiani
Wakikusikia Wazazi waliofiwa watoto wao kwa kugongwa na magari makubwa kule Singida, Lazima wakupige mawe hadi unakufa.
 
Hakika ubora wa miundombinu ya barabara ikiwa mizuri hakuna kinachoshindikana.

Muda huu ni saa 22:30 basi la kampuni ya Super Feo limeondoka Singida kuelekea Jiji la miamba Mwanza.

Wale wadau wa usafirishaji mnaionaje na imekaaje hii..?
Braza hii nomaa...
Itusaidia wakina sisi wale wa mikoa ya katikati huku.

#YNWA
 
Comfortability finishing ya ndani mchina bado anakimbiza

Kuna kampuni flani inaitwa Arusha Express ina bus la Scania Marcopollo (Paradiso) linatoka Arusha to Dodoma litafute uingie ndani alafu shuka panda mchina iliyotoka mwaka jana (hiyo Marcopollo imepiga kazi almost 20yrs) then njoo hapa u_reply.
 
Naona superfeo anataka kukimbiza maana Ana Songea To Mwanza na Mbeya to Mwanza anaitafuta kanda ya ziwa taratibu baada ya kumaliza kusini
😳😳😳Kumbe Super Feo ana Mbeya - Mwanza..

Ila hii route mzeee unakaa kwenye gari mpaka una ghairi.

#YNWA
 
Huyu jamaa naona anafuatilia sana route zilizosahauriwa. Anazimeza
 
Ni hesabu tu
Scania wanatoa warranty nzuri sana wanapokuuzia kifaa kipya , kama sikosei km 300,000 au miaka mitatu, whichever comes first
Feo hajawahi miliki basi ya scania nafikiri idea ya kununua hizi basi ni ili aweze ku zi push to the limit ilhali akiwa ana enjoy security ya warrant,
Ukicheza kamali kama hii na basi ya kichina lazima upotee kwenye game
Hebu nielezee hili..
Mbona Dar - Mbeya/Songwe

New Force (mchina) anashindana na SAULI (BENZI)...?

#YNWA
 
Back
Top Bottom