Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa Ana tabia zote za mashogaHapo umeandika ukiwa umesimama au umepakatwa?
Maana content ya uzi inasema mtoto aunguzwa wewe unakuja na maneno yako chadema ni janga upo sawa kichwani???
Hakuna cha mapepe, tueleze nini kimekufurahisha kiasi hicho? Au wewe ni taahira? Huna akili?we nini em tulia soma vitu uelewe acha mapepe Mjomba
Acha kufananisha mjani na mambo ya kipuuzi tafadhali.Nimecheka kama mazuri [emoji23][emoji23]... Mjani usihalalishwe haki tena
Amuue mtoto? Mmh mbona una roho mbaya hivyoBora angemuua huyo mtoto kama anahisi sio wake kuliko kumchoma moto
Una mapepe furaha na huzuni yangu juu ya hili inakuhusu nini ? au inaathari gani za moja kwa moja kwenye maisha yako binafsi???Hakuna cha mapepe, tueleze nini kimekufurahisha kiasi hicho? Au wewe ni taahira? Huna akili?
Mtoto kaunguzwa, kachomwa moto, kipi kinafurahisha hapo? Wewe ni taahira? Au huna akili?Una mapepe furaha na huzuni yangu juu ya hili inakuhusu nini ? au inaathari gani za moja kwa moja kwenye maisha yako binafsi???
acha makasiriko Mjomba yani watu wasicheke [emoji23] ushageuka Joyce kiria
Badala angemnyoosha mwanamke yeye anaenda kuchoma mtoto 😁😁Nimecheka kama mazuri [emoji23][emoji23]... Mjani usihalalishwe haki tena
La kubaki kwa baba wa kambo 🏃🏃Ohhh dear Lord[emoji17]
Kwani mtoto yeye anakosa gani?
Hapo ndo panaponichosha na kunifanya nicheke kwa masikitiko .. yani nmemtafakari nmekosa jibu[emoji16]Badala angemnyoosha mwanamke yeye anaenda kuchoma mtoto [emoji16][emoji16]
Acha utaahira.Sema nini Joyce kiria mi sikupingi.
Narudia. Acha utaahira.Sema nini Joyce kiria mi sikupingi.
Kama ilivyo ada na utaratibu wangu wa miaka 9 niliyokuwa hapa JF, mataahira wote huwa nawatupa kwenye kapu langu la Block, sitaona utaahira wowote utakaopost baada ya post hii.Sema nini Joyce kiria mi sikupingi.
Kesha kula Mjani huyo ndiyo maana yeye kila kitu anacheka tu hata Kama ni chakusikitisha au huzuni!!Taahira mkubwa wewe, unacheka nini sasa? Huna akili?!
Wwe lazima utakua Mkenya!!Hiii ww nini...
unadandia comment za watu kama matatu