Songwe: Baba amchoma mtoto wa miezi sita akidai amesingiziwa

Songwe: Baba amchoma mtoto wa miezi sita akidai amesingiziwa

Dah,hakika inasikitisha Sana...nikivaa viatu vya huyu mama eti nenda ndani nimemchoma mtoto,uwiiiiiiiiii nahisi Mimi nitatangulia kaburini..
Na sie wadada tuache kupakazia watoto jamani,tuwape tu baba zao no matter Hali zao za kiuchumi inaleta hata ujasiri kudai matumizi ya mtoto unapojua Huyu Ni baba yake kweli.
Si mnataka Watoto wenu wasome English medium schools,na Wanaume wengi wenye uwezo wa kutia Mimba hawana uwezo wakusomesha huko kwa English medium schools! Kazi mnayo wamama,ni kusuka au kunyowa!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
We nae unaongea Kama umekatwa kichwa.
Si mnataka Watoto wenu wasome English medium schools,na Wanaume wengi wenye uwezo wa kutia Mimba hawana uwezo wakusomesha huko kwa English medium schools! Kazi mnayo wamama,ni kusuka au kunyowa!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom