adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wangu wanangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifaJeshi la Polisi linawashikilia watu 3 akiwemo Mchungaji Julius Mwasimba baba mzazi wa marehemu na watoto wake Elia na Emmanuel Mwansimba kufuatia kifo cha Anna Mwansimba.
Kamanda wa Polisi, Alex Mkama amesema ndugu hao walimfungia mgonjwa na kuanza maombi kwa siku 3 lakini baadaye marehemu ambaye anaishi Mlowo, jana alikuja kumuona dada yake ambaye alisikia ni mgonjwa, lakini alipofika nyumbani kwao alikuta mlango umefungwa huku watu wakiendelea na kelele za maombi," amesema Mgogo
Amesema baada ya kukuta mlango umefungwa na jitihada za kugonga ili afunguliwe kushindikana ndipo alipoita majirani ambao walipofika walivunja mlango.
Walipoingia ndani walikuta marehemu amelala kitandani ndipo walipopiga simu kumjulisha ofisa mtendaji wa kijiji ambaye alitoa taarifa Polisi.
Mgogo amesema baba mzazi wa marehemu ni mchungaji katika kanisa la Uinjilist lililopo kijijini hapo.
MWANANCHI
Wakiongozwa na wahuni wakina CAPO DELGADO vibesen xxx na Execute .Hiki ni kipimo cha ustaarabu wa waislamu humu jukwaani, hutaona kashfa zikitolewa na waislamu
Ila inhekuwa ni sheikh kaombea mtu mpaka kafa ungeona upande wa pili kashfa zao
Kwanza hapo hakuna kosa lolote kisheria maana huyo mgonjwa aliacha kwenda hospitali huko iyunga akasafiri kama km 25 kwenda kwao.
Sheria ya nyokwe!! huoni wameua mtu kabisa kwa kumfungia ndani wakati anaumwa wakiamini mambo ya kijinga.Kwanza hapo hakuna kosa lolote kisheria maana huyo mgonjwa aliacha kwenda hospitali huko iyunga akasafiri kama km 25 kwenda kwao.
Pengine hawakuwa na hela za matibabu wakaamua kumuombea. Imani ilikuwa pungufu au labda siku yake ilikuwa imefika ndio maana hawakufanikiwa.
Sasa waislam mkileta kejeli zitasaidia nini? Nyie kutukana ni kawaida yenu hapa jukwaani.
Yaani huko Songwe kuna shida si bure.Jeshi la Polisi linawashikilia watu 3 akiwemo Mchungaji Julius Mwasimba baba mzazi wa marehemu na watoto wake Elia na Emmanuel Mwansimba kufuatia kifo cha Anna Mwansimba.
Kamanda wa Polisi, Alex Mkama amesema ndugu hao walimfungia mgonjwa na kuanza maombi kwa siku 3 lakini baadaye waligundua amefariki ambapo Polisi walifika na kuchukua mwili.
Mdogo wa marehemu aliyefika kumuona dada yake hakufunguliwa mlango, alimtaarifu Mwenyekiti wa Kijiji ambaye aliagiza kuvunjwa mlango na kukuta Anna amefariki huku watuhumiwa wakiendelea na maombi.
=====================
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linawashikilia watu watatu wa familia moja kufuatia kifo cha ndugu wa wanafamilia hao, Anna Mwansimba (30) anayedaiwa kufariki wakati wakimfanyia maombi nyumbani.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Novemba 16, 2022, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Alex Mkama amesema tukio hilo limetokea jana Jumanne baada ya Anna kurudi kijijini Ihowa wilayani Mbozi kutokana na kusumbuliwa na maradhi.
Kamanda Mukama amesema wanaoshikiliwa ni baba mzazi wa marehemu, Julius Mwasimba (57) ambaye ni mchungaji pamoja na watoto wake, Elia Julius (24) na Emmanuel Julius (21), ambao wanadaiwa walikuwa wanamuombea kwa siku tatu.
Amesema ndugu hao walimfungia na kuanza kumuombea kwa siku tatu lakini baadaye waligundua kuwa amefariki dunia.
Kamanda Mkama amesema Jeshi hilo lilipata taarifa na kufika eneo la tukio na kuchukua mwili wa marehemu ambao ulionekana kubabuka na kuwa na mabaka maeneo ya usoni.
Akizungumza kwa simui, Mwenyekiti wa Kijiji cha Ihowa, David Mgogo amesema watu hao walijifungia ndani katika kipindi cha siku tatu wakimuombea mgonjwa ambaye anaishi Iyunga Mbeya ambaye alirudi nyumbani.
"Aliyegundua tukio hilo alikuwa mdogo wa marehemu ambaye anaishi Mlowo, jana alikuja kumuona dada yake ambaye alisikia ni mgonjwa, lakini alipofika nyumbani kwao alikuta mlango umefungwa huku watu wakiendelea na kelele za maombi," amesema Mgogo
Amesema baada ya kukuta mlango umefungwa na jitihada za kugonga ili afunguliwe kushindikana ndipo alipoita majirani ambao walipofika walivunja mlango.
Walipoingia ndani walikuta marehemu amelala kitandani ndipo walipopiga simu kumjulisha ofisa mtendaji wa kijiji ambaye alitoa taarifa Polisi.
Mgogo amesema baba mzazi wa marehemu ni mchungaji katika kanisa la Uinjilist lililopo kijijini hapo.
MWANANCHI
NI KWELI, WANA MJATAJI MKUBWA WA MAKUBWA JINGA.kwa namna hii CCM haitatoka madarakani ng'o