Songwe: Mchungaji akamatwa kwa kumuombea mtoto wake hadi kufariki

Songwe: Mchungaji akamatwa kwa kumuombea mtoto wake hadi kufariki

Wanalaumiwa tu hawa waombaji badala ya watu kuhoji mazingira ya maombi hayo.
Moja huyu dada amerudi nyumbani baada ya matibabu kushindikana huko alikokuwepo.
Pili Hospitali nyingi siku hizi huruhusu wagonjwa kurudi makwao huku wakijua mgonjwa hana tena siku za kuishi.
Tatu huduma za matibabu ni kubwa kiasi cha kufanya watanzania wengi kutokuzimudu.
Nne na linaloweza kuwa kubwa kwa wanafamilia huenda walimpenda sana ndugu yao kiasi kwamba baada ya kuona kuwa kafa hawakuanini kirahisi jambo lililopelekea wajaribu karata ya mwisho ya imani kwa kuomba Mungu wao aingilie kati .
Tusikimbile kulaumu jamani kuna watu wanapitia magumu yasiyomithilika kutamkwa.
Tupendane!!
Ni kweli na sijui wanajuaje kama mgonjwa hawez kupona
Ndugu yngu alilazwa hospital akaruhusiwa amekaa nyumbani siku 5 amefariki jana tumemaliza msiba
 
Maombi yanapaswa kwenda sambamba na matibabu, huyo mgonjwa wangempeleka hospitalini kupata matibabu huku wakiendelea na maombi yao
Ni kweli kabisa, "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa". Mpeleke mgonjwa haspitali, achunguzwe na kupata dawa, hapo ndipo tunamuombea mgonjwa ili dawa zifanye kazi mwilini mwake. Ikumbukwe, hizi dawa zimetokana na mimea (hata madini) iliyoumbwa na Mungu.
 
Wakina mwakipesile watu wakipee sana kwenye swala la imani
Wamekua wajinga pro
 
Back
Top Bottom