Songwe: Mdude Nyagali aachiwa kwa dhamana na Mahakama leo baada ya kusota siku 15 Mahabusu

Songwe: Mdude Nyagali aachiwa kwa dhamana na Mahakama leo baada ya kusota siku 15 Mahabusu

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mdude Nyagali maeachiwa kwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Songwe hii leo Disemba 06, 2024 baada ya kukaa Mahabusu kwa siku 15 katika vituo vya Polisi vya Ileje Songwe, Inyala Mbeya, Kituo cha Polisi Kati Dar Es Salaam na Vwawa Songwe.

Mdude Nyagali alikamatwa na Jeshi la Polisi Novemba 22.2024 akidaiwa kuhusika na makosa ya kusambaza taarifa za uongo mitandaoni, kutoa lugha za matusi na kujeruhi.
1733478497129.png
Pia, Soma:
+
Mdude amburuza kortini RPC Songwe, Mwabukusi kumuwakilisha katika kesi hiyo
+ Kesi ya Mdude Nyagali dhidi ya RPC wa Songwe imeahirishwa, kusikilizwa tena Novemba 28 na Jaji Pomo
+ Mdude Nyagali aendelea kusota Rumande, Kesi yake dhidi ya RPC wa Songwe kusomwa Jumatatu
+ Mdude Nyagali aangukia pua Mahakama Kuu, kesi yake yatupwa
 
Mdude Nyagali maeachiwa kwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Songwe hii leo Disemba 06, 2024 baada ya kukaa Mahabusu kwa siku 15 katika vituo vya Polisi vya Ileje Songwe, Inyala Mbeya, Kituo cha Polisi Kati Dar Es Salaam na Vwawa Songwe.
Pia, Soma:
+
Mdude amburuza kortini RPC Songwe, Mwabukusi kumuwakilisha katika kesi hiyo
+ Kesi ya Mdude Nyagali dhidi ya RPC wa Songwe imeahirishwa, kusikilizwa tena Novemba 28 na Jaji Pomo
+ Mdude Nyagali aendelea kusota Rumande, Kesi yake dhidi ya RPC wa Songwe kusomwa Jumatatu
+ Mdude Nyagali aangukia pua Mahakama Kuu, kesi yake yatupwa
Angefungwa tu heshima imjae
 
Peooooople's!

Kamanda wa ukweli huyu, endelea kupiga spana mpaka Bibi wa Kizimkazi akili imkae sawa!
YAANI HUYU TU PEKEYAKE ? BIBI KWA RAHA ZAKE WALA HATA HASHTUKI WALA HATA HAMJUI KWANZA
 
Na ndiko watanzania wo
Huyu mdude sio binadamu wa kawaida. Ogopa sana binadamu aliekata tamaa, chochote/lolote yuko tayari kukabiliana nalon
Na ndiko watanzania wote wanapelekwa hii baadaye inhata somalia panaweza pakawa salama kama viongozi wetu wataona kuwa kwakuwa wao wanalindwa na vyombo vya dola basi wengine wote unaweza ukawaita jina lolote
 
Back
Top Bottom