Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
Ok nimepata picha kwa maelezo yako japo bado inaweza isiwe kweliILI TU AJUWE KWAMBA WANAUWEZO WA KUMFANYA LOLOTE NA HANA MSAADA WA MTU YOYOTE YUPO PEKEYAKE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok nimepata picha kwa maelezo yako japo bado inaweza isiwe kweliILI TU AJUWE KWAMBA WANAUWEZO WA KUMFANYA LOLOTE NA HANA MSAADA WA MTU YOYOTE YUPO PEKEYAKE
Serikali dhalimuANAJITESA PASIPO SABABU HUWEZI KUSHINDANA NA SERIKALI UKIWA PEKEYAKO UKATOBO UNAJITESA TU
Raha ni kuteseka kwa niaba ya umma! Wewe jifungie kwenye box na mkeo mpate raha!ANAJITESA PASIPO SABABU HUWEZI KUSHINDANA NA SERIKALI UKIWA PEKEYAKO UKATOBO UNAJITESA TU
HAKUNA KIONGOZI ANAWEZA KUVUMILIA KEJELI ZA KITOTO ZA MDUDE HIVI MBONA WANASIASA WENYE AKILI K AMA KINA MBOWE HAWAKAMATWI KAMATWI KIZEMBE KAMA HUYU DUDE? ANAJIFANYA ANAJUWA SANA MATUSI WAKATI HAJUI LOLOTE ANAJITESA TU HUYOSerikali dhalimu
Tehetehe.....Mdude Nyagali maeachiwa kwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Songwe hii leo Disemba 06, 2024 baada ya kukaa Mahabusu kwa siku 15 katika vituo vya Polisi vya Ileje Songwe, Inyala Mbeya, Kituo cha Polisi Kati Dar Es Salaam na Vwawa Songwe.
Mdude Nyagali alikamatwa na Jeshi la Polisi Novemba 22.2024 akidaiwa kuhusika na makosa ya kusambaza taarifa za uongo mitandaoni, kutoa lugha za matusi na kujeruhi.
Pia, Soma:
+ Mdude amburuza kortini RPC Songwe, Mwabukusi kumuwakilisha katika kesi hiyo
+ Kesi ya Mdude Nyagali dhidi ya RPC wa Songwe imeahirishwa, kusikilizwa tena Novemba 28 na Jaji Pomo
+ Mdude Nyagali aendelea kusota Rumande, Kesi yake dhidi ya RPC wa Songwe kusomwa Jumatatu
+ Mdude Nyagali aangukia pua Mahakama Kuu, kesi yake yatupwa
Na hao waliopiga picha nae ni CCM?YUPO PEKEYAKE ANAWEZA KUKABILIANA NA WATU WANAOTAKA AKOME TU? CHADEMA ANAOWATETEA HAWANA HATA HABARI NAYE
HAO WAPO AKITOKA AKIKAMATWA HUONI HATA MMOJA ANAMTETEA WANAKUJA HUKU JF KUANDIKA TU LAKINI MWENZAO ANANYEA NDOO JELA AKITOKA UTAWAONA WANAPIGA PICHANa hao waliopiga picha nae ni CCM?
Amandla...
Hapo si Mahakamani? Unataka kuwaona wapi wakimtetea kama sio Mahakamani?HAO WAPO AKITOKA AKIKAMATWA HUONI HATA MMOJA ANAMTETEA WANAKUJA HUKU JF KUANDIKA TU LAKINI MWENZAO ANANYEA NDOO JELA AKITOKA UTAWAONA WANAPIGA PICHA
Hata usijisumbue kujua, uelewa wako mdogo.Sababu ya kumzungusha hivi vituo vyote vya polisi ilikuwa nini? Au kosa lipi au ndio kwamba uelewa wangu mdogo
ILI TU AJUWE KWAMBA WANAUWEZO WA KUMFANYA LOLOTE NA HANA MSAADA WA MTU YOYOTE YUPO PEKEYAKE
Hatimae Mdude atakula krisimas akiwa uraiani
Kabla zinafikia comment yako nilikuwa najiuliza hivi. Tusubiri wadau wanaweza saidia kupata majibu.Sababu ya kumzungusha hivi vituo vyote vya polisi ilikuwa nini? Au kosa lipi au ndio kwamba uelewa wangu mdogo
hajui wa tz walivyo unapotea unasahaulika familia yenyewe inakuona mjinga tu unamtetea nani sijui?Bwana Mdude nikupe pole kwa haya yote majanga.
Wenzako wanafanya harakati wakijua lolote likiwapata watapata back up ya chama.
Sijawahi kusikia amekamatwa jamaa huwa anajiita MMM Mtikila.
Mdude jiongeze kupitia harakati zako imetosha sasa unaowapigania hata hawakuelewi.
Watanzania tuna hulka ya ubinafsi na unafiki mno,watu wanakujaza kichwa kinajaa
ukikamatwa unatabika na kuteswa peke yako.
Huyo jamaa yako hakufa lakini amekuwa kichaa😁😂😂...Risasi 16 mtu hakufa,yeye malaria tu chali hadi Chato.
Yupo peke yake kwenye hiyo picha ama yuko wapi?ILI TU AJUWE KWAMBA WANAUWEZO WA KUMFANYA LOLOTE NA HANA MSAADA WA MTU YOYOTE YUPO PEKEYAKE
Kwani Mandela alifungwa gerezani na weusi wote?Bwana Mdude nikupe pole kwa haya yote majanga.
Wenzako wanafanya harakati wakijua lolote likiwapata watapata back up ya chama.
Sijawahi kusikia amekamatwa jamaa huwa anajiita MMM Mtikila.
Mdude jiongeze kupitia harakati zako imetosha sasa unaowapigania hata hawakuelewi.
Watanzania tuna hulka ya ubinafsi na unafiki mno,watu wanakujaza kichwa kinajaa
ukikamatwa unatabika na kuteswa peke yako.