Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Issue ndogo sana.hio...unakaa na unatoka...wanaume katika utaftaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa ni 1/3 sio 1/4.kama kifungo hicho ni cha miaka 4, basi atatumikia miezi 32 tu(miaka 2, miezi 8)Huyo kifungo chake ni miaka minne na ukitoa 1/4 inabaki mitatu.
Hata kama umekiri kosa hapo hapo, sio rahisi upewe hukumu hapo hapo!!Kesi imeisha kwa mtuhumiwa kukiri makosa, watuhumiwa/washtakiwa wengi huwa hawakiri makosa.
MhhhJamaa atakaa miaka chini ya minne tu jela, miaka ambayo pia au hata na zaidi angekaa Mahabusu kuruhusu upelelezi kukamilika
UsidanganyikeHapo unataka kutuambia jamaa ametumia mapungufu ya sheria? Ila huyu mtu jasiri sana kwa akili yake kaona 30m aibane ataitumia akitoka baada ya 4yrs
Kesi imefinguliwa Leo tarehe 7/05/2021 na hukumu imetolewa leo leo. Mashauri yote mahakamani yakiendeshwa hivi malalamiko yatapungua Sana.
Mwenye shida hapa ni wewe hakimu amezidisha idadi ya makosa ambapoMahakama zetu ni za kipuuzi sana ,sasa mtu ana 40+ halafu unampiga miaka 200 , are they serious?
3*40=120 yrs plus 4*20=80Mahakama zetu ni za kipuuzi sana ,sasa mtu ana 40+ halafu unampiga miaka 200 , are they serious?
Ndiyo nauliza kwani umesikia adhabu ya hivi Tz peke yake?Sasa kuna binada anayefikisha miaka 200?.
si Bora angemwambia nakufunga kifungo cha maisha
Ndiyo nauliza kwani umesikia adhabu ya hivi Tz peke yake?
Mfano sheria inasema kosa la kuiba kitenge ni kifungo cha mwaka mmoja na wewe umeiba vitenge 200 (means makosa 200) na umekiri unataka hukumu itamkaje?
Unajua kama hukumu ikitamka tofauti kunatoa loophole huyu mtu kukata rufaa na kushinda kesi? Simply kwakua umeamua kurahisisha kwa kutoa hukumu ya maisha kwavile binadamu hafikishi miaka 200?
Na yote hayo ni kwavile umefuata ushauri wa posts za jf?
3*40=120 yrs plus 4*20=80
120+80=200
Miaka 3 makosa 40
Miaka 4 makosa 20
Point yako ni nini chief?liyumba yule bosi wa bot wa majengo Pacha alifungwa miaka mingapi?
Tena hapo kama bado gerezan wana ule utaratibu wa kuhesabu usiku na mchana hapo ni miaka miwili tu.Miaka minne tu ambayo hiyo mitatu ipo ndani ya ile minne
Nadhani kafikiria akina Rugemalila wanavyosota mahabusu miaka na miaka bila kuhukumiwa.Kaamua akubali makosa labda italeta unafuu.Kesi imefinguliwa Leo tarehe 7/05/2021 na hukumu imetolewa leo leo. Mashauri yote mahakamani yakiendeshwa hivi malalamiko yatapungua Sana.
Kama Kuna dili mbona adhabu ni kali?Hahaaha mkuu ukiona shauri limepelekwa namna hii Mahakamani ujue hapo kuna deal kati ya hakimu na mshtakiwa.
Hapo kuna deal limechezwa hiyo hukumu inaulakini .
Any way hakimu atakwambia yeye anatafsiri sheria