Songwe: Mwendesha Bodaboda achinjwa mbele ya mke wake

Songwe: Mwendesha Bodaboda achinjwa mbele ya mke wake

Wanyia wa Mbozi wakatili sana tumghoghe tumleshe? Walikua wanatumia hiyo kauli ya kuulizana wakiiba kuwa tumuache au tumuue mmoja tu akisema tumleshe ujue umepona...ukiwaona wanaongea kwa Upole utadhani watu...
Aisee umeongea ukweli mtupu wanaongea kwa upole kumbe Ni wanyama wa kali nimetema mate chini walai wale jama Ni ovyo mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Oohooo, yametokea tena?
ATTENTION: Wana jukwaa, memba mwenzetu mzabzab ni bodaboda na anapenda mbususu, kama bado yupo atoe taarifa kwa maana hata jina lake halisi hatulijui.
Sema hawa wanaochinja na kuondoka bila chochote hua wana lao jambo na alieuliwa.
Tungoje taarifa zaidi
 
Oohooo, yametokea tena?
ATTENTION: Wana jukwaa, memba mwenzetu mzabzab ni bodaboda na anapenda mbususu, kama bado yupo atoe taarifa kwa maana hata jina lake halisi hatulijui.
Sema hawa wanaochinja na kuondoka bila chochote hua wana lao jambo na alieuliwa.
Tungoje taarifa zaidi
Hahaha huyu kichaa ni boda boda kumbeee
Ndo maana akili zake fyatu
 
Walimkosa kosa kufanywaje?
Kuna bodaboda walimuua kwa ajili ya mambo ya wake za watu tukajua humu ndani ni yeye lakn alikuja kufufuka aksema sio yeye ni mwingine.
Kwaio siku hz tukionA boda boda kafa, lazma tumtafte kwanza kuhakikisha yuko hai
 
Inadaiwa kuwa wanaume wawili walikwenda nyumbani kwa Mwashambwa wakavunja mlango na kuingia hadi chumbani wakamkuta akiwa amelala na mkewe na mtoto wao mchanga, wakamkamata na kumchinja mbele ya mkewe. Mtendaji wa kata ya Hasamba, Imma Sichinga na mwenyekiti wa kitongoji cha Kamficheni, Justin Ngondo walithibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Ngondo alisema alipata taarifa kutoka kwa jirani wa marehemu na baada ya hapo aliwafahamisha wajumbe wa serikali ya kijiji ambao kwa pamoja walifika eneo la tukio na kujionea unyama uliofanyika.

“Mke wa marehemu ambaye kwa wakati mwingi alionekana kutokuwa sawa alitueleza kuwa wauaji wa mumewe walikuwa wanaume wawili na kwamba waliingia ndani kwa kuvunja mlango na baada ya hapo walimchinja mbele yake na kisha kutoweka bila kuchukua chochote” alisimulia Ngondo alisema alimfahamisha mtendaji wa kata, Sichinga ambae aliwataarifu polisi.
Isijekuwa kama yule kijana saidia fundi aliyeuawa na askari Dodoma kisa walikuwa wanagombea binti
 
Kuna bodaboda walimuua kwa ajili ya mambo ya wake za watu tukajua humu ndani ni yeye lakn alikuja kufufuka aksema sio yeye ni mwingine.
Kwaio siku hz tukionA boda boda kafa, lazma tumtafte kwanza kuhakikisha yuko hai
Hatariii
 
Back
Top Bottom