Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Inafaa nini kuondoa uhai wa mtu, tuache visasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini gani??hii ya nyaazi mungu wa magaidi wanao jiripua na kuua watu wasio na hatia kisa illusion za kidini.?Binadamu bila dini ni mnyama muovu kuliko mnyama yeyote
Na hiyo ndio dawa pekeeBodaboda waelewe kwamba wake za watu ni sumu.
Acha chuki za kidiniDini gani??hii ya nyaazi mungu wa magaidi wanao jiripua na kuua watu wasio na hatia kisa illusion za kidini.?
Dini haijasaidia kitu zaidi ya unafiki tu..unadhani hao walio muua hawana dini?
#MaendeleoHayanaChama
Aisee umeongea ukweli mtupu wanaongea kwa upole kumbe Ni wanyama wa kali nimetema mate chini walai wale jama Ni ovyo mnoWanyia wa Mbozi wakatili sana tumghoghe tumleshe? Walikua wanatumia hiyo kauli ya kuulizana wakiiba kuwa tumuache au tumuue mmoja tu akisema tumleshe ujue umepona...ukiwaona wanaongea kwa Upole utadhani watu...
Ah sana yan reality haivumiliki
Kyupi kimemwaga damu nyingi sana..[emoji383] au kyupi
Hahaha huyu kichaa ni boda boda kumbeeeOohooo, yametokea tena?
ATTENTION: Wana jukwaa, memba mwenzetu mzabzab ni bodaboda na anapenda mbususu, kama bado yupo atoe taarifa kwa maana hata jina lake halisi hatulijui.
Sema hawa wanaochinja na kuondoka bila chochote hua wana lao jambo na alieuliwa.
Tungoje taarifa zaidi
Juzi kati walimkosa kosa morogoro, sasa unaeza kuta aliemda na songwe piaHahaha huyu kichaa ni boda boda kumbeee
Ndo maana akili zake fyatu
Walimkosa kosa kufanywaje?Juzi kati walimkosa kosa morogoro, sasa unaeza kuta aliemda na songwe pia
Kuna bodaboda walimuua kwa ajili ya mambo ya wake za watu tukajua humu ndani ni yeye lakn alikuja kufufuka aksema sio yeye ni mwingine.Walimkosa kosa kufanywaje?
Isijekuwa kama yule kijana saidia fundi aliyeuawa na askari Dodoma kisa walikuwa wanagombea bintiInadaiwa kuwa wanaume wawili walikwenda nyumbani kwa Mwashambwa wakavunja mlango na kuingia hadi chumbani wakamkuta akiwa amelala na mkewe na mtoto wao mchanga, wakamkamata na kumchinja mbele ya mkewe. Mtendaji wa kata ya Hasamba, Imma Sichinga na mwenyekiti wa kitongoji cha Kamficheni, Justin Ngondo walithibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Ngondo alisema alipata taarifa kutoka kwa jirani wa marehemu na baada ya hapo aliwafahamisha wajumbe wa serikali ya kijiji ambao kwa pamoja walifika eneo la tukio na kujionea unyama uliofanyika.
“Mke wa marehemu ambaye kwa wakati mwingi alionekana kutokuwa sawa alitueleza kuwa wauaji wa mumewe walikuwa wanaume wawili na kwamba waliingia ndani kwa kuvunja mlango na baada ya hapo walimchinja mbele yake na kisha kutoweka bila kuchukua chochote” alisimulia Ngondo alisema alimfahamisha mtendaji wa kata, Sichinga ambae aliwataarifu polisi.
HatariiiKuna bodaboda walimuua kwa ajili ya mambo ya wake za watu tukajua humu ndani ni yeye lakn alikuja kufufuka aksema sio yeye ni mwingine.
Kwaio siku hz tukionA boda boda kafa, lazma tumtafte kwanza kuhakikisha yuko hai
Adhabu yake lazima iwe hiyo?Hapo mawili kadhulumu au kuchukua mke wa mtu.