kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Hayo yote yana uwezekano mkubwa,vijana wamekuwa na viburi sanaHapo mawili kadhulumu au kuchukua mke wa mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yote yana uwezekano mkubwa,vijana wamekuwa na viburi sanaHapo mawili kadhulumu au kuchukua mke wa mtu.
Safi sanaaa,adhabu nzuri sana na iliwafaa,Wanyia bhana pana kipindi ilitokea ajali kijiji kimoja hao jamaa wakataka kumuaa dereva wa ile Coaster akafanikiwa kukimbia wao wakaamua kuichoma moto gari mpya baadae wale madereva wakaweka mgomo hicho kijiji hakipo mbali na Mlowo walikua hawasimami na kituo kinachofuata ni mbali kidogo walipata tabu Kamanda wa mkoa sijui alikua Mzee Zerote Stiven nakumbuka Kijiji kilichangishwa walinunua 1HZ mpya kutoka Japan toka hapo huko wanajua haya magari ni gharama na kuyaheshimu hao jamaa nawajua vizuri sana kwa kweli...Wakumbozi..
Ndugu zangu wa mbozi ni hatari kuriko Taliban,Kuna msemo wao mmoja ukisikia"tumreshe ...tumjege"?(naweza kuwa nakosea maandishi) Kimbia,tumuue au tumuache!?WATU wasiofahamika wamemchinja dereva wa bodaboda Sadick Mwashambwa (24) akiwa na mkewe na mtoto wao mchanga. Mauaji hayo yalifanyika usiku wa kuamkia jana saa 11.20 usiku katika kitongoji cha Kamficheni kata ya Hasamba wilayani Mbozi mkoani Songwe.
Inadaiwa kuwa wanaume wawili walikwenda nyumbani kwa Mwashambwa wakavunja mlango na kuingia hadi chumbani wakamkuta akiwa amelala na mkewe na mtoto wao mchanga, wakamkamata na kumchinja mbele ya mkewe. Mtendaji wa kata ya Hasamba, Imma Sichinga na mwenyekiti wa kitongoji cha Kamficheni, Justin Ngondo walithibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Ngondo alisema alipata taarifa kutoka kwa jirani wa marehemu na baada ya hapo aliwafahamisha wajumbe wa serikali ya kijiji ambao kwa pamoja walifika eneo la tukio na kujionea unyama uliofanyika.
“Mke wa marehemu ambaye kwa wakati mwingi alionekana kutokuwa sawa alitueleza kuwa wauaji wa mumewe walikuwa wanaume wawili na kwamba waliingia ndani kwa kuvunja mlango na baada ya hapo walimchinja mbele yake na kisha kutoweka bila kuchukua chochote” alisimulia Ngondo alisema alimfahamisha mtendaji wa kata, Sichinga ambae aliwataarifu polisi.
Zerote Stiven namkubali sana yule Mzee ndio RPC wangu bora wa muda wote alipunguza ujambazi na mauji mbeya kwa kiasi kikubwa kwanza alikua anashinda vijiwe vya draft kama hana vyeo ataua kingi hapo na anapata taarifa sahihi kutoka wa watu wasio wema tena alikua anakuja bila ulinzi..Safi sanaaa,adhabu nzuri sana na iliwafaa,
Vipi yule aliyelawiti watoto 10, alikuwa hana dini?Huwezi kuwa na dini ukachinja mtu..Tena mbele ya familia yake,athari ya dini kwako haipo
Utajuaje kama mtu ana Imani?Hawana dini mtu mwenye Imani hawezi kumchinja binadamu...wapo wenye Iman iliyosimama viumbe hai tu hawawezi kuua...Mimi Mzee alitufundisha kutokuua viumbe visivyodhuru binadamu kama mijusi mpaka leo nikiona mjusi ndani namfukuzia nje hata watoto wangu washaelewa hayo maisha...
Muuaji ana imani gani wewe faza haya nayo ni maswali ya kuulizana....Utajuaje kama mtu ana Imani?
HanaVipi yule aliyelawiti watoto 10, alikuwa hana dini?