Songwe: Mwendesha Bodaboda achinjwa mbele ya mke wake

Songwe: Mwendesha Bodaboda achinjwa mbele ya mke wake

Dunia ya sasa imekua uwanja wa vita ukiwa mnyonge una left anytime yan undava undava tu
 
Wanyia wa Mbozi wakatili sana tumghoghe tumleshe? Walikua wanatumia hiyo kauli ya kuulizana wakiiba kuwa tumuache au tumuue mmoja tu akisema tumleshe ujue umepona...ukiwaona wanaongea kwa Upole utadhani watu...ukiharibikiwa na gari usiku kuanzia maeneo ya Mpemba mpaka Songwe darajani pale inabidi ulikimbie gari lako hata kama ni la mizigo wao kuua ilikua jambo la kwanza ili wachukue vitu kirahisi wameua sana watu hao jamaa na ishu ya kuchuna ngozi wao ndio wagunduzi pamoja na kile kijiji walikua wanatengeneza siraha yule Mzee alikamatwa ndio ikawa mwisho ya matukio ya kikatili huko..
wanyiha wana roho mbaya sana za kichawi.....hakuna kabila tz zaidi yao ambalo huchuna watu ngozi
 
Mambo matatu yanaweza kuwa yanahusika hapa,mapenzi,pesa au ushirikina...
 
Polisi wakiwapiga risasi washenzi kama hawa tusiwalaumu ni haki yao kufa kwa risasi, wala hawahitaji upuuzi unaitwa haki za binadamu.

Haki za binadamu ni kwawale wanaojali haki za wenzao, kama hujali haki za wenzio nawewe hustahili kupewa haki yoyote
unajua polisi nao wengine n majambazi au wanashirikiana na majambazi!! sasa ukiruhusu wauwe cjui nn ktatokea
 
WATU wasiofahamika wamemchinja dereva wa bodaboda Sadick Mwashambwa (24) akiwa na mkewe na mtoto wao mchanga. Mauaji hayo yalifanyika usiku wa kuamkia jana saa 11.20 usiku katika kitongoji cha Kamficheni kata ya Hasamba wilayani Mbozi mkoani Songwe.

Inadaiwa kuwa wanaume wawili walikwenda nyumbani kwa Mwashambwa wakavunja mlango na kuingia hadi chumbani wakamkuta akiwa amelala na mkewe na mtoto wao mchanga, wakamkamata na kumchinja mbele ya mkewe. Mtendaji wa kata ya Hasamba, Imma Sichinga na mwenyekiti wa kitongoji cha Kamficheni, Justin Ngondo walithibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Ngondo alisema alipata taarifa kutoka kwa jirani wa marehemu na baada ya hapo aliwafahamisha wajumbe wa serikali ya kijiji ambao kwa pamoja walifika eneo la tukio na kujionea unyama uliofanyika.

“Mke wa marehemu ambaye kwa wakati mwingi alionekana kutokuwa sawa alitueleza kuwa wauaji wa mumewe walikuwa wanaume wawili na kwamba waliingia ndani kwa kuvunja mlango na baada ya hapo walimchinja mbele yake na kisha kutoweka bila kuchukua chochote” alisimulia Ngondo alisema alimfahamisha mtendaji wa kata, Sichinga ambae aliwataarifu polisi.
haya ni mauaji ya kisasi!uchunguzi wa polisi utakuja na mojawapo ya sababu hizi
1. mapenzi
2. biashara
3. au kisasi cha kudhulumiana etc
 
Wanyia wa Mbozi wakatili sana tumghoghe tumleshe? Walikua wanatumia hiyo kauli ya kuulizana wakiiba kuwa tumuache au tumuue mmoja tu akisema tumleshe ujue umepona...ukiwaona wanaongea kwa Upole utadhani watu...ukiharibikiwa na gari usiku kuanzia maeneo ya Mpemba mpaka Songwe darajani pale inabidi ulikimbie gari lako hata kama ni la mizigo wao kuua ilikua jambo la kwanza ili wachukue vitu kirahisi wameua sana watu hao jamaa na ishu ya kuchuna ngozi wao ndio wagunduzi pamoja na kile kijiji walikua wanatengeneza siraha yule Mzee alikamatwa ndio ikawa mwisho ya matukio ya kikatili huko..

Jana tu nilikua na jamaa safarini akanihadithia story ya kutengeneza silaha kwa kutumia mabomba ya baiskeli inatoka gobole safi, pamoja na utekaji wa madreva wa malori ya mafuta halafu kumbe matenk yako chini na juu inajengwa nyumba watu wanakaa, ikaja story ya watu kupigwa nondo halafu ile nondo inatundikwa buchani inawekewa nyama inayouzwa inaisha fasta, mambo yalikua mengi sana
 
Wachuna ngozi katika ubora wao na ndio mkoa unaoongoza kwa kuwa na madhehebu mengi ya dini yani kila ukoo una dini yake na maasikofu wake na sijui wachungaji wake, yaani ni balaa tupu hao wanafyale
 
Wanyia wa Mbozi wakatili sana tumghoghe tumleshe? Walikua wanatumia hiyo kauli ya kuulizana wakiiba kuwa tumuache au tumuue mmoja tu akisema tumleshe ujue umepona...ukiwaona wanaongea kwa Upole utadhani watu...ukiharibikiwa na gari usiku kuanzia maeneo ya Mpemba mpaka Songwe darajani pale inabidi ulikimbie gari lako hata kama ni la mizigo wao kuua ilikua jambo la kwanza ili wachukue vitu kirahisi wameua sana watu hao jamaa na ishu ya kuchuna ngozi wao ndio wagunduzi pamoja na kile kijiji walikua wanatengeneza siraha yule Mzee alikamatwa ndio ikawa mwisho ya matukio ya kikatili huko..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaongea kw au upole kumbe wakali kinoma
 
Sio kweli. Unadhani hao wauaji hawana dini? hapana wanazo.
Isipokuwa binadamu mjinga ndio anakuwa katili kuliko mnyama.
Hawana dini mtu mwenye Imani hawezi kumchinja binadamu...wapo wenye Iman iliyosimama viumbe hai tu hawawezi kuua...Mimi Mzee alitufundisha kutokuua viumbe visivyodhuru binadamu kama mijusi mpaka leo nikiona mjusi ndani namfukuzia nje hata watoto wangu washaelewa hayo maisha...
 
Polisi wakiwapiga risasi washenzi kama hawa tusiwalaumu ni haki yao kufa kwa risasi, wala hawahitaji upuuzi unaitwa haki za binadamu.

Haki za binadamu ni kwawale wanaojali haki za wenzao, kama hujali haki za wenzio nawewe hustahili kupewa haki yoyote
Kwani umeambiwa ni makambazi? Mpaka anafanyiwa hivyo ujue **** mtu alimfanyia kitu kibaya sana.
 
Moja Kwa Moja hii itakuwa dhulma.
Waanze kwanza kuchunguza boda boda aliipataje kama ni yake.

Inaonekana Kuna kikosi maalumu Kwa ajili ya kazi hii maana staili waliomchinja inafana na aliyochinjiwa jamaa moja kusini;csema yeye walimuweka mwananke chini ya uvungu wakamchinja jamaa juu ya kitanda huku damu ikimumwagikia.

Msipende dhulma ndugu zangu hii ndio adhabu yenu.

Binafsi Kuna watu kama wawili nilifika wakati nikataka waliwe vichwa sema roho mtakatifu akanishukia nikajawa na hofu ya Mungu nikawasamehe japo moyoni naumia bado
 
Wanyia bhana pana kipindi ilitokea ajali kijiji kimoja hao jamaa wakataka kumuaa dereva wa ile Coaster akafanikiwa kukimbia wao wakaamua kuichoma moto gari mpya baadae wale madereva wakaweka mgomo hicho kijiji hakipo mbali na Mlowo walikua hawasimami na kituo kinachofuata ni mbali kidogo walipata tabu Kamanda wa mkoa sijui alikua Mzee Zerote Stiven nakumbuka Kijiji kilichangishwa walinunua 1HZ mpya kutoka Japan toka hapo huko wanajua haya magari ni gharama na kuyaheshimu hao jamaa nawajua vizuri sana kwa kweli...Wakumbozi..
 
Back
Top Bottom