inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hao wachache ambao hawana athari ya dini,dini isingekuwepo kabisa hao wangekuwa wengi,wamanyema walikua wakila watu Kama watu Latin America walivokua..na mpaka Leo latin America wapo wanakula watuDini gani??hii ya nyaazi mungu wa magaidi wanao jiripua na kuua watu wasio na hatia kisa illusion za kidini.?
Dini haijasaidia kitu zaidi ya unafiki tu..unadhani hao walio muua hawana dini?
#MaendeleoHayanaChama