Songwe: Mwendesha Bodaboda achinjwa mbele ya mke wake

Songwe: Mwendesha Bodaboda achinjwa mbele ya mke wake

Dini gani??hii ya nyaazi mungu wa magaidi wanao jiripua na kuua watu wasio na hatia kisa illusion za kidini.?

Dini haijasaidia kitu zaidi ya unafiki tu..unadhani hao walio muua hawana dini?

#MaendeleoHayanaChama
Hao wachache ambao hawana athari ya dini,dini isingekuwepo kabisa hao wangekuwa wengi,wamanyema walikua wakila watu Kama watu Latin America walivokua..na mpaka Leo latin America wapo wanakula watu
 
Kuna watu imani haipo kabisa, ifike mahala turuhusu alshabaab waje wawashughulikie hawa viumbe, wawauwe kabisa
 
Ukiwaudhi utasikia "utakuja ujee"
Wameuziwa sana brauzi pale soko la mitumba Mwanjelwa na Sido...na wakiwakaba wale madereva maroli wanawaambia wewe ndio uliniuzia brauzi umekuja sasa dereva hata ishu ya shati brauzi hana taarifa nayo ...harafu kijijini hawachekani muhuni anatinga na brauzi yake mpaka kwenye mnada au gulio...
 
 
Back
Top Bottom