Songwe: Mwendesha Bodaboda achinjwa mbele ya mke wake

Safi sanaaa,adhabu nzuri sana na iliwafaa,
 
Ndugu zangu wa mbozi ni hatari kuriko Taliban,Kuna msemo wao mmoja ukisikia"tumreshe ...tumjege"?(naweza kuwa nakosea maandishi) Kimbia,tumuue au tumuache!?
 
Safi sanaaa,adhabu nzuri sana na iliwafaa,
Zerote Stiven namkubali sana yule Mzee ndio RPC wangu bora wa muda wote alipunguza ujambazi na mauji mbeya kwa kiasi kikubwa kwanza alikua anashinda vijiwe vya draft kama hana vyeo ataua kingi hapo na anapata taarifa sahihi kutoka wa watu wasio wema tena alikua anakuja bila ulinzi..
 
Utajuaje kama mtu ana Imani?
 
Mambo ya imani ni magumu sana! Hapo waliamini mgojwa atapona tu kwa maombi japo hata kama angeenda hospital kama alikuwa wa kufa angekufa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…