Songwe: Waziri Kindamba apongezwe kwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa kwanza Tanzania kutambua Mifugo katika halmashauri zake zote

Songwe: Waziri Kindamba apongezwe kwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa kwanza Tanzania kutambua Mifugo katika halmashauri zake zote

Soma hilo andiko kwa kutulia utaelewa vizuri
"... kama nchi hatujawahi kunufaika na faida zote zitokanazo na Mifugo kisawa Sawa ..."' OK! Ng'ombe wakipigwa label itarahisisha utambuzi ili walipiwe kodi ipasavyo.
 
"... kama nchi hatujawahi kunufaika na faida zote zitokanazo na Mifugo kisawa Sawa ..."' OK! Ng'ombe wakipigwa label itarahisisha utambuzi ili walipiwe kodi ipasavyo.
Kodi hata bila lebel wanaweza kulipiwa tu,

Hizi hereni ni muhumu zaidi ya Kodi
 
Hongera Sana kwa mkuu wetu wa mkoa wa Songwe, anafanya kazi nzuri Sana na ya kutukuka Tangia alipohamishiwa mkoani kwetu akitokea mkoani njombe, hata suala la usafi nalo amekuja kuhakikisha Songwe inakuwa Ni Safi muda wote na kila eneo linakuwa na hewa safi
Kindamba ni hardworking man tangu utoto wake
 
Yaani ujinga ni kitu kibaya sana " yaani ng'ombe kuwekwa heleni ni hoja ya msingi?" Wewe unaesifia Rc,kwa zoezi la kuweka heleni ng'ombe je jiulize ng'ombe wako akiwekwa heleni wewe unafaidikaje kwenye mfumo wa kipato chako? Rc ndy ametoa hela za heleni Au ametumia kodi za wananchi? Africa kuna wakati watu hufikili kwa kutumia mikia sio Medula oblangata.
 
Yaani ujinga ni kitu kibaya sana " yaani ng'ombe kuwekwa heleni ni hoja ya msingi?" Wewe unaesifia Rc,kwa zoezi la kuweka heleni ng'ombe je jiulize ng'ombe wako akiwekwa heleni wewe unafaidikaje kwenye mfumo wa kipato chako? Rc ndy ametoa hela za heleni Au ametumia kodi za wananchi? Africa kuna wakati watu hufikili kwa kutumia mikia sio Medula oblangata.
Yaani ujinga ni kitu kibaya sana " yaani ng'ombe kuwekwa heleni ni hoja ya msingi?" Wewe unaesifia Rc,kwa zoezi la kuweka heleni ng'ombe je jiulize ng'ombe wako akiwekwa heleni wewe unafaidikaje kwenye mfumo wa kipato chako? Rc ndy ametoa hela za heleni Au ametumia kodi za wananchi? Africa kuna wakati watu hufikili kwa kutumia mikia sio Medula oblangata.
Povu la nini? Hereni zinamanufaa kwa mkulima wewe umamifugo?
 
Back
Top Bottom