Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Yaani kwenye simu yangu ya gharama nikadownload makokonfigjo ya sokoni...you must be kidding!Samahani
Nenda kenye Play Store, download Simba sc.
Habari zote utazikuta hapo.
Pamoja na majukumu ya Musa Hassan Mgosi.
Kila kitu kipo hapo.
Amina
Kiwango chake kingekata pumzi si ungemuona Msimbazi. Au umesahau Hamisi Kiiza Diego alivyokata pumzi tukabadilishana na Tambwe mabao?Jipe moyo! Ngoma kiwango kimekata pumzi Niyonzima akija atakaa benchi tuu
Tambwe Babu wa Netball au yupi?Kiwango chake kingekata pumzi si ungemuona Msimbazi. Au umesahau Hamisi Kiiza Diego alivyokata pumzi tukabadilishana na Tambwe mabao?
Tambwe Babu wa Netball au yupi?
Yule ni Kamusoko wa Simba.Yaani kwenye simu yangu ya gharama nikadownload makokonfigjo ya sokoni...you must be kidding!
Yule babu Mganda anayeitwa Oki sijui Korie mmemsajili kama kocha au mganga wa timu?
Samahani kwa kukukwaza, ila sidhani kama lugha iliyotumika haisaidii pia kusisitiza hiyo hoja yako.Mtulizage basi akili kabla hamjajibu. Hebu soma tena kwa utulivu nilichoandika ndio utajua mimi ni wa upande upi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani kwenye simu yangu ya gharama nikadownload makokonfigjo ya sokoni...you must be kidding!
Yule babu Mganda anayeitwa Oki sijui Korie mmemsajili kama kocha au mganga wa timu?
Pesa iliyokuwa imetengwa kwa ajili ya usajili wa NIYOO itatumika kuwalipa mawakili wa kuwatetea KABURU na AVEVA.
Nimeona kazi kusoma Uzi mrefu sanaMpenzi wa Yanga alipochoma jezi ya Niyonzima Uongozi wa Yanga ukalaani, maana yake ni kutokubaliana na kitendo hicho baada ya nyinyi na magazeti yote kusema kwamba Yanga imechoma jezi ya Niyonzima. Ndio ishara ya uongozi unaojitambua. Kama kweli Uongozi unaojitambua wa Simba haukuhusika na kauli za wawili hao kusajiliwa nao ila ulikaa kimya kwa sababu haukuona haja ya kukanusha, nini tafsiri ya viongozi wenu wa usajili kuongezea kauli kwamba Yanga vocha imekata na ndio adha ya kumtegemea mtu mmoja? Nini tafsiri ya yinyi kudai jukwaani humu kwamba Niyo hawezi kuweka picha ya kusainishwa Simba mpaka mkataba wake na Yanga kumalizika? Nini tafsiri ya Dalali kusema Ngoma na Niyonzima ni wachezaji anaowakubali tangu zamani na amefurahi kuwa wamesajili Simba? Basi Uongozi unaojitambua wa Simba usingejaribu angalau kumnon'goneza mzee wa watu huyo kwamba hali haiko hivyo? Si kwa sababu Uongozi wenyewe ndiyo chanzo cha habari hizo? Na kama hamkuwa kweli na imani ya dhati kwamba wawili hao wanakuja kwenu, kwa nini mnatoa povu hivi sasa kwamba eti Yanga ni vigeugeu? Kwani kusema kwamba wameshindwana na Niyonzima maana yake kwamba Niyonzima hangeruhusiwa tena kusajiliwa hata kama atarejesha majeshi nyuma? Kwani kusema Ngoma ni msumbufu ndiyo kusema hatakubaliwa tena klabuni hapo? Kwani hamjapata kusema Okwi ni msumbufu? Mbona Yanga hawajatoa povu kulaani mlipomsajili tena kama mnalotoa nyinyi dhidi ya kusajiliwa Ngoma?
samahani, hivi ile rufaa yetu ya FIFA imefikia wapi?Unahitaji kuwa na ufahamu mdogo ili uwe mpenzi, shabiki au mwanachama wa simba vinginevyo lazima uhame
Nyie ni masikini hamna pesa za kununua jezi tunzeni mfanyie mazoeziLitakuwa jambo zuri sana, maana mnatudhihaki sana wakati hata huyo mchezani hayupo kwenye mipango ya kocha Amog.
Kama kweli kuna pesa za kumsajiri huyo NIYOO. basi ni bora zitumike kuwatetea viongozi wetu.
Nasikia mpaka mmechoma jezi zake kwa jazba za kufikirika.
Sisi huku tunazitunza jezi za Ajibu. kuhama timu siyo ugomvi.
Ndo maana Kichuya anawafunga, hamna heshima hata kidogo.
Msiyempenda kaja
Okwi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hahahah mkiaFc wanasumbua kweli eti wanaleta straika anayekabwa na mabeki wa5 hahaha