Soon Simba SC wataaminishwa Mo kamkataa Niyonzima

Soon Simba SC wataaminishwa Mo kamkataa Niyonzima

Samahani
Nenda kenye Play Store, download Simba sc.
Habari zote utazikuta hapo.
Pamoja na majukumu ya Musa Hassan Mgosi.
Kila kitu kipo hapo.
Amina
Yaani kwenye simu yangu ya gharama nikadownload makokonfigjo ya sokoni...you must be kidding!

Yule babu Mganda anayeitwa Oki sijui Korie mmemsajili kama kocha au mganga wa timu?
 
Tambwe Babu wa Netball au yupi?
IMG-20170301-WA0064.jpg


Kuna mambo yanakera, uongo. Najua Hamisi Kiiza naye atakuwa ameenda kurinyuu kama mwenzake Korie...oh, I mean Oki. Akirudi huko yule mahabusu atawatangazia kuwa mmesajili bonge la straika
 
Yaani kwenye simu yangu ya gharama nikadownload makokonfigjo ya sokoni...you must be kidding!

Yule babu Mganda anayeitwa Oki sijui Korie mmemsajili kama kocha au mganga wa timu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Pesa iliyokuwa imetengwa kwa ajili ya usajili wa NIYOO itatumika kuwalipa mawakili wa kuwatetea KABURU na AVEVA.
 
Pesa iliyokuwa imetengwa kwa ajili ya usajili wa NIYOO itatumika kuwalipa mawakili wa kuwatetea KABURU na AVEVA.

Litakuwa jambo zuri sana, maana mnatudhihaki sana wakati hata huyo mchezani hayupo kwenye mipango ya kocha Amog.

Kama kweli kuna pesa za kumsajiri huyo NIYOO. basi ni bora zitumike kuwatetea viongozi wetu.

Nasikia mpaka mmechoma jezi zake kwa jazba za kufikirika.

Sisi huku tunazitunza jezi za Ajibu. kuhama timu siyo ugomvi.

Ndo maana Kichuya anawafunga, hamna heshima hata kidogo.

Msiyempenda kaja
Okwi.
 
Hivi Okwi alitemwa ulaya au alimaliza mkataba wake? Bila shaka Okwi anang'aa bongo tu wala siyo Uganda au Kokote duniani.
 
Mpenzi wa Yanga alipochoma jezi ya Niyonzima Uongozi wa Yanga ukalaani, maana yake ni kutokubaliana na kitendo hicho baada ya nyinyi na magazeti yote kusema kwamba Yanga imechoma jezi ya Niyonzima. Ndio ishara ya uongozi unaojitambua. Kama kweli Uongozi unaojitambua wa Simba haukuhusika na kauli za wawili hao kusajiliwa nao ila ulikaa kimya kwa sababu haukuona haja ya kukanusha, nini tafsiri ya viongozi wenu wa usajili kuongezea kauli kwamba Yanga vocha imekata na ndio adha ya kumtegemea mtu mmoja? Nini tafsiri ya yinyi kudai jukwaani humu kwamba Niyo hawezi kuweka picha ya kusainishwa Simba mpaka mkataba wake na Yanga kumalizika? Nini tafsiri ya Dalali kusema Ngoma na Niyonzima ni wachezaji anaowakubali tangu zamani na amefurahi kuwa wamesajili Simba? Basi Uongozi unaojitambua wa Simba usingejaribu angalau kumnon'goneza mzee wa watu huyo kwamba hali haiko hivyo? Si kwa sababu Uongozi wenyewe ndiyo chanzo cha habari hizo? Na kama hamkuwa kweli na imani ya dhati kwamba wawili hao wanakuja kwenu, kwa nini mnatoa povu hivi sasa kwamba eti Yanga ni vigeugeu? Kwani kusema kwamba wameshindwana na Niyonzima maana yake kwamba Niyonzima hangeruhusiwa tena kusajiliwa hata kama atarejesha majeshi nyuma? Kwani kusema Ngoma ni msumbufu ndiyo kusema hatakubaliwa tena klabuni hapo? Kwani hamjapata kusema Okwi ni msumbufu? Mbona Yanga hawajatoa povu kulaani mlipomsajili tena kama mnalotoa nyinyi dhidi ya kusajiliwa Ngoma?
Nimeona kazi kusoma Uzi mrefu sana
 
Mwakani wakikosa ubingwa tayari wana sababu;viongozi wao walitupwa rumande wakati wa usajiri na uchaguzi wa tff!
 
Litakuwa jambo zuri sana, maana mnatudhihaki sana wakati hata huyo mchezani hayupo kwenye mipango ya kocha Amog.
Kama kweli kuna pesa za kumsajiri huyo NIYOO. basi ni bora zitumike kuwatetea viongozi wetu.
Nasikia mpaka mmechoma jezi zake kwa jazba za kufikirika.
Sisi huku tunazitunza jezi za Ajibu. kuhama timu siyo ugomvi.
Ndo maana Kichuya anawafunga, hamna heshima hata kidogo.

Msiyempenda kaja
Okwi.
Nyie ni masikini hamna pesa za kununua jezi tunzeni mfanyie mazoezi
 
Back
Top Bottom