Hawa HESLB wana tabia ya kuzidisha makato ya marejesho ya mkopo bidi unapomaliza marejesho ya mkopo kwa kuendelea kukata mishahara yetu kila mwezi, hata kwa zaidi ya miezi 3 hadi 6 inategemea ya wepesi wako wa kuwafuata kwenda kulalamika.
Baado ya hapo ukiomba kurejeshewa makato yaliyokatwa kimakosa wanakwambia subiri siku 90.
Siku zikifika ukiwafuata wanakwambia endelea kusubiri. Hiki ni kilio cha watumishi wengi sana.
Ukienda pale ofisi zao utakutana na watumishi wengi wanalalamika kwa kupigwa danadana pesa hazirejeshwi.
Ni wakati sasa Sophia Mjemawa kutolewa tamko la kukomesha upuuzi huu kwani waziri husika wa Elimu ameshindwa kutatua hili licha ya kulalamikiwa sana.
Baado ya hapo ukiomba kurejeshewa makato yaliyokatwa kimakosa wanakwambia subiri siku 90.
Siku zikifika ukiwafuata wanakwambia endelea kusubiri. Hiki ni kilio cha watumishi wengi sana.
Ukienda pale ofisi zao utakutana na watumishi wengi wanalalamika kwa kupigwa danadana pesa hazirejeshwi.
Ni wakati sasa Sophia Mjemawa kutolewa tamko la kukomesha upuuzi huu kwani waziri husika wa Elimu ameshindwa kutatua hili licha ya kulalamikiwa sana.