TANZIA Sophia Nyerere, Mjukuu wa Baba wa Taifa afariki Dunia

Ukishakuwa kwenye oksigen ni kudra za mwenyezi Mungu ku survive
Wengi wanaowekwa kwenye oxygen wanakata moto, tumieni JPM methods kwenye Corona, fukiza, tumia dawa za dukani , na zetu za asili. Oxygen inamaliza watu, hata ukipona mapafu yanabaki na damage kubwa sana, ukipata infections yeyote unaondoka
 
Lile tangazo la hospitali ya Mzena lililotoka mnamo march 17 usiku lilinifanyia uhakiki wa taarifa ingawa tangia march 8 nilijua kuwa mzee baba yupo Lugalo tayari.
 
FAKE. Ubongo ukikosa O2 kwa dakika 2 unakufa. Bora hata hiyo O2 unayoongezewa inakuongezea siku kadhaa kabla ya kuondoka.
Wengi wanaowekwa kwenye oxygen wanakata moto, tumieni JPM methods kwenye Corona, fukiza, tumia dawa za dukani , na zetu za asili. Oxygen inamaliza watu, hata ukipona mapafu yanabaki na damage kubwa sana, ukipata infections yeyote unaondoka
 
R.i.p sofia.
Alafu ukute hata hajaacha kumbukumbu (kijukuu kwa bibi) inauma sana
 
RIP mtz mwenzetu😭!
Nenda kamsemee mama kwa JPM(rest in eternal peace and power our great African hero 💔 Hon Dr JPM 🙏😭, amen)! Mwambie mama alivyomwepesi kashawishika, kaichokonoa covax mpaka kaileta nchini kwetu na kesho anaanza kampeni rasmi ya kutushawishi tuchanjwe!
 
Kama namwona hapa chini, siyo?

 
Apumzike kwa Amani.

Kuna Familia hata kitukuu kikiaga, ni lazima Tanzania ijue.


Unajua haya maisha, nmekuja kugundua jambo moja..

Unaweza fanya siku ukifa, uzikwe kimyakimya tu...

Au ukifa, watu wajue Fulani kaondoka Jamaan, Twenden twenden tumsindikize.


Ni Uchaguzi tu ambao mwenye kuamua ni wewe mwenyewe na maisha yako!!


Ila si ni life tuu, ndio njia ya kwenda kwa Baba Muumba.

( Marehem nilikua simjui wapendwa ).[emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…