Wengi wanaowekwa kwenye oxygen wanakata moto, tumieni JPM methods kwenye Corona, fukiza, tumia dawa za dukani , na zetu za asili. Oxygen inamaliza watu, hata ukipona mapafu yanabaki na damage kubwa sana, ukipata infections yeyote unaondokaUkishakuwa kwenye oksigen ni kudra za mwenyezi Mungu ku survive
Wengi wanaowekwa kwenye oxygen wanakata moto, tumieni JPM methods kwenye Corona, fukiza, tumia dawa za dukani , na zetu za asili. Oxygen inamaliza watu, hata ukipona mapafu yanabaki na damage kubwa sana, ukipata infections yeyote unaondoka
Inauma sana roho mtu kufariki ktk umri mdogo
R.i.p sofia.Sophia Nyerere, ambaye ni Mjukuu wa Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, amefariki dunia leo Jumanne katika Hospitali ya Mzena mkoani Dar es Salaam, alipokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Marehemu Sophia ni Mtoto wa John Nyerere.
View attachment 1870276
Sophia Nyerere, ambaye ni Mjukuu wa Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, amefariki dunia leo Jumanne katika Hospitali ya Mzena mkoani Dar es Salaam, alipokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu. Marehemu Sophia ni Mtoto wa John Nyerere.
View attachment 1870276
Kama namwona hapa chini, siyo?
View attachment 1870534
Mama Maria hakika ameona mengi.
Ameona Kings rise and Fall
Alikuwa na miaka mingapi?Bado mdogo, shida nini tena? Pole kwa familia na wote walioguswa na Msiba
Mama maria kaona mengi ndio ila ni too late kwake kuandika kitabu network imeanza kukata .mengi kayasahau au hawezi kuyakumbukaMwennye Nyeusi nadhani.
Mama Maria hakika ameona mengi.
Ameona Kings rise and Fall
Anapaswa kuandika kitabu Bora kabisa cha historia hapa Tz
Sijui mkuu ila sura yake anaonekana bado mdogo wa umriAlikuwa na miaka mingapi?