cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Nakubaliana naye bwanaWengi wanaowekwa kwenye oxygen wanakata moto, tumieni JPM methods kwenye Corona, fukiza, tumia dawa za dukani , na zetu za asili. Oxygen inamaliza watu, hata ukipona mapafu yanabaki na damage kubwa sana, ukipata infections yeyote unaondoka