TANZIA Sophia Nyerere, Mjukuu wa Baba wa Taifa afariki Dunia

Apumzike kwa amani. Nakumbuka mwaka jana alipost picha akiwa hospitali akasema amepata changamoto ya upumuaji lakini anaendelea vzr, akapona kabisa. Mwaka huu ameugua tena na kuondoka. Mwenyezi Mungu amrehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…