Kama ulishawahi kusikiliza hotuba za J K Nyerere Alishasema "WAPINZANI WA CCM WATATOKA CCM" mwisho wa kunukuuWakienda Chadema ni mtaji tosha. Kama walimpoke wema basi hawa ni watakatifu ndani ya chadema
Zzk na kina kitilya na wenzake walivyoanza vuguvugu LA usaliti na hatimae kutumbuliwa na cdm mlinyoosha midomo kuwa cdm hakuna demokrasia,sasa je unasemaje yaliyotokea CCM,demokrasia IPO?
Sipati picha akirudi.... hawa kina bashite ndo wamesitisha ajira zetu kumbe wao ndo hewa... sasa hv ngekuwa nmedraw mtonyo mara 14!Bashite hatumuachiiiiiii,hata upite mwaka mzima ila akirudi nchini arudi na vyeti.
KabisaaaTumeshajadili Vya Kutosha...Turudi Kwa BASHITE sasa.
Sophia CDM Madabida hatakiwi kwa sababu ya kashifa ya ARV fake ambazo ziliua ndugu zetu.Akaanzishe cha kwake tu. Ila ninawahurumia sana waliobaki ccm watakomaje? Siasa hahitaji hasira wala visasiHusika na Kichwa cha uzi hapo juu, unafikiri wasaliti hawa waliofungashiwa virago CCM mwisho wao / wataangukia chama gani cha siasa hasa ukizingatia kwasasa tuna vyama vingi vya siasa vyenye ushawishi mkubwa. Karibu utiririke, kejeli hazitakiwi.
Kumbuka siasa haina rafiki wala adui wa kudumu.
Wataanzisha CCM-Asili
Makonda hoyeeeeeeee!Mmmmmmmmmmh duh
Huyu ndio Bashite Mwenyewe MkuuAchana na lizaboni hana kitu kichwani....huyu nae ni bashite wa ubongo
Leo huandiki sana vipi umenusa habari mbaya nini ya yule mungu wa mji wa panyaroad?Mmmmmmmmmmh duh
Uungwana ni vitendo....nimerudisha makombora yangu kapuni.
Pia hiyo imekufunza kuwa siyo kila unachokiona mtandaoni ni sahihi, fanyia tafiti kwanza. Pamoja tuendelee kutirirsha utirio wa GT hapa jukwaani.
Nimeipenda sana ID yako Mkuu kwani naona umeamua kupiga kona na kuwahi kutaka kufunga mwenyewe. Watoto wa mjini wanasema umejitekenya halafu unacheka tena mwenyewe. Kweli hii ndiyo JF bhana!Naona umeamua kupima upepo baada ya zile ndoto zako kutotimia leo kutokea pande za Idodomya na kwa kiasi fulani ni kama vile umeaibika. Inaonekana siku hizi Informers wako hawako competent Mkuu na kila uchao wanakulisha tu matango pori.
Hii haifuti hitaji la vyeti, ilikuja ya uteuzi wa mama mbona haikufuta?Aiseee makonda atapumua sasa,kiki mpya ishaingia mjini.