Wakati huu gia ndo inahama ila maajabu yanayo kuja ni chadema kukosoa ya ccmAiseee makonda atapumua sasa,kiki mpya ishaingia mjini.
Haaa haaaWataanzisha CCM-Asili
Mkuu naomba urudie kuangalia hiyo video, mee KM alionekana kufadhaika sana!Mbona Majaliwa anaonekana hadi kwenye video akimuunga mkono Lowasa ila ameachwa?
Mbona la Mwenyekiti kuwa dikteta lipo vyama vyote vya siasa.Hiki chama kinakoelekea ukibishana na mwenyekiti unanyongwa
Hii haifuti hitaji la vyeti, ilikuja ya uteuzi wa mama mbona haikufuta?
Alete cheti aache drama
Kama mods wanaweza kuvumilia kauli kama hii basi hongera sana ndugu!!Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Wewe si upo huko, peleka hilo jina unaloona limesahaulika.Wasimsahau Jesica Msavatavangu
Bashite hatumuachiiiiiii,hata upite mwaka mzima ila akirudi nchini arudi na vyeti.
Kumbe nywele nyeupe alikuwa anampango wa kurudi nambari one na aliacha majeshi yake yamsafishie njia sasa yamegundulika na kuraruliwa.
Hata wewe unaweza kusaidia lizaboni kutoa jibu,wewe binafsi unaonaje usaliti uliofanywa na kina zzk na kutumbuliwa vs wasaliti wa CCM walofikuzwa Leo?mambo ya like humu hayatufai
Sio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna anaeona vizuri hasa watu wa chini wapo tu tunakoenda ndio huko huko, utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka utadhani kwake hakuna udikteta, tena huyo Tundu Lizu nani wa kupinga wazo lake, semeni ukweli? Na Mbowe nani wa kumkosoa kwa sasa? Si umeona waliojaribu yaliyowakuta, na najua hamna uchaguzi wa Mwenyekiti tena dah...
Siasa za Tanzania ni bora wale wasio na vyama lakini hawa mashabiki uchwara ambao hata katiba za vyama vyao hawazijui ni shida... wako kusubiri nani wa kumtukana na kuongea USHILAWADU badala ya kujadili hoja za msingi kwa maendeleo ya taifa hili..
CCM acha ifagie, wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia au hayo makombo waliotupa chini CCM ndio mtaokota kama kawaida yenu?
Maana hamtaki kujibidiisha na nyinyi mkae mezani mle chakula fresh sijaona hata program za kuelemisha vijana wenu kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wenu kwenye makorido kulinda nafasi zao kwa kutafuta kashfa ya mahakamani au ya kuuchafua utawala, huku mkipata washabiki badala ya wanachama watakao kijenga chama.
Watamfata Mzee wao hilo linajulikanaHusika na Kichwa cha uzi hapo juu, unafikiri wasaliti hawa waliofungashiwa virago CCM mwisho wao / wataangukia chama gani cha siasa hasa ukizingatia kwasasa tuna vyama vingi vya siasa vyenye ushawishi mkubwa. Karibu utiririke, kejeli hazitakiwi.
Kumbuka siasa haina rafiki wala adui wa kudumu.
wangepotezwa wote...ila kwani kum support Lowassa si ilikuwa imeshaisha? au walikuwa wana msupport chini kwa chini?