Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Lizaboni bhana... eti anauliza "wako wapi waliokuwa wanametea Nchimbi" wakati kila mmoja anafahamu Nchimbi bado anapeta!!

Yaani huyu jamaa anaipenda sana CCM lakini sijui kwanini CCM wanapenda kumpuuza!!

Kawafanyia fitina Emmanuel Nchimbi, Ali Hapi, Bernard Membe, William Lukuvi, Nape Nnauye, Rajabu Luhwavi lakini wote hao bado wanapeta na kinyume chake wametumbuliwa wengine!! Hii inaonesha kumbe hata CCM yenyewe haijui!!!
 
Hawataenda ufipa wala Buguruni....hao watabaki tu kwani washaona wakizengua zaid hata kile kidogo walicho nacho kitawaponyoka...bora wavunge tu kimya. Piga kimya mambo Haya yatapita.
NB:wasijichanganye kuitisha press conference kuchanganua au kufafanua sababu za Wazo kuvuliwa gamba, wakae kimya tu wataepusha mengine mengi.
 
High table wakati wa kumsikiliza kero za wananchi kulikuwa na mwenyeji wa ccm mkoa wa Dar na mkuu wa mkoa wa Dar kuna kila dalili ya kuwa na sura Mpya tupu
 
Fukuza wote baba,lazima waisome namba. Najua unaitaji wanachama watiifu,wasiokupinga na utakaowapeleka kama kondoo.
 
Madabida akithubutu kwenda CDM ajue kesi ya ARV's feki itapamba moto,TRA watamwangukia kama mwewe,na atanyang'anywa kiwanda cha madawa Arusha
 
Hata wewe unaweza kusaidia lizaboni kutoa jibu,wewe binafsi unaonaje usaliti uliofanywa na kina zzk na kutumbuliwa vs wasaliti wa CCM walofikuzwa Leo?mambo ya like humu hayatufai

Kumbe ujumbe wangu nilioutuma Kwako wa Kifalsafa umekuingia kisawasawa Mkuu? Safi sana.
 

Watu wa dizaini yako ndo BASHITE. Mada ya CCM umeishia kuongelea CDM.
 
Watamfata Mzee wao hilo linajulikana
 
Mimi sio mshabiki wa vyama lakini kwa hili naomba niseme CCM inapoelekea nitaenda kujiunga mwenyewe bila kulazimishwa!!...kama hawa watu walionekana 'taxi bubu' acha wapate walichokitafuta..
CCM keep it up n' CDM iwapo itawachukua hata mmoja kati yao ntaichukia rasmi!..Mtu mchafu hafai kama aliweza saliti alipolelewa then atashindwa nini kusaliti akija kwako!?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…