Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Mbowe kama namuona vile akipiga jalamba kwa ajili ya usajili wa ghafla wa dirisha dogo.
 
Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu

So far Chenge bado yupo CCM. Huyu amethibitika kula pesa ya Rada. Sio kuhisi. Uchafu upo CCM.

Mmesafisha ila sio kwa maadili bali kwa mambo ya kisiasa. Tunasubiri mshughulike na mafisadi wa kweli.
 
Haaaa mm sikujua mkuu,
Kumbe post inahusu chadema na siyo walofukuzwa ccm,
 


Alisaliti kivipi? Usaliti ni nini? Kuwa na maoni tofauti ni usaliti. Kupenda mtu asiyependwa na wenye madaraka ni usaliti? Mtu aliyetoka hadharani kulikosoa chama chake kwa kukiuka kanuni za uchaguzi, je ni msaliti? Yupi bora, msaliti au mnafiki? Ukiangalia kwa macho yanayoona vizuri unaona mwendelezo wa mnyukano wa kambi za uchaguzi uliopita.
 
Dah! mkuu ulikuwa umetoa makombora kabisa?

Mbona tayari nina "anti missile" ya uwezo wa kati?

Kama ungesogea kungefanyika "counter attack".

😀😀😀

Nilidhani wataka kuleta u "call me jay" maana huyu mtu file lake nalifahamu kinaga ubaga hasa ukikaribia maeneo ya pale karibia na IFM .

Ila ulivyosalimu amri ikabifi Yale madude yangu ya Intercontinental Ballistic Missile (IBM ) niliyarudishe kama nungu nungu afanyavyo.
 
Hapa mimi naona double standards tuu, au utakuwa mfumo dume umetumika hapa.

Kosa la Sophia ni sawa na Nchimbi na Kimbisa kwanini hukumu zitofautiane?!
 
Wakienda Chadema ni mtaji tosha. Kama walimpoke wema basi hawa ni watakatifu ndani ya chadema

Kama alivyo Chenge ndani ya CCM. Huyo jamaa ndio kipimo cha uwezo wa CCM kujisafisha. Nje ya hapo ni uozo tu. Hao popote watakapoenda haiwahusu maana si mshawafukuza?

CCM huwa kuna roho fulani ya kisasi cheusi kabisa mmeambukizana. Kwamba mkifukuza mwanachama basi mnataka afe kabisa kisiasa. Guys, hii ni karne ya 21.
 
Ningeelewa kama wangedil na wale wanaofuja mali za umma ambao ndo wamejazana CCM.. Hii ya kuwavua uanachama wenye mawazo tofauti ni udicteta na chuki. Huku sio kujenga chama ni KUTISHIA WANACHAMA WASITHUBUTU KUMPINGA MGOMBEA
DJ wa ufipa kuna wakumpinga mawazo yake au huo udikteta ni sehemu moja tu unaonekana?...
Acha tuwapongeze kwa walichofanya ni maamuzi mazuri pia!.
 
Duh! E bhana eh! Leo silali walahi.
Hii sinema si ya kawaida. Nina kopo la popcorn na soda za kutosha za Cocacola bashite.

Magu lete mambo.
 
Zito hakuwa msaliti
kilicho mponza ztt ni Kuwa mkweli
ndani ya cdm nimarufuku kuwa mkweli
hupaswi kuhoji wala kuuliza Pesa ya chama inakwenda wapi,
marufuku kuonyesha kugombea Uenyekiti
mwenyekiti wa milele ni Mbowe pekee

Simba alipokua mkweli kuwa anamtaka Lowassa ndipo akaitwa msaliti. Hayo ya Zitto unabuni. Hakuna ushahidi. Hili la Simba ni wazi.

CCM huwa haikubali ukweli kamwe. Nyie ndo mna kauli zidumu fikra za mwenyekiti.
 
Jamani tutashangaa kama waliotimuliwa ccm watakimbilia chadema na kupokelewa. Hapo tutaendlea kutambua kuwa chadema ni Chama cha kupokea mabaki.

Mbona mnajiumiza sana roho. Yani umtaliki mke halafu umuamulie wa kumuoa na kuanza kumuonea wivu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…