...hivi, kwani bila matusi huwezi kujenga hoja yako ndugu?Sawa we mwaga povu kumsifia na kumfagilia nkurunzinza utafikir upo UK ngoja hili jini mnalofuga liishiwe damu halafu iwe zamu yako kunyonywa ndo utaelewa maana wengine mnasubili popobawa ale msambwanda ndo utaelewa alichosema lissu kuwa white house imevamiwa na muumiani! Yaan wewe ndo boga kabisa unaona kabisa chama kinaliwa msembwende na popobawa we bado huamini sasa zamu yako haina muda mrefu
Nitamlaumu jk pekee iwa nafsi yanguHakika inashangaza sana katika Yale yanayoendelea Dodoma katika vikao vya ccm, Siamin kabisa kama mwenyekiti anaamua kutupeleka kwa namna hii ? kuna hatari kubwa sana inakuja mbeleni hii siyo kwa ccm tu ni kwa taifa zima. kwa nini ubadili katiba ikuluhusu kupita bila kupingwa? Leo wale wanaohoji au kupishana mtazamo mnawakamata? mlikuwa na nia gani kuitisha mkutano? mngekaa tu na kutuambia kuwa tumeamua hili na lile. unalazimisha watu wote wakuunge mkono. Dalili mbaya sana zinaanza kujitokeza katika taiga letu.
CHAMA KIPO KWENYE MAJARIBU MAKUBWA. Mods, please badilisha heading...
Wewe ni Ki.la.za! Majalibu! Ikuluhusu ndo nini?! Shule hizi za Kata ni janga la Taifa hili!Hakika inashangaza sana katika Yale yanayoendelea Dodoma katika vikao vya ccm, Siamin kabisa kama mwenyekiti anaamua kutupeleka kwa namna hii ? kuna hatari kubwa sana inakuja mbeleni hii siyo kwa ccm tu ni kwa taifa zima. kwa nini ubadili katiba ikuluhusu kupita bila kupingwa? Leo wale wanaohoji au kupishana mtazamo mnawakamata? mlikuwa na nia gani kuitisha mkutano? mngekaa tu na kutuambia kuwa tumeamua hili na lile. unalazimisha watu wote wakuunge mkono. Dalili mbaya sana zinaanza kujitokeza katika taiga letu.
Ndo mnavyodhani na Magugu kuwa mna authority ya kuua na kuhuisha?......nanyi njia yenu Ni hiyohiyoNaona kuwafukuza haitoshi wangewaua kabisa.
Akimaliza elimu ya utu uzima huko
Hawana uhusiano, Sofia ni mzalamo wa msanga, Idd mwenyewe anasema ni mndengerekoHivi Sophia ana undugu na Iddi ? Iddi yule aliyekuwa nadhani waziri wa viwanda na biashara zamani.
Hahahaa....Acha Uongo wewe.Tukio limetokea ndio unaunga sababu za kuanzisha thread. Ukiwa mzee utakuwa mchawi wewe
Mkuu binafsi kwanza sikutaka kumuamini huyu rafiki yangu mpaka yalipotokea ndio nimemuamini. Kuna baadhi ya mambo huwezi kuyasema kabla ya tukioAcha Uongo wewe.Tukio limetokea ndio unaunga sababu za kuanzisha thread. Ukiwa mzee utakuwa mchawi wewe