Wala hujakosea mbinu mojawapo ni ile ya kuiba kura , na hii ndio inatumika dakika za mwisho kabisa tena baada ya mbinu zote kushindikana.Ccm haina haja ya kufanya upuuzi huo inadola kubwa na mbinu nyingi huo utoto tupa kule
Kama kweli Kikwete aliimba nao, basi naye hayuko salama...tusubiri. Tunakwenda kuwa kama China na Chama cha Kikomunisti cha China. Mwenyekiti ana ndoto hii.Na tumaini wote ni wazima..
Twende moja kwa moja kwenye mada. Sote tunakumbuka maneno aliyokuwa akiyasema JPM... "Kuna wenzetu mchana CCM usiku wapinzani"
Alikuwa akiwazuumzia baadhi ya wanachama wa CCM ambao kwa namna moja au nyingine walishirikiana na wapinzani kipindi cha uchaguzi.
Sofia kama wote mnakumbuka alikuwa katika kamati iliyoundwa ya kuratibu ushindi wa mgombea urais wa CCM. Inasemekama kuna taarifa nyingi za mikakati ya ushindi zilikuwa zikivuja. Ikapelekea mikakati mingi kushindikana na ratiba kubadilishwa mara kwa mara.
Na ilifikia kipindi baadhi ya wajumbe wa kamati kupunguziwa
majukumu au kutoshirikishwa baadhi ya mambo. Na inasemekana Mama yetu alivujisha sana taarifa. Na ndio maana kwenye mikutano mingi walimtoa au kutomhusisha.
Kuimba tunaimani na Lowasa si kigezo maana hata JK naye aliimba nao.
Naipongeza CCM kwa maamuzi haya ya busara. Viva CCM
Alipewa ubunge wa viti maalumu kama Mwenyekiti wa UWT si Kama Sophia Simba. Hata Mwenyekiti atakaye chukua nafasi yake naye atakuwa "automatically" mbunge. Hii ni kufuata kanuni za kupata wabunge wa viti maalumu kwa CCMMkuu hivi kweli msalitiwe kias hicho na bado mumpe huyo "msaliti " ubunge viti maalum??
Like seriously?
Vip ule msemo wenu wa " sasa yamepita, umoja ni ushindi"?
Anyways, the ussue at hand still hot,and never will it be fixed......
Dhambi ya chuki, visasi na "ubaguzi" itawamaliza.....
NAFASI LAZIMA WAPEWE, LOWASA SI NDIYO MWENYE CHAMA NA MBOWE. WAKISEMA THIS WAY, NANI ATASEMA THAT WAY? THUBUTU UNAFUTWA UANACHAMA.Wakuu kama mwezi nyuma nilipata kukaa na classmate wangu huyu jamaa yupo kwenye usalama wa taifa, lakini anatumika kisiasa sana(anatumiwa na ccm) kimaslahi. Alinidokeza kuwa kuna watu watatumbuliwa kwenye chama cha ccm na hao watakaotumbuliwa, watatumika kama majasusi wa kusambaratisha upinzani. Hao waliotumbuliwa watajiunga na Chadema,Nccr na Nld kusudio kuisambaratisha UKAWA. Kutokana na Cuf bwana yule anatumika hawakuona umuhimu wa kupandikiza mtu wao sababu bwana yule anatumika wamtakavyo mpaka sasa. Pia huyu rafiki yangu aliniambia ikifika 2018 ccm itawafukuza baadhi ya vijana wao watakaojifanya kwenda kinyume na chama, nao watakimbilia Chadema,Cuf,Nccr na Nld. Hao vijana watatumika kuleta nguvu lakini wengi wa watu watakao jifanya wanawaunga mkono nao pia wamepangwa kutoka ccm ili kuja kufanya hujuma kwa viongozi wa vyama vya upinzani.
Ushauri wangu kama vyama vya upinzani mtawapokea watu hao wafanyeni wanachama wa kawaida tu lakini mkiwapa nafasi za juu pole yenu.
Ubunge wake in wa kikatiba, sio wa kuteuliwa. Tumia kichwa chako vizuriMkuu hivi kweli msalitiwe kias hicho na bado mumpe huyo "msaliti " ubunge viti maalum??
Like seriously?
Vip ule msemo wenu wa " sasa yamepita, umoja ni ushindi"?
Anyways, the ussue at hand still hot,and never will it be fixed......
Dhambi ya chuki, visasi na "ubaguzi" itawamaliza.....
Bashite ni kama usingizi wa usiku tu, hata ulale vipi mchana usiku utalala tu hata kwa kusinzia!Naona ndugu zetu wanataka kututoa kwenye mjadala.....tunataka vyeti vya bashite
Ni hivi unapokwenda kwenye uchaguzi wa ndani ya chama its common sense wote amuwezi kuwa wamoja kushinda lazima u mobilize support za ndani maana wanachama wenzako ndio wapiga kura wenyewe.Itakuwa una akili za hovyo kama za mwenyekiti wako kujifanya anajua kila kinachotokea duniani ili kujustify roho mbaya yake. Mtafute Nikki Haley alikuwa ana masimamo gani wakati wa movement za Trump na Trump aliposhinda imekuwaje. Trump alipingwa waziwazi kwenye harakati zake lakini aliposhinda wengine kawapa uwaziri na hajamfukuza chama hata mtu mmoja. Akili za kiafrika hata kwenye kucha hazijai. Kweli dunia ya leo unataka kila mtu akusujudie?
Hahahaha hilo neno, emotional driven people!Tatizo la vijana wa upinzani, hasa CHADEMA, kama huna uwezo wa kusema hovyo hovyo upati uongozi la kunywa viroba upati stimu ya kuropoka.
Vipi wale wabeba maono wanapohamishia maono yao upande wa pili huku wakijaribu kukuaminisha wapo na wewe?? Na wewe ukawashtukia?? Je Utawaacha au??Mwisho wa vyama vikongwe ni pale vikianza timua timua hasa ya wabeba maono na wanakamati wakuu wa timu za ushindi..
Tunamtosa kabla hajatoboa baada ya kubaini tu anataka atuzamishe..bora afe peke yakeHii ni kanuni yetu sisi wavuvi,,, anayetoboa jahazi ambalo sisi wote tunasafiria anatoswa yeye baharini, hakuna namna
Lakini kwani kuimba c ni kundi kubwa linaimba siyo mtu mmoja moja na makofi tunapopiga huwezi kuyatofautisha huyu anayefukuzwa kwa kuimba anahatia gani ? Kwani ndani ya ccm demokrasi haipo?amfate lowasa c alisema ana iman nae
Hizo zimebaki kuwa ndoto maana tulitegemea hayo 2015 baada ya kina kingunge kuhama kumbe hola..ccm itabaki milele