Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali




Ficha upumbavu wako wewe kibwenye!Mapenzi hayalazimishwi,mbona Waziri mkuu Majaliwa alikuwa ni miongoni mwa walioimba wimbo wa imani na Lowassa na hajachukuliwa hatua?Huo ni uonevu wa dhahiri kwa mama Sophia Simba.


 
Kweli nyumbu mna Akili za kuku! Hivi chadema inavyoendeshwa kibabe kuna chama kinachozidi chadema kwa ubabe!? By the way Ben Saanane yuko wapi? Chacha wangwe yuko wapi? Zitto naye alitimuliwaje!
Nyumbu ni nyinyi mnaongozwa na mtindo wa zidumu fikra za mwenyekiti.

Wewe hata akisema leo hii uolewa huwezi hata kuhoji bali utakubali tu.
 
Kila chama kina miiko yao, kama mtu akikiuka anaondolewa aende sehemu ambapo anadhani ni sahihi. Kumbukizi CDM pia iliona ZZK alikiuka miiko, tuwe na kumbukumbu
 
Hizi tabia za kuwakashfu waliokuwa viongozi ktk chama ama nchi sio nzuri sana. Ikitokea leo Rais Magufuli akakiacha chama cha CCM, naona bwana Lizaboni povu litakutoka kwa kashfa nyingi juu yake.
Tujifunze kuwapinga watu kwa hoja zenye manufaa hata kama bado ni wenzetu,sio pale wanapokuwa nje tu.
Natama utuwekee orodha unayodhani hawapaswi kuwa wanachama wala viongozi ndani ya ccm na uweke sababu kwa nini iwe hivyo.
 
Bora CCM wameamua kuvua unafiki ....wapinzani wanaibeza CCM inayojitengeneza ...watatutawala hadi labda wajukuu zetu wajielewe lakini si upinzani huu uliojaa ujanja ujanja ....
Mkuu,
Huna chama kabisa..?
 
Kwani kosa lake kubwa ni lipi? Kama ni kuongea msimamo wake wafukuzeni wooooote walioimba wana imani na lowasa,mmemuonea kwakuwa,ni mwanamke...NCHIMBI MKAMPA UBAROZI KWA SABABU MMEONA ANGEWESUMBUA AKIJA UPINZANI....
Wasimsahau Jesica Msavatavangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…