Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Kwa makosa yake haikustahili kupewa Onyo
Ya kubeba maburungutu ya Pesa. ?? Dah lizabini huwa nawaza akili zako zikoje.....!! Yaani MTU abebe mabilioni kuwahongo watu bado unaona ni kesi ndogo ndani ya chama. Na kubwa ni kumkataa ngosha na kusema unataka luwasa..
 
Hivi kwenye ile clip si niliona na majaliwa akiimba ana imani na lowasa
 
Nyumbu ni nyinyi mnaongozwa na mtindo wa zidumu fikra za mwenyekiti.

Wewe hata akisema leo hii uolewa huwezi hata kuhoji bali utakubali tu.
We hapo ulipo hata ukiambiwa ubokolewe na Makengeza uko tayari! Nyumbu bana!
 
Chadema jembe hilo sasa....akiungana na Wema Sepetu ccm haichomoi 2020.
 
1d6bb09df98228f1e8166e9fcc51ab57.jpg




Nimeiona kwny JF twitter


Mods please pandisha na hii video ya ushahidi ili wafukuzane wengi zaidi
 

Attachments

Mbona Waziri mkuu MKM alikuwa miongoni mwa watu waliosimama ukumbini na kuimba wimbo wa "Tuna imani na Lowassa"na hajafutiwa uanachama?

Ndiyo maana Taifa linakumbwa na misukosuko kila siku,kumbe hata sisi tusiomchagua tunaweza kuundiwa zengwe na kupoteza utanzania wetu,hii hatari sana.



Hivi huyo pembeni ya PM sio Membe kweli? Nae kasalimika?
 
Wameanza kugawana fito,sasa EL mbona ana watu Wengine humor zaidi ya uyo humor ndani.Mimi namshauri mwenyekiti atumie TISS kubaini wasaliti alafu afukuze wrote aanze upya,maana ilo in kokoro wamebeba samaki was rika zote,akitaka sangara na sato wakubwa sana na was kati basi afuate ushauri wangu.Tuanze upya Hanna namna,wasaliti ikiwezekana wapigwe tu.
 
Back
Top Bottom