mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,268
- 3,439
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji1]Hili ni mbinu ya kutisha watu ili waogope kutopitisha mabadiliko wanayoyataka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji1]Hili ni mbinu ya kutisha watu ili waogope kutopitisha mabadiliko wanayoyataka.
Jembe la kufukuzwa ni Kassim Majaliwa.Chadema jembe hilo sasa....akiungana na Wema Sepetu ccm haichomoi 2020.
Tatizo waliendeleza makundi hata baada ya mgombea wa mwisho kupatikana, kifupi walikuwa wasaliti.Hawajawatendea haki kwakuwa hapakuwa na mwana ccm ambaye hakuwa na kundi...Mbona Mrisho Gambo alikuwa team Membe na alimuhujumu Mussa Zungu live na tuhuma zake zimefunikwa ...??
Comment on what is on the tableSio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna anaeona vizuri hasa watu wa chini wapo tu tunakoenda ndio huko huko, utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka utadhani kwake hakuna udikteta, tena huyo Tundu Lizu nani wa kupinga wazo lake, semeni ukweli? Na Mbowe nani wa kumkosoa kwa sasa? Si umeona waliojaribu yaliyowakuta, na najua hamna uchaguzi wa Mwenyekiti tena dah...
Siasa za Tanzania ni bora wale wasio na vyama lakini hawa mashabiki uchwara ambao hata katiba za vyama vyao hawazijui ni shida... wako kusubiri nani wa kumtukana na kuongea USHILAWADU badala ya kujadili hoja za msingi kwa maendeleo ya taifa hili..
CCM acha ifagie, wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia au hayo makombo waliotupa chini CCM ndio mtaokota kama kawaida yenu?
Maana hamtaki kujibidiisha na nyinyi mkae mezani mle chakula fresh sijaona hata program za kuelemisha vijana wenu kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wenu kwenye makorido kulinda nafasi zao kwa kutafuta kashfa ya mahakamani au ya kuuchafua utawala, huku mkipata washabiki badala ya wanachama watakao kijenga chama.
Wasimsahau Jesica Msavatavangu
Mkuu unamiksi na kilugha, hatukuelewiWameanza kugawana fito,sasa EL mbona ana watu Wengine humor zaidi ya uyo humor ndani.Mimi namshauri mwenyekiti atumie TISS kubaini wasaliti alafu afukuze wrote aanze upya,maana ilo in kokoro wamebeba samaki was rika zote,akitaka sangara na sato wakubwa sana na was kati basi afuate ushauri wangu.Tuanze upya Hanna namna,wasaliti ikiwezekana wapigwe tu.
Usikonde mambo yatakaa shwari tu, naiona Arusha inajengwa, barabara zinasukwa, juzi kati nilienda Dodoma ile barabara ya Kondoa na Wilaya ya Chemba imetulia sana...Wewe ni wa kanda pendwa, ukipata ulaji tufahamishane tunaweza pitia pitia huko kwako angalau tuendelee na ligi za mjini
Huyu mgeja si alishajitoa mwenyewe kipindi cha kampeni?
Kiboko ya mchwaHahahahahaaaaa. Oil Chafu
Nakuambia ndicho kitakachofanyika, na itapitishwa tuSijawahi ona mwenyekiti muoga kama huyu, hata mabadiliko yanayo fanywa si kwa maslahi ya chama bali ni kwa matakwa yake, ila hayo mawazo yake asilete kwenye katiba eti ufutwe ukomo wa kugombea tutamchinjia baharini hadi aone aibu.
hahahahahahah kabisa aiseeHiki chama kinakoelekea ukibishana na mwenyekiti unanyongwa
Naona hiyo renovation ni kwa wale waliopingana na mtukufu malaika