Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Hili swali anaweza kutusaidia mh. Mbowe au waulizwe akina prof. Mkumbo na Mwigamba walipoamua kumuunga mkono Zitto ili awe top wa CDM kama ili kuwa kosa ama la.
Mimi nauliza ya ccm wewe unaniletea habari za chadema, kwahiyo na nyie mnawaiga chadema.
 
Sio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna anaeona vizuri hasa watu wa chini wapo tu tunakoenda ndio huko huko, utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka utadhani kwake hakuna udikteta, tena huyo Tundu Lizu nani wa kupinga wazo lake, semeni ukweli? Na Mbowe nani wa kumkosoa kwa sasa? Si umeona waliojaribu yaliyowakuta, na najua hamna uchaguzi wa Mwenyekiti tena dah...

Siasa za Tanzania ni bora wale wasio na vyama lakini hawa mashabiki uchwara ambao hata katiba za vyama vyao hawazijui ni shida... wako kusubiri nani wa kumtukana na kuongea USHILAWADU badala ya kujadili hoja za msingi kwa maendeleo ya taifa hili..

CCM acha ifagie, wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia au hayo makombo waliotupa chini CCM ndio mtaokota kama kawaida yenu?

Maana hamtaki kujibidiisha na nyinyi mkae mezani mle chakula fresh sijaona hata program za kuelemisha vijana wenu kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wenu kwenye makorido kulinda nafasi zao kwa kutafuta kashfa ya mahakamani au ya kuuchafua utawala, huku mkipata washabiki badala ya wanachama watakao kijenga chama.
Well said kaka
 
Sio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna anaeona vizuri hasa watu wa chini wapo tu tunakoenda ndio huko huko, utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka utadhani kwake hakuna udikteta, tena huyo Tundu Lizu nani wa kupinga wazo lake, semeni ukweli? Na Mbowe nani wa kumkosoa kwa sasa? Si umeona waliojaribu yaliyowakuta, na najua hamna uchaguzi wa Mwenyekiti tena dah...

Siasa za Tanzania ni bora wale wasio na vyama lakini hawa mashabiki uchwara ambao hata katiba za vyama vyao hawazijui ni shida... wako kusubiri nani wa kumtukana na kuongea USHILAWADU badala ya kujadili hoja za msingi kwa maendeleo ya taifa hili..

CCM acha ifagie, wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia au hayo makombo waliotupa chini CCM ndio mtaokota kama kawaida yenu?

Maana hamtaki kujibidiisha na nyinyi mkae mezani mle chakula fresh sijaona hata program za kuelemisha vijana wenu kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wenu kwenye makorido kulinda nafasi zao kwa kutafuta kashfa ya mahakamani au ya kuuchafua utawala, huku mkipata washabiki badala ya wanachama watakao kijenga chama.
chadema ni upinzani, na viongozi wake ni wanadamu, haiwezekani akosekane mtu wa kuwabeza ikiwa hata wa ccm wanabezwa, ikiwa hata rais anabezwa.

ila ni vyema tukatambua lugha za staha, na kujifunza kujua kwamba mema yapo na mabaya yapo
 
Ngoja tuone, ukujitahidi kulipa visasi jiandae siku moja wengine nao kujibu mapigo!
 
Wasaliti wa chama walikuwa wengi sana. Sauti zilizosikika ukumbini zikiimba wimbo wa kuwa na imani ya Lowassa ni nyingi kuliko waliofukuzwa. Hii ina maana kuwa tatizo bado limejichimbia humohumo ndani ya CCM
 
Nawaza kwa sauti tu
hii timua timua inacreate makundi mapya ndani chama chetu CCM
Mwenyekiti angaliwaza kwa upana zaidi kwamba yaliyopita yamepita tutazame ya mbeleni
 
Mida ya saa tano asubuhi maeneo ya CCM ofisi ndogo Lumumba mama Sophia Simba ameonekana akiingia na gari aina ya landcruiser (namba zimeifadhiwa) ambapo baada ya dakika 47 alikuja kuchukuliwa na gari aina ya Toyota Prius (namba zimeifadhiwa) ,mwandishi wetu aliotaka kumhoji alikataa kuhojiwa na akasema ataongea kwenye Press conference atakayoitisha wiki inayoaanza kesho.
 
Huyu mama nilijua hawezi bakishwa kiporo. Sasa sijui ahamie cuf
 
Tuliambiwa kuwa kua wanachama wa CCM Zanzibar walikisalitichama na kupelekea kuangushwa vibaya na CUF, mbona hatukwasikia kuchukuliwa hatua. Au kufutwa Uchaguzi na Jecha ulisafisha madhambi yao?
2. Kumbe hata CCM wanafukuzana chama hata bila ya kujitetea. Hivi wanappaswa kufuata taratibu za demokrasia ni vyama vya Upinzani tu?
3.Je tutarajie kupata Mbubge wa Msajili wa vyama Kisiasa ikionekana kuwa kumfukuza chama Mbubge bila ya kujitetea kama Lipumba aendelee na Ubunge.
4. Kumbe hata ukiwa msomi na busara kiasi gani ukishajiunga tu nao unakuwa kama wao?
 
Hata mkeo kukimfukuza au ikimuacha huwezi kutoa sababu kila mmoja ajue siri ya kumuacha IPO moyoni kwako
 
Back
Top Bottom