gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Propaganda zimewa-brainwash kama ilivyokua hapa, hata leo ukisema ya hovyo ya nyerere utatukanwa pengine kutamaniwa kutolewa roho yako,yaani mtu anaabudiwaNi ngumu sana. Kasambaza vipenyo kila mahali, na kahakikisha hakuna mawasiliano kati ya raia wa Korea Kaskazini na watu wa nje wa taifa hilo na raia wanamezeshwa propoganda za kina Kim tangu wanaanza shule za vidudu mpaka chuo. Kuna hadi Wakorea wanaoamini wakina Kim ni miungu!
Kinyonga haliki,ukila unatetemeka balaaLakin wao kula vyura na kinyonga sawa tu 🤣
Unaweza kutengeneza mwenyewe pia, itakuwa seseji tu.Tukisema soseji pamoja na MacDonald zina ingredients zenye vinasaba vya binadamu mtasema ni Conspiracy.
Afadhali hivyo kuliko kununua ambazo hujui nani katengeneza na ametumia niniUnaweza kutengeneza mwenyewe pia, itakuwa seseji tu.
Utatengeneza Kila unachotumia?Afadhali hivyo kuliko kununua ambazo hujui nani katengeneza na ametumia nini
Sio vyote vina madhara, unaweza kuepuka vitu ambavyo havina ulazima kutumia au kula.Utatengeneza Kila unachotumia?
Hii imekaaje Mkuu.?Tukisema soseji pamoja na MacDonald zina ingredients zenye vinasaba vya binadamu mtasema ni Conspiracy.
Labda wapige goti covid iingilie kati.....Hivi hakuna raia anaweza akajitoa ufahamu akamla kichwa?
Kumbe unasikia!? Nilidhani huwa unamuona.Ila mwamba nasikia anagonga mvinyo from France
Vitu vya north Korea ni vya kusikiaKumbe unasikia!? Nilidhani huwa unamuona.
Katika muendelezo wa sheria za ajabu na za hovyo huko Korea Kaskazini, mtawala wa taifa hilo Kim Jong (Kiduku) amepiga marufuku ulaji wa soseji akisema ni chakula cha utamaduni uliopitiliza wa kibepari wa magharibi.
---
North Koreans have reportedly been banned from eating hot dogs as part of a crackdown on Western culture infiltrating the hermit kingdom.
Dictator Kim Jong Un has declared that serving the sausage was an act of treason, The Sun reports, amid the rising popularity of a South Korean dish inspired by the US.
People caught selling or cooking hot dogs face the prospect of time in the country’s infamous labor camps, while Pyongyang has also decreed that divorcees could also be jailed.
As part of the regime’s efforts to quash capitalist culture among citizens, it has forbidden the sale of budae-jjigae – a dish imported from pro-Western neighbor South Korea.
North Korean dictator Kim Jong Un has banned the sale of South Korean dish budae-jjigae.
North Korean dictator Kim Jong Un has banned citizens of eating hot dogs. Korean Central News Agency/Korea News Service via AP
People caught selling or cooking hot dogs can face time in a labor camp.
People caught selling or cooking hot dogs can face time in a labor camp. Paul Martinka
The spicy Korean-American hotpot – which means “army base stew” – includes hot dogs or spam among it ingredients.
It was born from meats discarded by US soldiers based in the region during the Korean War of the 1950s, with hungry locals using the items to create stews.
The fusion fare is believed to have crossed the border into North Korea some time in 2017, decades after it was invented in the south.
Ujamaa au Ukomunisti ni USHETANIHuyu mwamba ana wanyoosha wananchi wake kama Mwalimu Nyerere, TV zilipigwa marufuku na mambo mengine ya kipuuzi ya kijamaa.
Sometimes naonaga wajamaa kama vile ni watesi wa wananchi
Basi angeacha wanawake wale azuie wanaumeLabda anaona kama wanakula uume.
Research...Hizo genes za binadamu wanaziwekaje katika soseji?