Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuchukua kwa nchi rafiki, sio kuchukua kwa nchi aduiUtatengeneza Kila unachotumia?
Hivi hakuna raia anaweza akajitoa ufahamu akamla kichwa?
Juche
Kama CCM
Mwl. Nyerere katika kuunda Mfumo wa Utawala wa CCM pamoja na Mfumo wa Utawala wa Serikali katika nchi hii ya Tanzania aliiga Mifumo ya Utawala kutoka Korea ya Kaskazini, China na Urusi (USSR).Ujamaa ni mfumo wa utawala unaomfanya kiongozi wa juu aonekane mkubwa kupita kiasi.
Nchi za kijamaa Serikali ina fedha ila raia ni makapuku.
Wananchi wa kawaida wanatabika mno huku watawala wakiwatenda watakavyo bila kuhojiwa.
Huwa sina utaratibu wa kula vyakula vigumu nikiwa safariniUnaponunua nyama safarini huwa unajuaje ni ya mbuzi kweli na sio mbwa, ni ng'ombe sio panda au ni kuku sio kunguru??
Mpangilio wa ulinzi binafsi unamfanya awe salama.Si waliue, kuna watu wanafanya wenzao waishi kwa tabu sana hapa duniani
Mambo ya vyakula ni magumu sana sahivi kila chakula kikiwa shambani ni genetic modified na vinapigwa madawa sanaUnaponunua nyama safarini huwa unajuaje ni ya mbuzi kweli na sio mbwa, ni ng'ombe sio panda au ni kuku sio kunguru??
Tuliza akili na kuwa makini, feinberg ndyo alifanya mahojiano na rabbi, kisha akawasilisha hiyo taarifaHuyo hapo kwanza ni Kenneth Feinberg, sio hata huyo rabi fictional wako.
Wazee wa conspiracy theory mtu balaa atumie elimu yake ya graphics vizuri anaitumia kuandika uongo na ujingaHuyo hapo kwanza ni Kenneth Feinberg, sio hata huyo rabi fictional wako.
Tatizo lako hujanielewaUnaelewa maana ya genetic modified?
Mbona hata binadamu wanatumia madawa sana??
Kwa akili yako mtu akiri kuuwa watu mia tatu alafu mamlaka zimuangalie tuTuliza akili na kuwa makini, feinberg ndyo alifanya mahojiano na rabbi, kisha akawasilisha hiyo taarifa
Mamlaka gani? Mamlaka ambazo zimejaa criminals and child traffickers? Pedophilians?Kwa akili yako mtu akiri kuuwa watu mia tatu alafu mamlaka zimuangalie tu
Wafanye watakaloona ni sawa kwaoWenye utaratibu wa kula vyakula vigumu wakiwa safarini wafanye nini kujiridhisha nyama wanazokula sio za punda, mbwa au kunguru??
Ila Tanganyika tuna ahueni kidogo baada ya USA kuingiza Ubepari kidogo kwenye mfumo wetu.Mwl. Nyerere katika kuunda Mfumo wa Utawala wa CCM pamoja na Mfumo wa Utawala wa Serikali katika nchi hii ya Tanzania aliiga Mifumo ya Utawala kutoka Korea ya Kaskazini, China na Urusi (USSR).
Watanzania na raia wa China, Urusi au Korea ya Kaskazini hatuwezi kuchekana, Wananchi wote katika nchi hizi ni MATEKA WA WATAWALA.
Sawa endelea kusubiri naletaLeta hapa link ya YouTube ya mahojiano, leta hapa picha ya huyo rabi wako.
Vyakula haramu ni vya kufikirika zaidi kuliko uhalisia.Unaponunua nyama safarini huwa unajuaje ni ya mbuzi kweli na sio mbwa, ni ng'ombe sio panda au ni kuku sio kunguru??