South Africa: Unyama wa Israel haukuanza Oct 7

South Africa: Unyama wa Israel haukuanza Oct 7

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
1. Kimeumana mahakamani "koleo" laitwa kwa jina lake:

IMG_20240111_140350.jpg


IMG_20240111_142310.jpg


2. Kuna wale wenye mahaba uchwara ya dini.

3. Kwamba hawawezi kujiuliza katika nchi zote, kwanini HAMAS wana taabu na Israel si Kenya wala Tanzania?
 
1. Kimeumana mahakamani "koleo" laitwa kwa jina lake:

View attachment 2868283

View attachment 2868298

2. Kuna wale wenye mahaba uchwara ya dini.

3. Kwamba hawawezi kujiuliza katika nchi zote, kwanini HAMAS wana taabu na Israel si Kenya wala Tanzania?
wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014
 
wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014

1. Unadhani nukuu hizo ni kutokea kwenye vile vijiwe vyenu vya bodaboda?

2. Haina shaka wewe utakuwa yale ni majinga jinga ya vijiweni yasiyojitambua.

3. Kwamba hujui ISS, Boko Haram au Alshababu wanapigania nini na kwa nini ni tofauti na HAMAS?

4. Unadhani submissions hizi ni za kwenu kisutu, mburula wewe?
 
Hizo ni kelele za chura marekani ni wanafki sana!
Hivi ni nini kitafanyika hapo?
Israel na Palestine wakae wamalize vita kwa makubaliano.

nipo hapa Gaza itakaliwa kwa mabavu au raia wataendelea kuishi hapo na Israel ikiwa inalinda hapo.
Hao wadhalimu tulishajua lengo ni kuchukua ardhi.
 
Hizo ni kelele za chura marekani ni wanafki sana!
Hivi ni nini kitafanyika hapo?
Israel na Palestine wakae wamalize vita kwa makubaliano.

nipo hapa Gaza itakaliwa kwa mabavu au raia wataendelea kuishi hapo na Israel ikiwa inalinda hapo.
Hao wadhalimu tulishajua lengo ni kuchukua ardhi.

1. Jitihada za Afrika Kusini si kelele za chura.

2. Kwamba urusi iliipuuza mahakama hii na kuwa hata Israel ataipuuza, bado ajue dunia inauona unyama wake na hayuko na uhalali wowote.

3. Unamkalisha chini mhuni asiye tayari kukaa chini kuongea mwaka wa 76 leo?

4. Israel akabiliwe hata kwa zomea zomea tu; Palestina ni ya wapalestina watu wote ni wajomba zake Mungu:

Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki
 
wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014
Kwahiyo ww unamaono mazur kuliko Nyerere, Mandela, Lissu au rais C Ramaphosa. Wakati hata ujumbe wa mtaa wako hujawahi kupata.
 
wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014

Umeumia sana, na bado
 
1. Unadhani nukuu hizo ni kutokea kwenye vile vijiwe vyenu vya bodaboda?

2. Haina shaka wewe utakuwa yale ni majinga jinga ya vijiweni yasiyojitambua.

3. Kwamba hujui ISS, Boko Haram au Alshababu wanapigania nini na kwa nini ni tofauti na HAMAS?

4. Unadhani submissions hizi ni za kwenu kisutu, mburula wewe?
kuna tofaut gan kati ya Hamas na Boko Haram au ISIS ? ebu jitambue bas usihis una debate na mjinga mwenzio , wote hao wanalenga Islamic state na sio freedom of Palestina , Palestina was freed since 1948 na bado wakapewa freedom 2000 ila wakagoma
 
kuna tofaut gan kati ya Hamas na Boko Haram au ISIS ? ebu jitambue bas usihis una debate na mjinga mwenzio , wote hao wanalenga Islamic state na sio freedom of Palestina , Palestina was freed since 1948 na bado wakapewa freedom 2000 ila wakagoma
Ya kwamba ww una akili kuizidi serikali yako ambayo inaitambua Hamas kama chama cha siasa ?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
kuna tofaut gan kati ya Hamas na Boko Haram au ISIS ? ebu jitambue bas usihis una debate na mjinga mwenzio , wote hao wanalenga Islamic state na sio freedom of Palestina , Palestina was freed since 1948 na bado wakapewa freedom 2000 ila wakagoma

Una tatizo kubwa la msingi kutojua tofauti za ISS, Boko Haram, Alshababu na HAMAS au Hezbollah kwa upande mwingine.

Tafiti ujue siyo kujifanya kujua hata kwenye usiyojua.
 
1. Jitihada za Afrika Kusini si kelele za chura.

2. Kwamba urusi iliipuuza mahakama hii na kuwa hata Israel ataipuuza, bado ajue dunia inauona unyama wake na hayuko na uhalali wowote.

3. Unamkalisha chini mhuni asiye tayari kukaa chini kuongea mwaka wa 76 leo?

4. Israel akabiliwe hata kwa zomea zomea tu; Palestina ni ya wapalestina watu wote ni wajomba zake Mungu:


Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki
Kelele za chura hizo!
Halafu hata
Halafu una udini mtu wangu hio thread ya wakristo yanini?

Hakuna kitu watu weusi ni WA ovyo SA kuuana ni hatari lakini kuingilia vitu vinavyowazidi.

Tupo hapa baada ya miezi au mwezi ukumbushe
 
Kelele za chura hizo!
Halafu hata
Halafu una udini mtu wangu hio thread ya wakristo yanini?

Hakuna kitu watu weusi ni WA ovyo SA kuuana ni hatari lakini kuingilia vitu vinavyowazidi.

Tupo hapa baada ya miezi au mwezi ukumbushe

1. Bado ungependa uaminike wewe siyo South Africa?

2. Hivi wewe hara kutia mguu kisutu na hoja unaweza au ni kujimwambafai tu?

3. Umejiuliza hata kama Petro K anaweza kufuzu hata kuweka pua kama msikilizaji tu ICJ?

4. Ndugu watanzania wenzangu kujihurumia wenyewe na hata kuzijua nafasi zetu mbona ni dalili za kuwa na akili timamu?!
 
1. Bado ungependa uaminike wewe siyo South Africa?

2. Hivi wewe hara kutia mguu kisutu na hoja unaweza au ni kujimwambafai tu?

3. Umejiuliza hata kama Petro Kibatala anaweza kufuzu hata kuweka pua kama msikilizaji tu ICJ?

4. Ndugu watanzania wenzangu kujihurumia wenyewe na hata kuzijua nafasi zetu mbona ni dalili za kuwa na akili timamu?!
Tusiongee sana kwanza nishakuona mdini, unachati na mtu ambaye hata huyo mungu sijui kama yupo unaanza kuniletea stori za wakristo.

Pili ninasema hivi hakuna mahakama hiyo kitu itaifanya Israel, sema wewe kama Israel itakutwa na hatia unafikiri nini kitafanyika?

Muda mwingine tuongee uhalisia acha kuleta stori za mahakama ambazo ni vyombo vya marekani kuuhadaa ulimwengu

Pathetic kabsa
 
Kelele za chura hizo!
Halafu hata
Halafu una udini mtu wangu hio thread ya wakristo yanini?

Hakuna kitu watu weusi ni WA ovyo SA kuuana ni hatari lakini kuingilia vitu vinavyowazidi.

Tupo hapa baada ya miezi au mwezi ukumbushe

1. Bado ungependa uaminike wewe siyo South Africa?

2. Hivi wewe hata kutia mguu kisutu na hoja unaweza au ni kujimwambafai tu?

3. Umejiuliza hata kama Petro K anaweza kufuzu hata kuweka pua kama msikilizaji tu ICJ?

4. Ndugu watanzania wenzangu kujihurumia wenyewe na hata kuzijua nafasi zetu mbona ni dalili za kuwa na akili timamu?!
 
Back
Top Bottom