South Africa: Unyama wa Israel haukuanza Oct 7

South Africa: Unyama wa Israel haukuanza Oct 7

Tusiongee sana kwanza nishakuona mdini, unachati na mtu ambaye hata huyo mungu sijui kama yupo unaanza kuniletea stori za wakristo.

Pili ninasema hivi hakuna mahakama hiyo kitu itaifanya Israel, sema wewe kama Israel itakutwa na hatia unafikiri nini kitafanyika?

Muda mwingine tuongee uhalisia acha kuleta stori za mahakama ambazo ni vyombo vya marekani kuuhadaa ulimwengu

Pathetic kabsa

Ujinga mzigo:

1. Hivi maono yako yanaweza kukubaliwa popote kama ushahidi?

2. Huo udini ukiambiwa uuonyeshe utaweza?

3. ICJ ni mahakama ya UN ila mwenye akili kijiweni hapo kuiponda?

Bure kabisa!
 
Kwahiyo Nyerere alivyounga mkono vita ya Biafra alikuwa sahih

1. Unadhani mkuu unayo credibility kuliko Nyerere?

2. Wewe huyo nyuma ya keyboard, fake ID na bila hata CV yako kujulikana?

3. Mwenye buku kuna picha ya Nyerere kama wewe uko vyema zaidi labda ungependekeza kuwa ni muda sahihi sasa kuweka yako badala yake?
 
wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014
Israhell inatakiwa ishambuliwe kila itakapopatikana fursa

Yaani inatakiwa ipondwe pondwe haswaa mpaka ikiwezekana ifutike tena ipondwe kabisaa

Yaani 2033 israhell itapokea kipigo nandio utakua mwisho wake
 
kuna tofaut gan kati ya Hamas na Boko Haram au ISIS ? ebu jitambue bas usihis una debate na mjinga mwenzio , wote hao wanalenga Islamic state na sio freedom of Palestina , Palestina was freed since 1948 na bado wakapewa freedom 2000 ila wakagoma
mkuu unaongea sana ila kichwa bado chepesi na mpaka leo bado huwezi kutofautisha ISIS na HAMAS halafu unaongea kujifanya unajua, unatia aibu unavyo bwatuka
 
mkuu unaongea sana ila kichwa bado chepesi na mpaka leo bado huwezi kutofautisha ISIS na HAMAS halafu unaongea kujifanya unajua, unatia aibu unavyo bwatuka

Huyu ndugu aliyaona:

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg
 
wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014
Watapigwa sana na mfululizo mpaka vizazi vyao viwe vinaota kupigwa, Hamas walizingua mno na bado wanajifanya wanakaza
 
Ujinga mzigo:

1. Hivi maono yako yanaweza kukubaliwa popote kama ushahidi?

2. Huo udini ukiambiwa uuonyeshe utaweza?

3. ICJ ni mahakama ya UN ila mwenye akili kijiweni hapo kuiponda?

Bure kabisa!
Ulituma thread kuhusu wakristo inanihusu nini mimi hiyo?

Nimesema hivi mahakama hiyo ni chombo cha marekani kuuhadaa ulimwengu hakuna kitu itaifanya Israeli.

Sema wewe watafanya nn wakikuta Israel ni wakosaji?
Embu sema acha kujichekesha kama mwanamke aliyeona bwana.

Wewe ni mdini kweli sababu nimejaribu pitia nyuzi zako nimeona kama alivyo yule mkenya mpumbavu anayeshabikia Israel.
 
1. Unadhani mkuu unayo credibility kuliko Nyerere?

2. Wewe huyo nyuma ya keyboard, fake ID na bila hata CV yako kujulikana?

3. Mwenye buku kuna picha ya Nyerere kama wewe uko vyema zaidi labda ungependekeza kuwa ni muda sahihi sasa kuweka yako badala yake?
Kila binadamu ana makosa yake wewe usichukulie tu Nyerere ni mzur kwa kila kitu. Ushajiuliza kwanini Wakat anaondoka madarakan alisema siasa yake imefeli.
 
Yaani wapalestina wanauawa kwa sababu waliwafuga HAMAS , HAMAS wanajicha kwa Raia sasa utawatenganishaje wakati wa kipigo

Mkuu mada inahusu ICJ huko haongelewi mtu au kikundi cha watu. Huko ni nchi kwa nchi. Unaona ulivyo nje ya mada mkuu?
 
wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014
Mpuuzi ni ww usiojua hamasi ni taasi imara kabisa kama ilivyocdm na ccm marekani aksema fulani ni gaidi na nyie huwa mnashingilia kama mmekeketwa ubongo

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom