South Africa: Unyama wa Israel haukuanza Oct 7

South Africa: Unyama wa Israel haukuanza Oct 7

Yaan acha kabisa

Mashirika mazito mazito yanasifu hatua hii ila mabodaboda kina Fantan20 wanaona ni upuuzi:

IMG_20240111_211020.jpg


Kazi kweli kweli.
 
Ya kwamba ww una akili kuizidi serikali yako ambayo inaitambua Hamas kama chama cha siasa ?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
serikali inayojenga vyoo kwa ela ya mkopo , kuna serikali hapo?, serikali inayosaini mkataba bila kujiridhisha kipengele cha muda , Turudi kwenye mada Hamas kuwa chama cha kisiasa lakin hiyo habadilishi dhama yao ya kidini na huwa wanaitamka hadharan wala sio mimi na weww tunawawekea maneno mdomoni , ni kituko wewe kupinga mambo ambayo hata Jina la HAMAS linajieleza kbs , Walipewa uhuru mwaka 1948 ila wakagoma kuunda taifa azima ya waarabu wa nchi jiran na waarabu wa Palastina na wanahatakati wa Hamas ni kuifuta taifa la Israel , je karne ya 21 hii ni kiti sahihi kwa mtu timamu , karnw ya 21 unapigana kufuta nchi fulan ambayo inawapa ajira wananchi wako , inawauzia bidhaa mataifa ya jiran , imesaidia technology kwa mataifa ya jiran ila wehu wanashangilia kufutwa kwa taifa hilo
 
Wayahudi ni mashetani wanao jiita Wana wa Mungu. Mimi sitete wa Palestine wala wayahudi wote ni mashetani wanao tumia Imani zao kuuwa watu wengine. Ni wakati Sasa watu weusi Dunia kote kuachana na hizi Imani mbili zinazo Halalisha kuuwa watu wasio zidi a mini. Watu weusi turudi kwenye Imani zetu za kuheshimu walio tutangulia mbele.

1. Mkuu suala la Palestina na Israel linaunguruma mahakamani.

2. Mahakamani ni suala la haki na dhuluma; kwamba kuna mhanga na dhulumati.

3. Haya ya dini ninyi ndugu zetu mnayookota wapi?

4. Ya dini kaeni nayo misikitini, makanisani, mahekaluni, jamatini, masinagogini nk huko.

5. Hapo #4 wala hamtatusikia sisi wengine huko!
 
Wayahudi ni mashetani wanao jiita Wana wa Mungu. Mimi sitete wa Palestine wala wayahudi wote ni mashetani wanao tumia Imani zao kuuwa watu wengine. Ni wakati Sasa watu weusi Dunia kote kuachana na hizi Imani mbili zinazo Halalisha kuuwa watu wasio zidi a mini. Watu weusi turudi kwenye Imani zetu za kuheshimu walio tutangulia mbele.
Imani zetu pia zinataka kuua makafara
 
Mashirika mazito mazito yanasifu hatua hii ila mabodaboda kina Fintan20 wanaona ni upuuzi:

View attachment 2868900

Kazi kweli kweli.


1. Mkuu suala la Palestina na Israel linaunguruma mahakamani.

2. Mahakamani ni suala la haki na dhuluma; kwamba kuna mhanga na dhulumati.

3. Haya ya dini ninyi ndugu zetu mnayookota wapi?

4. Ya dini kaeni nayo misikitini, makanisani, mahekaluni, jamatini, masinagogini nk huko.

5. Hapo #4 wala hamtatusikia sisi wengine huko!
Hao wamekunywa maji ya bendera ya israhell
 
wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014
[b[Wayahudi toka Yombo kwa limboa wameumia huku nyutu zao zikipwita kwa hofu
IMG_20240111_221759.jpg
 
Imani zetu pia zinataka kuua makafara
Kafafara sio lazima awe binadam anaweza kuwa mnyama. Hao wanao Tao kafara ya binadam ni wapotoshaji.. Imani zetu si ushiriki na. . Imani zetu ni Imani zinazo ongozwa na utu au Ubuntu. Ubuntu maana yake ni kuamini kuwa kitu mhim kuliko vyote ni uhai wa kila mtu. Hivyo hata kama ukipewa dollars milioni moja kufanya shughuli ambayo inaweza kuhatarisha uhai wa binadam mwezako, una kataa bila hata kufikiri. Huo ndio utu. Kila ufanya cho lazima kiwe na masilahi mapana kwako na kwa wengine.
 
kuna tofaut gan kati ya Hamas na Boko Haram au ISIS ? ebu jitambue bas usihis una debate na mjinga mwenzio , wote hao wanalenga Islamic state na sio freedom of Palestina , Palestina was freed since 1948 na bado wakapewa freedom 2000 ila wakagoma
Myahudi Nyutuinapwita kwa mihemko jaribu kukalia chupa ya Pepsi
IMG_20240111_221927.jpg
 
wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014
Fuatilia kesi taratiibu utakuja kuelewa nini kinaendelea. This has nothing totally to do with Islam and Christianity. Na Kwa taarifa yako Israels are not Christians as many Christians think.
 
Israhell inatakiwa ishambuliwe kila itakapopatikana fursa

Yaani inatakiwa ipondwe pondwe haswaa mpaka ikiwezekana ifutike tena ipondwe kabisaa

Yaani 2033 israhell itapokea kipigo nandio utakua mwisho wake

Former head of Mossad, Ephraim Halevy: The Hamas movement is well organized and has capabilities that I did not believe it possessed, and assassinating its leaders is like mowing grass, it grows again and again.
 
South Africa ni nchi ambayo haina waislamu wengi lakini wameonyesha kuwatetea na kuwaunga mkono ndugu zetu waislamu, bongo sasa mhh!!! Yani kuandamana tu shida😱

South Africa mmbarikiwe!
 
Shida maneno mengi .
Nimesema hivi hakuna kitu mahakama hiyo inaweza kujifanya Israel

Kama Israel ikikutwa na hatia unafikiri mahakama hiyo itafanya nini?kuwazuia? Embu sema ili baadae tuseme jamaa alisema.

Mimi ninasema nikumchezea Simba matako tu hao Israeli ni wadhalimu, Kiko wapi Russia alitishiwa na bado anaendelea kumega ardhi.
Tuache maneno ya vijiweni nani mwenye nguvu ya kumaliza hiyo vita kama sio marekani? Cheki alivyo mnafki hakuna anachofanya kuonyesha kumaliza vita.
Tuache kudanganyana hicho kinachofanyika kelele za chura.
Toa jibu Israel itafanywa nini?
Nipo pale utakuja kusema hizo ni kelele za chura
Kazi ya mahakama ni kutafisiri sheria na sio kumfanya mtu kitu wala kumkomoa.

Nchi yeyote ikitambulika kama mfanya mauaji ya kimbali ni sifa mbovu kabisa na ni hasara kubwa kidipromasia ,ungekuwa unajua ni gharama gani zinazo tumika kutengeneza dipromasia ya nchi fulani labda unge nielewa, ndio maana mpaka sasa Ujerumani inajitenga na Hitra kutokana na mauaji yake, ndio maana Uturuki inajitenga na mauaji ya kimbali dhidi ya waarmenia yaliyo fanywa na Ottoman.

Ni sawa na ww leo hii mahakama ikutambue kuwa ww ni mbakaji na ukatangazwa kwenye vyombo vyote vya habari picha zako zikabadikwa mitaani mzima alafu ukaachiwa uwe huru, sasa niambie huo Uhuru utaufaidi vipi hali yakuwa kila mtu mtaani anakuona ww ni mbakaji?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
1. Kimeumana mahakamani "koleo" laitwa kwa jina lake:

View attachment 2868283

View attachment 2868298

2. Kuna wale wenye mahaba uchwara ya dini.

3. Kwamba hawawezi kujiuliza katika nchi zote, kwanini HAMAS wana taabu na Israel si Kenya wala Tanzania?
at least kuna wenye akili wanaoanza kuchukua hatua.
Nadhani sasa njia nyeupe kwa Africa kuishtaki NATO kwa mauaji ya akina Gaddafi na viongozi wengine wa Afrika waliouawa kupitia nyenzo na mbinu za hao magharibi
 
serikali inayojenga vyoo kwa ela ya mkopo , kuna serikali hapo?, serikali inayosaini mkataba bila kujiridhisha kipengele cha muda , Turudi kwenye mada Hamas kuwa chama cha kisiasa lakin hiyo habadilishi dhama yao ya kidini na huwa wanaitamka hadharan wala sio mimi na weww tunawawekea maneno mdomoni , ni kituko wewe kupinga mambo ambayo hata Jina la HAMAS linajieleza kbs , Walipewa uhuru mwaka 1948 ila wakagoma kuunda taifa azima ya waarabu wa nchi jiran na waarabu wa Palastina na wanahatakati wa Hamas ni kuifuta taifa la Israel , je karne ya 21 hii ni kiti sahihi kwa mtu timamu , karnw ya 21 unapigana kufuta nchi fulan ambayo inawapa ajira wananchi wako , inawauzia bidhaa mataifa ya jiran , imesaidia technology kwa mataifa ya jiran ila wehu wanashangilia kufutwa kwa taifa hilo
Naona unaongea uharo tu hiyo serikali isiyo weza kujenga choo si ndo inakutawala na unaishi chini ya sheria zake ? sasa kama ww una akili kuizidi hiyo serikali jaribu kuisha nje ya sheria za hiyo serikali isiyo weza kujenga choo unayo idharau tukuone ukubwa wa akili yako na ubavu wako.

Nchi zinazo itambua Hamas kama magaidi ni umoja wa Ulaya , Uingereza, Marekani na kanada tu lakini mataifa mwingine yote duniani yana watambua Hamas kama cha cha siasa ,sasa tuambie ww mfuasi wa mwamposa una akili sana kuzizidi hizo serikali za nchi zote zinazo itambua Hamas kama chama cha siasa?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Fuatilia kesi taratiibu utakuja kuelewa nini kinaendelea. This has nothing totally to do with Islam and Christianity. Na Kwa taarifa yako Israels are not Christians as many Christians think.
hao SA walikalia kimya mauaji ya Wasudan weusi waislam kwa wakristu , naeza fuatilia unafiki wao , wa SA walituua waafrika wenzao , hao ni Hamas watupu naamin hawatashinda kesi yoyote kibaya najua ubao utabadilika na mtaikataa mahakama muda si mrefu , maana ili mahakama iwe nzur kwenu mpk mshinde nyie
 
Naona unaongea uharo tu hiyo serikali isiyo weza kujenga choo si ndo inakutawala na unaishi chini ya sheria zake ? sasa kama ww una akili kuizidi hiyo serikali jaribu kuisha nje ya sheria za hiyo serikali isiyo weza kujenga choo unayo idharau tukuone ukubwa wa akili yako na ubavu wako.

Nchi zinazo itambua Hamas kama magaidi ni umoja wa Ulaya , Uingereza, Marekani na kanada tu lakini mataifa mwingine yote duniani yana watambua Hamas kama cha cha siasa ,sasa tuambie ww mfuasi wa mwamposa una akili sana kuzizidi hizo serikali za nchi zote zinazo itambua Hamas kama chama cha siasa?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
hiyo Serikali haifuati katiba wala sheria , Rais wa nchi anasaini mikataba bila kuipitisha bungen na watumish wa hiyo serikali wanafuata mkumbo hawaheshimu katiba ya nchi , mkuu wa kituo cha polisi anatunga taratibu za kiutendaj vijijini kana kwamba hakuna utawala kweny level husika
 
Back
Top Bottom