Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
serikali inayojenga vyoo kwa ela ya mkopo , kuna serikali hapo?, serikali inayosaini mkataba bila kujiridhisha kipengele cha muda , Turudi kwenye mada Hamas kuwa chama cha kisiasa lakin hiyo habadilishi dhama yao ya kidini na huwa wanaitamka hadharan wala sio mimi na weww tunawawekea maneno mdomoni , ni kituko wewe kupinga mambo ambayo hata Jina la HAMAS linajieleza kbs , Walipewa uhuru mwaka 1948 ila wakagoma kuunda taifa azima ya waarabu wa nchi jiran na waarabu wa Palastina na wanahatakati wa Hamas ni kuifuta taifa la Israel , je karne ya 21 hii ni kiti sahihi kwa mtu timamu , karnw ya 21 unapigana kufuta nchi fulan ambayo inawapa ajira wananchi wako , inawauzia bidhaa mataifa ya jiran , imesaidia technology kwa mataifa ya jiran ila wehu wanashangilia kufutwa kwa taifa hiloYa kwamba ww una akili kuizidi serikali yako ambayo inaitambua Hamas kama chama cha siasa ?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wayahudi ni mashetani wanao jiita Wana wa Mungu. Mimi sitete wa Palestine wala wayahudi wote ni mashetani wanao tumia Imani zao kuuwa watu wengine. Ni wakati Sasa watu weusi Dunia kote kuachana na hizi Imani mbili zinazo Halalisha kuuwa watu wasio zidi a mini. Watu weusi turudi kwenye Imani zetu za kuheshimu walio tutangulia mbele.
Imani zetu pia zinataka kuua makafaraWayahudi ni mashetani wanao jiita Wana wa Mungu. Mimi sitete wa Palestine wala wayahudi wote ni mashetani wanao tumia Imani zao kuuwa watu wengine. Ni wakati Sasa watu weusi Dunia kote kuachana na hizi Imani mbili zinazo Halalisha kuuwa watu wasio zidi a mini. Watu weusi turudi kwenye Imani zetu za kuheshimu walio tutangulia mbele.
Hao wamekunywa maji ya bendera ya israhellMashirika mazito mazito yanasifu hatua hii ila mabodaboda kina Fintan20 wanaona ni upuuzi:
View attachment 2868900
Kazi kweli kweli.
1. Mkuu suala la Palestina na Israel linaunguruma mahakamani.
2. Mahakamani ni suala la haki na dhuluma; kwamba kuna mhanga na dhulumati.
3. Haya ya dini ninyi ndugu zetu mnayookota wapi?
4. Ya dini kaeni nayo misikitini, makanisani, mahekaluni, jamatini, masinagogini nk huko.
5. Hapo #4 wala hamtatusikia sisi wengine huko!
[b[Wayahudi toka Yombo kwa limboa wameumia huku nyutu zao zikipwita kwa hofuwewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014
Kafafara sio lazima awe binadam anaweza kuwa mnyama. Hao wanao Tao kafara ya binadam ni wapotoshaji.. Imani zetu si ushiriki na. . Imani zetu ni Imani zinazo ongozwa na utu au Ubuntu. Ubuntu maana yake ni kuamini kuwa kitu mhim kuliko vyote ni uhai wa kila mtu. Hivyo hata kama ukipewa dollars milioni moja kufanya shughuli ambayo inaweza kuhatarisha uhai wa binadam mwezako, una kataa bila hata kufikiri. Huo ndio utu. Kila ufanya cho lazima kiwe na masilahi mapana kwako na kwa wengine.Imani zetu pia zinataka kuua makafara
Myahudi Nyutuinapwita kwa mihemko jaribu kukalia chupa ya Pepsikuna tofaut gan kati ya Hamas na Boko Haram au ISIS ? ebu jitambue bas usihis una debate na mjinga mwenzio , wote hao wanalenga Islamic state na sio freedom of Palestina , Palestina was freed since 1948 na bado wakapewa freedom 2000 ila wakagoma
Fuatilia kesi taratiibu utakuja kuelewa nini kinaendelea. This has nothing totally to do with Islam and Christianity. Na Kwa taarifa yako Israels are not Christians as many Christians think.wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014
Israhell inatakiwa ishambuliwe kila itakapopatikana fursa
Yaani inatakiwa ipondwe pondwe haswaa mpaka ikiwezekana ifutike tena ipondwe kabisaa
Yaani 2033 israhell itapokea kipigo nandio utakua mwisho wake
South Africa ni nchi ambayo haina waislamu wengi lakini wameonyesha kuwatetea na kuwaunga mkono ndugu zetu waislamu, bongo sasa mhh!!! Yani kuandamana tu shida😱
South Africa mmbarikiwe!
Kwa hakika South Africa wanastahili maua yao.
South Africa waligoma kumkata Omar Al-Bashiri kumpeleka ICC.Kwa hakika South Africa wanastahili maua yao.
Kazi ya mahakama ni kutafisiri sheria na sio kumfanya mtu kitu wala kumkomoa.Shida maneno mengi .
Nimesema hivi hakuna kitu mahakama hiyo inaweza kujifanya Israel
Kama Israel ikikutwa na hatia unafikiri mahakama hiyo itafanya nini?kuwazuia? Embu sema ili baadae tuseme jamaa alisema.
Mimi ninasema nikumchezea Simba matako tu hao Israeli ni wadhalimu, Kiko wapi Russia alitishiwa na bado anaendelea kumega ardhi.
Tuache maneno ya vijiweni nani mwenye nguvu ya kumaliza hiyo vita kama sio marekani? Cheki alivyo mnafki hakuna anachofanya kuonyesha kumaliza vita.
Tuache kudanganyana hicho kinachofanyika kelele za chura.
Toa jibu Israel itafanywa nini?
Nipo pale utakuja kusema hizo ni kelele za chura
at least kuna wenye akili wanaoanza kuchukua hatua.1. Kimeumana mahakamani "koleo" laitwa kwa jina lake:
View attachment 2868283
View attachment 2868298
2. Kuna wale wenye mahaba uchwara ya dini.
3. Kwamba hawawezi kujiuliza katika nchi zote, kwanini HAMAS wana taabu na Israel si Kenya wala Tanzania?
Naona unaongea uharo tu hiyo serikali isiyo weza kujenga choo si ndo inakutawala na unaishi chini ya sheria zake ? sasa kama ww una akili kuizidi hiyo serikali jaribu kuisha nje ya sheria za hiyo serikali isiyo weza kujenga choo unayo idharau tukuone ukubwa wa akili yako na ubavu wako.serikali inayojenga vyoo kwa ela ya mkopo , kuna serikali hapo?, serikali inayosaini mkataba bila kujiridhisha kipengele cha muda , Turudi kwenye mada Hamas kuwa chama cha kisiasa lakin hiyo habadilishi dhama yao ya kidini na huwa wanaitamka hadharan wala sio mimi na weww tunawawekea maneno mdomoni , ni kituko wewe kupinga mambo ambayo hata Jina la HAMAS linajieleza kbs , Walipewa uhuru mwaka 1948 ila wakagoma kuunda taifa azima ya waarabu wa nchi jiran na waarabu wa Palastina na wanahatakati wa Hamas ni kuifuta taifa la Israel , je karne ya 21 hii ni kiti sahihi kwa mtu timamu , karnw ya 21 unapigana kufuta nchi fulan ambayo inawapa ajira wananchi wako , inawauzia bidhaa mataifa ya jiran , imesaidia technology kwa mataifa ya jiran ila wehu wanashangilia kufutwa kwa taifa hilo
hao SA walikalia kimya mauaji ya Wasudan weusi waislam kwa wakristu , naeza fuatilia unafiki wao , wa SA walituua waafrika wenzao , hao ni Hamas watupu naamin hawatashinda kesi yoyote kibaya najua ubao utabadilika na mtaikataa mahakama muda si mrefu , maana ili mahakama iwe nzur kwenu mpk mshinde nyieFuatilia kesi taratiibu utakuja kuelewa nini kinaendelea. This has nothing totally to do with Islam and Christianity. Na Kwa taarifa yako Israels are not Christians as many Christians think.
hiyo Serikali haifuati katiba wala sheria , Rais wa nchi anasaini mikataba bila kuipitisha bungen na watumish wa hiyo serikali wanafuata mkumbo hawaheshimu katiba ya nchi , mkuu wa kituo cha polisi anatunga taratibu za kiutendaj vijijini kana kwamba hakuna utawala kweny level husikaNaona unaongea uharo tu hiyo serikali isiyo weza kujenga choo si ndo inakutawala na unaishi chini ya sheria zake ? sasa kama ww una akili kuizidi hiyo serikali jaribu kuisha nje ya sheria za hiyo serikali isiyo weza kujenga choo unayo idharau tukuone ukubwa wa akili yako na ubavu wako.
Nchi zinazo itambua Hamas kama magaidi ni umoja wa Ulaya , Uingereza, Marekani na kanada tu lakini mataifa mwingine yote duniani yana watambua Hamas kama cha cha siasa ,sasa tuambie ww mfuasi wa mwamposa una akili sana kuzizidi hizo serikali za nchi zote zinazo itambua Hamas kama chama cha siasa?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app