South Africa: Unyama wa Israel haukuanza Oct 7

South Africa: Unyama wa Israel haukuanza Oct 7

1. Aina za kina MK254 na wenzao ni disgrace kwa Afrika.

2. To be honest, haisaidii kutowataja kwa majina yao.

3. Viva TAL kwa hakika aina za kina Allen Kilewella (pamoja na honorable wao) wanayo mengi ya kujifunza kutoka kwake.

4. Kama ilivyo nyuzi mbili hizi zilimaanisha:

a) Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

b) Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

5. Hapo #4 wanasema no hate no fear.

Proved, Retired, JokaKuu, imhotep yale mambo yetu.
Huoni ukweli bila hate hata kidogo.

Huwezi kuua kila mtu wa familia moja eti kwa sababu mwanafamilia mmoja amekuchokoza.

Akili za wenye akili zilipaswa kukemea. Kwa mujibu wa Biblia kuna Taifa teule ambalo uteule ule ulikoma baada ya ujio na kupaa kwa Masihi.

Pazia la Hekalu kupasuka katikati ilimaanisha kuwa yaliyo sirini na wakfu sasa yapo bayana kwa kila mtu kuona na kushuhudia.

Huu unyama dhidi ya utu unasababisha hata vilivyo vitakatifu kutukanwa. Mungu alibadili mwelekeo ambapo aliwaambia endapo watamkaidi atawafukuza kutoka nchi yao aliyowapa kwa mahaba makubwa. Sasa mpaka leo wanaendelea kumuudhi aliyewaumba.

Kuzaliwa Mpalestina siyo laana. Kuzaliwa Muisraeli siyo utukufu,
 
Kafafara sio lazima awe binadam anaweza kuwa mnyama. Hao wanao Tao kafara ya binadam ni wapotoshaji.. Imani zetu si ushiriki na. . Imani zetu ni Imani zinazo ongozwa na utu au Ubuntu. Ubuntu maana yake ni kuamini kuwa kitu mhim kuliko vyote ni uhai wa kila mtu. Hivyo hata kama ukipewa dollars milioni moja kufanya shughuli ambayo inaweza kuhatarisha uhai wa binadam mwezako, una kataa bila hata kufikiri. Huo ndio utu. Kila ufanya cho lazima kiwe na masilahi mapana kwako na kwa wengine.
Mungu ili kiwakomboa wanadamu kikristo alimtoa mwanae wa pekee.hakutoa mbuzi
 
"Rais Cyril Ramaphosa kama ilivyo Lissu na sisi wanaume wengine wengi wa shoka siyo timu kobazi labda wewe"
Sawa - na mamilioni ya wakristo na wayahudi wanaounga mkono Wapalestina kwa kuandamana duniani kote nao ni kobaz? Tumieni akili
Mataifa 150 duniani yanaunga mkono Palestina - nao ni kobaz?
 
Sawa - na mamilioni ya wakristo na wayahudi wanaounga mkono Wapalestina kwa kuandamana duniani kote nao ni kobaz? Tumieni akili
Mataifa 150 duniani yanaunga mkono Palestina - nao ni kobaz?

Kuna mambuzi meme kichwani Kuna maembe.

MK254 vichwani hukaa akili SI maembe.
 
1. Aina za kina MK254 na wenzao ni disgrace kwa Afrika.

2. To be honest, haisaidii kutowataja kwa majina yao.

3. Viva TAL kwa hakika aina za kina Allen Kilewella (pamoja na honorable wao) wanayo mengi ya kujifunza kutoka kwake.

4. Kama ilivyo nyuzi mbili hizi zilimaanisha:

a) Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

b) Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

5. Hapo #4 wanasema no hate no fear.

Proved, Retired, JokaKuu, imhotep yale mambo yetu.

Aina yako ni useless kwa Waafrika, juzi mumechinja Wakristo pale Nigeria kisa ujinga wa dini yenu...
 
Huoni ukweli bila hate hata kidogo.

Huwezi kuua kila mtu wa familia moja eti kwa sababu mwanafamilia mmoja amekuchokoza.

Akili za wenye akili zilipaswa kukemea. Kwa mujibu wa Biblia kuna Taifa teule ambalo uteule ule ulikoma baada ya ujio na kupaa kwa Masihi.

Pazia la Hekalu kupasuka katikati ilimaanisha kuwa yaliyo sirini na wakfu sasa yapo bayana kwa kila mtu kuona na kushuhudia.

Huu unyama dhidi ya utu unasababisha hata vilivyo vitakatifu kutukanwa. Mungu alibadili mwelekeo ambapo aliwaambia endapo watamkaidi atawafukuza kutoka nchi yao aliyowapa kwa mahaba makubwa. Sasa mpaka leo wanaendelea kumuudhi aliyewaumba.

Kuzaliwa Mpalestina siyo laana. Kuzaliwa Muisraeli siyo utukufu,

1. Inasikitisha ndugu zetu was damu akina denoo JG hawaoni hayo eti kuwa tunapigania katiba mpya.

2. Katiba mpya ipi tusipokuwa waumini kindaki ndaki wa haki?

3. TAL ni mfano bora kabisa Kwa kuuweka msimamo wake wazi kwenye yote; dhidi ya ma time saver wanasiasa uchwara walioko katika siasa kinfursa fursa Vila kujali kambi.

Viva TAL.
 
Aina yako ni useless kwa Waafrika, juzi mumechinja Wakristo pale Nigeria kisa ujinga wa dini yenu...

1. Ulikutana nasi wapi tukichinja watu achilia mbali wakristo?

2 Dini mahekaluni, jamatini masinagogini, misikitini, makanisani Nk.

3. Huku ni haki dhidi ya madhwalimu, finito!
 
wewe ni mpuuz kwahiyo Boko harama ni kikundi halali kisa hakina tabu na Kenya wala Tz ? hv waislam mmerogwa na nan ? waliposhambulia mlishangilia walipojibiwa mnasema wanaonewa , kwahiyo kwa mujibu wa wapenda haki weni ni haki kwa hamas kuua mtz mwenzetu ( hii haionesh kuwa wana tabu na sisi ) , kuwateka raia wa kigeni na kuua raia wema wa Israel , Je haya yote yalikuwa sawa kufanywa na Hamas? kama mnapenda haki wakemeenj kwanza Hamas kuhusu mashambuliz wanayoyafanya dhidi ya Israel , walipewa ardhi wound nchi tangu mwaka 1948 ila hawakufanya hivyo wakaona ni bora vita kuliko kuunda taifa lao , wacha wateseke hao wabaguz kama wasauz afrika walioua waafrika wenzao mwaka 2014
Mkuu; HAMAS hawateseki. Mbona ndo jadi yao kila siku wanapenda milio ya bunduki na kuuawa?.yan ni kama Mhindi na chakula chenye pilipili kali.Usidhani anapata shida. Bila hivo hajisikii vizuri kula. 😠 .
 
Mkuu; HAMAS hawateseki. Mbona ndo jadi yao kila siku wanapenda milio ya bunduki na kuuawa?.yan ni kama Mhindi na chakula chenye pilipili kali.Usidhani anapata shida. Bila hivo hajisikii vizuri kula. 😠 .

Huyo ndugu usishangae ni CDM na alipo anasubiri CCM wamletee katiba mpya akiwa anapunga upepo Coco beach.
 
Former head of Mossad, Ephraim Halevy: The Hamas movement is well organized and has capabilities that I did not believe it possessed, and assassinating its leaders is like mowing grass, it grows again and again.
Wazayuni wa jf watakushambulia
 
at least kuna wenye akili wanaoanza kuchukua hatua.
Nadhani sasa njia nyeupe kwa Africa kuishtaki NATO kwa mauaji ya akina Gaddafi na viongozi wengine wa Afrika waliouawa kupitia nyenzo na mbinu za hao magharibi
Labda sio Afrika, ni south afrika tu ndio imeonyesha kusimama na Palestina, labda na Algeria kidogo.

Viongozi wanasherehekea mapinduzi Zanzibar kwa maana wanahalalisha yale mauwaji ya that day kwa waislamu, watakua na uchungu kwa wapalestina na kuishtaki NATO!!! Muislamu anaejitambua hawezi kusherehekea huu upuuzi
 
Labda sio Afrika, ni south afrika tu ndio imeonyesha kusimama na Palestina, labda na Algeria kidogo.

Viongozi wanasherehekea mapinduzi Zanzibar kwa maana wanahalalisha yale mauwaji ya that day kwa waislamu, watakua na uchungu kwa wapalestina na kuishtaki NATO!!! Muislamu anaejitambua hawezi kusherehekea huu upuuzi
Mkuu weka udini pembeni.
Wanaouawa kule ni binadamu na wanahitaji hifadhi na hakikisho la usalama wao.

Mimi sitetei waislam wala wakristo bali natetea utu
 
Back
Top Bottom