Utavisoma tu maana lazima mpumuliwe mazombi wa dini ile kwa mlivyo hovyo bila uzalendo Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho
Mkuu weka udini pembeni.
Wanaouawa kule ni binadamu na wanahitaji hifadhi na hakikisho la usalama wao.
Mimi sitetei waislam wala wakristo bali natetea utu
Madhara yapiOff course ndio maana Israeli anajitahidi sana kuwashughulikia Hamas bila kuleta madhara makubwa Kwa raia wasio na hatia.
Madhara yapi
Israhell anaua raia halaf anajisifu anaua hamas 😀
Israhell mwepesi zaidi ya Pamba yaaani
Mkuu ninayoisoma kila siku kutoka kwako ni hii:
Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa
Au ulikuwa ni unabii kama wa kibwetere?
Lazima nikukumbushe uzombi wa dini yenu tena kila siku Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho
Huyu ulikuwa ni utabiri?
Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa
Natenyahu anazo habari njema hizo, au hiyo ni copyright yako tu ndugu?
S.Africa wameionesha dunia kuwa wana Ujasusi uliotukuka unaoweza kukusanya Evidence kwenye Battle field za kutumika kwnye Mahakama ya Dunia.1. Kimeumana mahakamani "koleo" laitwa kwa jina lake:
View attachment 2868283
View attachment 2868298
2. Kuna wale wenye mahaba uchwara ya dini.
3. Kwamba hawawezi kujiuliza katika nchi zote, kwanini HAMAS wana taabu na Israel si Kenya wala Tanzania?
S.Africa wameionesha dunia kuwa wana Ujasusi uliotukuka unaoweza kukusanya Evidence kwenye Battle field za kutumika kwnye Mahakama ya Dunia.
Hili si jambo dogo.
HAMAS ni chama cha siasa na kilishinda uchaguzi mkuu wa mwisho dhidi ya Fatah!! So sio kama ISIS wala Boko haram ambazo sio political parties. Hamas kina wabunge na mawaziri kabisa so havifanani.kuna tofaut gan kati ya Hamas na Boko Haram au ISIS ? ebu jitambue bas usihis una debate na mjinga mwenzio , wote hao wanalenga Islamic state na sio freedom of Palestina , Palestina was freed since 1948 na bado wakapewa freedom 2000 ila wakagoma
HAMAS ni chama cha siasa na kilishinda uchaguzi mkuu wa mwisho dhidi ya Fatah!! So sio kama ISIS wala Boko haram ambazo sio political parties. Hamas kina wabunge na mawaziri kabisa so havifanani.
Na pia hawakugoma uhuru ila hakuna mtu atakukubalia aporwe nusu ya ardhi eti kisa uhuru!! Hata Afrika kusini ilipata uhuru 1905 ila kina Mandela waliupinga hadi walipopata uhuru kamili wa 1990s. Same to Zambia na DRC!
Hata Sudan, kuna genocide inaendelea, tena ya watu weusi,sioni hawa kenge wa SA wakiiongelea,1. Kimeumana mahakamani "koleo" laitwa kwa jina lake:
View attachment 2868283
View attachment 2868298
2. Kuna wale wenye mahaba uchwara ya dini.
3. Kwamba hawawezi kujiuliza katika nchi zote, kwanini HAMAS wana taabu na Israel si Kenya wala Tanzania?
Hata Sudan, kuna genocide inaendelea, tena ya watu weusi,sioni hawa kenge wa SA wakiiongelea,
Ishu ya Palestine inatumika kisiasa tu na ANC, kujikuza kisiasa, na kama distraction ya madudu, ya, uchumi yanayoendelea, ndani ya, SA, mfsno swala LA mgao wa umeme, na ubovu wa shirika Lao LA umeme Escom.