Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humo wanasema haitoshi hata kununua bodaboda. Hicho kiwanja kitajijenga?Mkuu ungewajibu hiyo pesa aliyopewa kwa Tanzania inanunua shamba au Kiwanja
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Wamesema yote hayo kasome link ipo.Si wote wamenanga.Kuna walioeleza thamani ya fedha hiyo kwa hali halisi ya Tanzania.Na mwingine kasema Tanzania ni nchi fukara tu.Na hawajataja zawadi ya ajira kwa kijana Majaliwa.Nadhani hiyo ndiyo kubwa zaidi.Katambulika na kuwa "commissioned" na muheshimiwa Rais.Hilo hawajaliona?
Kwani wakinanga tunapungua nini?
Wangemshushia mjengo somewhereVIONGOZI WA TZ WABINAFSI SANA SI WANGEMPA KITU AMBACHO KINGEBADILISHA MAISHA YAKE , MBONA WAKINA BAKHERESA WANAWAPA VIWANJA BURE WAFANYIE MAMBO YAO , SASA 1M IYO SI PESA YA KULA CHUO PER MORTH YA MTOTO WA MAJALIWA😀😀
Na pesa za maandalizi ya kuaga meili ni kubwa sana.Hata Mimi huu ujinga wa M1 nikiushangaa Sana,dogo ameokoa roho 23 anapewa hela ndogo kiasi hicho?
GSM na Utopolo washampa 5M na pikipiki na kazi kapata. Mungu hakupi vyoteWangemshushia mjengo somewhere
Nilikuwa napita Twitter nilichokutana nacho mpaka ninechoka kabisa. Zawadi ya shilingi milioni moja inachukuliwa kuwa ni mzaha wa karne hii. Soma mwenyewe:
View attachment 2410386View attachment 2410387View attachment 2410389View attachment 2410390View attachment 2410391View attachment 2410392
Source:
PointNamba zake ziwekwe wazi sisi raia tumchangie kadri tunavyotaka
Umesoma hoja ndugu, au umekurupuka? Mimi nineonyesha kinachoongelewa na mataifa mengine, sujudu iko wapi hapo? Acha kukimbia kivuli chako, zawadi imetolewa hadharani, hivyo wao kujadili wala sio dhambi. Jifunze kuelewa mada kabla ya kutoa maoniYeye wala hakusaidia ili apate malipo yoyote. Hata asingepata wala isingemuathiri chochote.
Ningeshangaa kama viongozi wangemtumia kujimwambafy wenyewe ila kwa kilichotokea mbona hakina ubaya.
Au kisa wasouth wamesema ivo basi na wewe ndo umeona ni sahihi.
Acheni tabia ya kubeza na kuwakuza saana watu wa mataifa mengine.
Umezingua sana kusujudu wasouth we jamaa.
Kweli nimekurupuka.Umesoma hoja ndugu, au umekurupuka? Mimi nineonyesha kinachoongelewa na mataifa mengine, sujudu iko wapi hapo? Acha kukimbia kivuli chako, zawadi imetolewa hadharani, hivyo wao kujadili wala sio dhambi. Jifunze kuelewa mada kabla ya kutoa maoni
Yes Mo nae akimpa boxer moja sio habaBado bodaboda mo, aka kolo FC. Tuendelee kusubiri, hongera kwa GSM