South Africa wanavyotunanga kwa zawadi ya shujaa Majaliwa

South Africa wanavyotunanga kwa zawadi ya shujaa Majaliwa

Si wote wamenanga.Kuna walioeleza thamani ya fedha hiyo kwa hali halisi ya Tanzania.Na mwingine kasema Tanzania ni nchi fukara tu.Na hawajataja zawadi ya ajira kwa kijana Majaliwa.Nadhani hiyo ndiyo kubwa zaidi.Katambulika na kuwa "commissioned" na muheshimiwa Rais.Hilo hawajaliona?
Wamesema yote hayo kasome link ipo.
 
Angepew pia bata Tuzo/[emoji966] ya heshima kutok ofis ya Rais
 
Thamani ya zawadi aliyotoa Rais ni nishani ya ushujaa sio kubet.Ajira na kifuta jasho ni tosha na wengine walioguswa kama Rais wa Yanga wanakaribishwa.Kuajiriwa Jeshini Ina maana ni heshima na atakula hadi uhai wake utakapokoma.Angaza kuna watu waliajiliwa tangu KAR wanakula kiinua mgongo cha maana ni kumwombea maisha marefu na nidhamu kazini.
 
Yeye wala hakusaidia ili apate malipo yoyote. Hata asingepata wala isingemuathiri chochote.
Ningeshangaa kama viongozi wangemtumia kujimwambafy wenyewe ila kwa kilichotokea mbona hakina ubaya.
 
Yeye wala hakusaidia ili apate malipo yoyote. Hata asingepata wala isingemuathiri chochote.
Ningeshangaa kama viongozi wangemtumia kujimwambafy wenyewe ila kwa kilichotokea mbona hakina ubaya.

Au kisa wasouth wamesema ivo basi na wewe ndo umeona ni sahihi.

Acheni tabia ya kubeza na kuwakuza saana watu wa mataifa mengine.

Umezingua sana kusujudu wasouth we jamaa.
Umesoma hoja ndugu, au umekurupuka? Mimi nineonyesha kinachoongelewa na mataifa mengine, sujudu iko wapi hapo? Acha kukimbia kivuli chako, zawadi imetolewa hadharani, hivyo wao kujadili wala sio dhambi. Jifunze kuelewa mada kabla ya kutoa maoni
 
Umesoma hoja ndugu, au umekurupuka? Mimi nineonyesha kinachoongelewa na mataifa mengine, sujudu iko wapi hapo? Acha kukimbia kivuli chako, zawadi imetolewa hadharani, hivyo wao kujadili wala sio dhambi. Jifunze kuelewa mada kabla ya kutoa maoni
Kweli nimekurupuka.
Nipe ushauri mkuu..
 
Kama ingepigwa harambee pale uwanjani bila shaka dogo angeondoka na milioni za kutosha
 
Back
Top Bottom