South Africa wanavyotunanga kwa zawadi ya shujaa Majaliwa

South Africa wanavyotunanga kwa zawadi ya shujaa Majaliwa

Kwa watanzania ninaowajua mimi waambie hakufanya hivyo ili apate pesa..., huku hata handshake pekee ingetosha tu..., That's how we are (sorry we were) as Far as I can Remember....

Tanzanians = Good People
(More Accurately)
Good People = Tanzanians - Bad Leaders
 
Comment ya Johnson kaua!

Mama hayupo ntungojee akirudi aje amuone mwanae! Hatuna hata la kujitetea basi tu![emoji849]
 
Hivi kwa akili zako kuna pesa za kulipia uhai?Uhai ni gharama kuliko gharama unazozijua wewe,kitendo cha kumpa Milioni moja hakiendani na Ushujaa aliofanya
Mbona wasiojulikana wasiojulikana wanatoa uhai wa vijana kimasihara ...

Ukweli Mchungu uhai wa mtz Ni cheap Sana ...ukiangalia hizo tume zinazoundwa kuchunguza majanga hazina effects yoyote ...

Uhai wa mbuzi una thamani kuliko uhai wa mtanzqnia
 
Mtoa post nisalimie mwamba mmoja toka Twitter alisema jinsi alivyochukia angekuwa yeye angewapakiza hao viongozi kwenye ndege na kuwazamisha

Mwambie bey anakupa hi!
 
Na pesa za maandalizi ya kuaga meili ni kubwa sana.
Mawaziri wote waliofika pale watakuwa wamelipwa per diem kwa nights walizokaa pale. Per Diem ya siku 1 tu ishazidi hiyo milioni 1
 
Waliokolewa na huyo kijana, sijui watampa zawadi gani inayolingana na maisha yao.
Una akili mkuu . Karibu watu wote wanaopanda ndege wanauwezo wajichange wote wamnunulie fishing fishing boat .Au hata wamjengee nyumba .
 
Sasa kwa nini ulichagua kueleza tone moja tu na kuacha mengine waliyoongea wengine?Nia ni nini?
Mkuu uzi ni mrefu, nimeweka link nami sikuchagua cha kuleta. Nimepiga screenshots kwa mtiririko mpaka nilipoona yatosha. Hoja yako nini hasa? Acha tabia ya kutuhumu kila kitu, Acha kujishuku mkuu
 
kama kiasi gani hivi angestahili
20221108_163820.jpg
 
Mtoa post nisalimie mwamba mmoja toka Twitter alisema jinsi alivyochukia angekuwa yeye angewapakiza hao viongozi kwenye ndege na kuwazamisha

Mwambie bey anakupa hi!
Siku meli au ndege ya viongozi wa nchi ikizama au kudondoka akajitokeza kiherehere kwenda kuokoa nahisi watz watamzingua kinoma
 
Siku meli au ndege ya viongozi wa nchi ikizama au kudondoka akajitokeza kiherehere kwenda kuokoa nahisi watz watamzingua kinoma
Kwanza advertise kabla hujawaokoa mnawauliza watawapa shilingi ngapi?

Wakisema milioni moja, mnasepa mdogo mdogo!
 
Usishangae sana ndio aina ya viongozi mliowachagua na huo pia ndio uwezo wao wakufikiri umeishia hapo. Hakika Pascal Mayalla Ccm is the home of great thinker nimpongeze pia nyerere huko alipo kwakuweza kuunda na kitengeneza chama cheye viongozi wenye uwezo wakufikiri wa aina hii
 
Back
Top Bottom