Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naam anaitwa Norman "Lechero" St. John ni mdosi kweli kweli alikuwa anauwezo wa kuagiza hadi mbususu za mademu wa nje na zikamfikia hadi kwenye dojo lake pale sonaKuna yule jamaa huko Sona alikuwa mbabe kweli kweli alikufa kwa kuangukiwa na kifusi
Akaishia kukatwa mkonoUnaambiwa kwa mujibu wa waandaji wa series hiyo, mhusika T-bag ilikuwa afe kwenye msimu wa pili ila kutokana na performance yake wakaendeleza uhusika wake🫡
Yeah, dominic purcell aka lincoln burrowsYani wote hamjui. Kichwa pale ni mwandishi
aliyeangukiwa na kifusi ni sami/sammy, lechero aliuawa na tbag kwa kutumia pillowNaam anaitwa Norman "Lechero" St. John ni mdosi kweli kweli alikuwa anauwezo wa kuagiza hadi mbususu za mademu wa nje na zikamfikia hadi kwenye dojo lake pale sona
weeping may endure for a night but joy cometh in the morning.There is no shame in retreating to regroup
Yule jamaa alijifanya mchungaji akamnasa Tbag
Yule bible seler nae alikuwa bonge la jasusi anakuua huku anatabasamuweeping may endure for a night but joy cometh in the morning.
hii bible verse ndo ilimuingiza tbag kwenye 18 za fake bible seller.
Kwangu pia Mahone alikua real zaidi ya Scofield, naona alistahili pia kupata position ya muhimu zaidi kwenye 24 karibu karibu na Jack Bauer sijui kwanini hawakumchukua.Wakuu nimeirudia tena series ya Prison Break.
Kwenye season 2 anaibuka Special Agent wa FBI, Alexander Mahone kusaidia zoezi la kuwakamata wafungwa 8 waliotoroka gereza la Fox River.
Jamaa alikuwa na akili na daima alikuwa mbele ya muda sana. Nadiriki kusema jamaa alimzidi Michael Scofield kiuwezo.
Ila kwakuwa Michael Scofield ndiye star wa series ilibidi tu Mahone atafutiwe udhaifu ili mwisho wa siku ushindi uende kwa Michael Scofield.
Na udhaifu wenyewe ni yale madawa aliyokuwa anatumia.
Nahitimisha, Mahone ni hatari sana ila Michael alibebwa na director.🤣🤣
Sio lachero,ni Sammy yule alokua msaidizi wake.alimgeuka lachero baada ya kupokea bastola basi akapindua mamlaka ya lachero akitaka atawale yeye na wenzie nyuma yake.bila kujua lachero tayari kaungana na akina Michael Wana sehemu Wana mpango wa kutoboa watoroke.Naam anaitwa Norman "Lechero" St. John ni mdosi kweli kweli alikuwa anauwezo wa kuagiza hadi mbususu za mademu wa nje na zikamfikia hadi kwenye dojo lake pale sona
Naam sema Michael jamaa ana mipango sanaSio lachero,ni Sammy yule alokua msaidizi wake.alimgeuka lachero baada ya kupokea bastola basi akapindua mamlaka ya lachero akitaka atawale yeye na wenzie nyuma yake.bila kujua lachero tayari kaungana na akina Michael Wana sehemu Wana mpango wa kutoboa watoroke.
Si ndio Sammy akawavamia Kwa nguvu ya pistol akawalazimisha wampeleke akaone wanafanya Nini,kuona pango Kwa juu linatobolewa akapanda carelessly kifusi kikamporomokea ye na wapambe wake
Ila aliefanya haya yote ni Michael Kuna bolt ndefu anaitumia kushikilia mfuniko wa tobo aliitoa makusudi 🤣
Bible seller alikuwa anadead bila huruma ya yule manzi na tbag nae nahisi alikuwa kesha fall thats akashindwa kumaliza mchezoweeping may endure for a night but joy cometh in the morning.
hii bible verse ndo ilimuingiza tbag kwenye 18 za fake bible seller.
Tbag pendapenda hataki kupitwa, hata kule sona alipita na demu wa lechero baada ya kutoka. ila kale katoto nako kalikuwa kanampa moyo wa huruma.Bible seller alikuwa anadead bila huruma ya yule manzi na tbag nae nahisi alikuwa kesha fall thats akashindwa kumaliza mchezo
Sure mtunzi ndiyo engineer wa yote hayo hao wengine wafata maelekezo tu tuone nini kilitakiwa kufanyika in action kutokana na script..Mwenye akili ni dairector wa move na mtunga story aao wakina maiko,t bag,mahone wore walikuwa wanafata maelekezo
Sona Kulikuwa kiumeniWe will stepback when the wind start blowing.
Si unaona hata Bellick alinyooka alikua kama chokoraa katepeta na jeuri zake zilimuisha.. kule kulikua hakufai.Sona Kulikuwa kiumeni
Sona kule ni hatari saba, Bellick akaogeshwa chai ya motoSi unaona hata Bellick alinyooka alikua kama chokoraa katepeta na jeuri zake zilimuisha.. kule kulikua hakufai.